ELI-91
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 3,583
- 9,670
Kwahiyo wanampango wa kujitia mbaroni wenyewe?? Hauitaji P.hD kujua watu wasiojulikana ni kina nani?
- Watu wenye uwezo wa kuingia kwenye makaazi rasmi ya viongozi kisha kufyatua makumi ya risasi na kuondoka bila kuzuiwa
- Watu wenye uwezo wa kutoroka dodoma baada ya tukio la uharifu bila hata juhudi za kukimbizwa na polisi
- Watu wenye uwezo wa kumfuatilia mtu kwa wiki kadhaa na hata akitoa taarifa polisi na kwenye vyombo vya habari lakini bado wanao ujasiri wa kuendelea kumfuata
- Watu wanaofanya jaribio la mauaji na wiki kadhaa zinapita hakuna taarifa ya maana kutoka polisi zaidi ya porojo kua vyombo vya ndani vinauwezo wa kuchunguza tukio hilo