Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!

Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!

Waziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
Angeanza kwanza na USHAHIDI WA MBINGUNI NA DUNIANI..... tuujuwe

Vinginevyo, binafsi naona ni YALE YALE TU
 
Waziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
Mwigulu you are among the suspects who plotted this assassination dont try to fool us.if you are clean allow Fbi or any other foreign investigation body we will respect you
 
Waziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
yeye mwenyewe mhusika mkuu
 
Mwingulu ameshindwa Kabla ya kuanza...akikaa kimya ni busara zaidi ya anavyoongea visivyojulikana
 
Muulizeni Mwigulu alienda kumuaona Nairobi Lissu asituletee maigizo kwan hajui asiyejulikana ni Bashite na anatumwa na mista misifa
 
Hapo sasa imeshaandaliwa bonge la changa ya macho, kuna watu wanatakiwa kutolewa kafara. Ila huu mpango utabuma tu.
 
UONGO MTUPU! Ben Saanane mwaka sasa hajulikani alipo, aliyemtolea bastola Nape hawamjui, mmiliki wa magari yaliyokuwa yanamfuatilia lissu hawamjui, aliyemteka na kumtesa Roma hawamjui, waliolipua ofisi za mawakili hawawajui.
Wizara ya mambo ya ndani uzembe wa hali ya juu.



Waziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu Nchemba ameahidi kwamba vyombo vya dola lazima vitawatia nguvuni watu ' wasiojulikana' waliomdhuru ndugu yetu Lissu pamoja na jenersli wa jeshi na yule hakimu wa kule Mtwara. Amesema watu hau wanaotajwa kama ' wasiojulikana' siku zao zinahesabika. Source EATV habari!
 
Asiwatie mbaroni hao wa Tundu Lisu tu bali aanze na wale wa Arusha Olasiti, wale waliomuua Mawazo na Saanane. Akiweza hayo, tutajua kweli ana kiu ya kumaliza genge la wasojulikana

Nyumbu hajijui NA wala hajui alitakalo
 
UONGO MTUPU! Ben Saanane mwaka sasa hajulikani alipo, aliyemtolea bastola Nape hawamjui, mmiliki wa magari yaliyokuwa yanamfuatilia lissu hawamjui, aliyemteka na kumtesa Roma hawamjui, waliolipua ofisi za mawakili hawawajui.
Wizara ya mambo ya ndani uzembe wa hali ya juu.


Mkuu inaonekana unajua mengi wanaweza kuanza na wewe ili uelezee huo uzembe wa wizara!!
 
Back
Top Bottom