Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Amtazame mwenzake Nape anavyohaha sasa hivi.Home boy wake kabisa anamtosa eti kisa siasa, ujinga mtupu
Na huyu siku zake zinahesabika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amtazame mwenzake Nape anavyohaha sasa hivi.Home boy wake kabisa anamtosa eti kisa siasa, ujinga mtupu
Ok nimekuelewa kwa hiyo Bashite atapatikanaUmeambiwa hao wahalifu watapatikana sasa unataka majibu gani tena?
Angeanza kwanza na USHAHIDI WA MBINGUNI NA DUNIANI..... tuujuweWaziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
Kuna wana CCM akiwagusa atakoma, Nape knows what is doing believe meAmtazame mwenzake Nape anavyohaha sasa hivi.
Na huyu siku zake zinahesabika.
Mwigulu you are among the suspects who plotted this assassination dont try to fool us.if you are clean allow Fbi or any other foreign investigation body we will respect youWaziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
yeye mwenyewe mhusika mkuuWaziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
Bashite ndio nani?!Ok nimekuelewa kwa hiyo Bashite atapatikana
ha ha ha!Miafrika kila siku inawaza Utumwa tu Kutawaliwa yaani hakuna hata uwezo wa kufikiri mtoeni huyo Dereva ahojiwe kwanini anafichwa?
Yeye alishamuona pale Dodoma hospital!Muulizeni Mwigulu alienda kumuaona Nairobi Lissu asituletee maigizo kwan hajui asiyejulikana ni Bashite na anatumwa na mista misifa
wale walishashughulkiwa na baadhi ya matokeo yake tuliyaona kwenye magazeti. Au utakana kwamba hakuna wahalifu waliouwawa kibiti.Mbona wa mkuranga na kibiti una waisoleti, au si wenzenu?
is it kind of threat? Unamaanisha kwa sasa hakuna tabu? na tabu zinakuja mbeleni?Watanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana.
Waziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
Mkuu ramli chonganishi zimepigwa marufuku!Hapo sasa imeshaandaliwa bonge la changa ya macho, kuna watu wanatakiwa kutolewa kafara. Ila huu mpango utabuma tu.
Asiwatie mbaroni hao wa Tundu Lisu tu bali aanze na wale wa Arusha Olasiti, wale waliomuua Mawazo na Saanane. Akiweza hayo, tutajua kweli ana kiu ya kumaliza genge la wasojulikana
UONGO MTUPU! Ben Saanane mwaka sasa hajulikani alipo, aliyemtolea bastola Nape hawamjui, mmiliki wa magari yaliyokuwa yanamfuatilia lissu hawamjui, aliyemteka na kumtesa Roma hawamjui, waliolipua ofisi za mawakili hawawajui.
Wizara ya mambo ya ndani uzembe wa hali ya juu.
Mkuu inaonekana unajua mengi wanaweza kuanza na wewe ili uelezee huo uzembe wa wizara!!