Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!

Naam huo ndiyo ukweli. Walimdhuru Lissu wamo Serikalini na wala si watu wasiojulikana. Wanajulikana sana na ndiyo sababu wanahofia wapelelezi wenye uwezo mkubwa kuingia nchini na kufanya vitu vyao maana ushahidi utawaumbua hawa ambao wamekuja na huu mtindo wa kutisha wa kuua wapinzani tena kwa kuwawinda.

Inaelekea waliomdhuru Lissu wanafahamika na hakuna wa kuwachukulia hatua.
 

 
huyu kazi anayoweza ni kujifunga skafu na kuvaa tie yenye rangi za bendera ya tanzania tu labda na kulea familia yake
afadhali yeye hata kufunga skafu wewe kipi unaweza? Kukaa nyuma keyboard kulialia acha majungu
 
Hizo ni hisia zako lakini tutakutaka uonyeshe hisia zako pamoja Na ushahidi kwahiyo uwe Na ushahidi wakutosha
 
Mwi guru I believe wewe ni church goer kuwa mkweli kama hamkuhusika mnachoogopa ni nini kuwa ruhusu fbi au Scotland yard kuja? Kukataa kwenu kuna maanisha mnajua ni nani anahusika. Benny yuko wapi? Wauaji wa mawazo vipi? Mteja wa nape vipi? U limbo ka kibanda vipi?
 
Huyu naye si ndo alisema atatoa majibu ya aliyetoa bastola kwa nape, njaa inakosesha Utu na ucha Mungu, nayeye namwonaga kanisani akigongaga ishara ya msalaba
 
Inaelekea waliomdhuru Lissu wanafahamika na hakuna wa kuwachukulia hatua.

Umemaliza kila kitu kwa sababu ya sababu alizo ziainisha Mh Waziri hazina mashiko hasa ukizingatia nabtukio lenyewe na Historia mbaya ya Serikali (ya awamu hii) dhidi ya Wapinzani...
 
mwigulu umenena vyombo vya nje ni kujishushia heshima kwani tuna jeshi imara
 
Safi sana,lakini hili la sasa halina sababu.Aanze kwanza na la Ben Saanane.
 
Mwigulu ‘awagomea’ CHADEMA kuhusu wachunguzi huru
Mwigulu hajawagomea Chadema kwa sababu mbili; kwanza, hayo mamlaka ya kutoa maamuzi hana...ayatoe wapi? Pili, hata kama angekuwa nayo, hawagomei Chadema, anawagomea raia wapenda haki wa nchi wanaotaka kuona haki inatendeka. Labda nimuulize mtoa mada je katika hii katuni, nafasi ya Mwigulu iko wapi?



 
Kwani nani alowabatiza jina la "Wasiojulikana?"
 
Mimi Sioni sababu ya kumsema sana mwigulu, yawezekana hiyo mission ya kummaliza Lissu hajui chochote Ila maelekezo kutoka juu ndio yanatenda kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…