iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,412
- 8,198
Au wanakua na elements za kigaidi juu ya misimamo mikali isiyo na tija...so sad...watu wa hivo huwa hawadum katika dini baadae wanakuwa wapagani paga paga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au wanakua na elements za kigaidi juu ya misimamo mikali isiyo na tija...so sad...watu wa hivo huwa hawadum katika dini baadae wanakuwa wapagani paga paga.
Ndevu mpaka Prince Harry anafuga.Nyinyi sijui mna nini na ndevu.Ni jirani yetu huko nyumbani kwetu, pia kuna kaurafiki kwa mbali baina yetu. Likizo sometimes tulikuwa tunajisomea pamoja kwakuwa tulikuwa darasa moja.
Jamaa akawa teacher wa serikali baadaye. Sasa nasikia walimu wana miiko mingi kutokana na mazingira yao ya kazi, sometimes wanakuwa walezi.
Sasa jamaa hakuacha sunnah ya Mtume akafuga ndevu vizuri. Mkuu wa shule akamwambia Mr nyoa hizo ndevu hii shule ni secular, jamaa akakataa.
Alipoona anazidi kuhimizwa kunyoa uchebe na sometimes kutishiwa kufutwa ajira akamwahi boss wake akaandika 24 hrs resignation letter, mkuu wa shule akaipitisha, na Mkurugenzi akamaliza kazi.
Jamaa sasa kwa moyo mweupe analima kijijini. Kaka yake aliyemsomesha wamegombana baada ya jamaa kupiga kalamu chini lakini anasema hawezi kurudi.
Kama huyo mwalimu mkuu anayeingiza chuki zake kwa waajiriwa wenzakeAtakuwa anakula ndevu zake sahiv kama chakula.Kuna watu wahovyo sana kutaka kulazimisha mambo yao Kila sehemu Kwa kuhisi ndiyo wenye haki kumbe ujinga TU.
Rasta haziruhusiwi kwa sheria!Sio lazima ,hata ukienda kwao kweny taasisi zao sio wote wanafuga ,wengine hawana kabisa kutokana na maumbile yao.
Mi nakumbuka kuna rasta mmoja mwanae hakusoma kwa vile aliambia akate nywele ndio aanze darasa la kwanzq ,walikataa kabisa yaani.
Hongera umepata ukombozi sasa jikite kwenye kusoma zaidi ili usiangukie kwenye Ujinga zaidi kaka 😅😅😅Tayar kaka sitak ujinga kichwan kwangu 😂🙌🏼
HukoKuna dr nae wa serikali aliacha kazi kisa anasema hawez kuwa anaona mbususu xza wanawake kila siku wakati wakijifungua n haram kwake akaandika barua siku izi kawa mkulima mzuri tu
Sema hivi " kuwa na ndevu si lazima kwenye dini yangu".Alikuwa kachoka laki 7 ,hata mimi ningesepa japo kuwa na ndevu si lazima kweny dini.
Duniani kote wanafikiria namna ya kuzipata rasilimal za africa, lkn waafrika wanawaza namna ya kwenda mbinguni, hapo hapo nikaachana na usabato rasmi 😂
Hakika! Yaani wakuu wa shule ni wapuuzi fulani hiviWalimuonea Hakuna sheria inayozuia kufuga Ndevu
hahahahahaaDini ni moja ya majanga tuliyoachiwa Waafrika. Mitaani usiku mnene watu wanahubiri na vipaza sauti unajiuliza watu wanapumzika saa ngapi? misikiti inatumia vipaza sauti usiku mnene. Washauri wawe wastaarabu utakachoambulia pengine wanaweza kukukata shingo kabisa
Huyo atakuwa ali acha baada ya kuona huyo mwalimu ana chuki binafisi tu,maana hakuna sheria ya aina hiyo ndani ya nchi hii.Sema hivi " kuwa na ndevu si lazima kwenye dini yangu".
Yule mwamba anakupa mpaka Aya kuwa bila ndevu huonji pepo.
Kuna maza fulani alikuwa anaishi karibu na chuo cha butimba, nasikia alikuwa askari nilikuwa namwona akiuza mboga mboga, kumbe aliacha kazi baada ya kulazimishwa kuwa anafanya kazi siku ya sabato. Maza alikuwa anatembeza mboga pale shule iliyopikwa anatuletea tunanunua na kumix kwenye ugali.Ni jirani yetu huko nyumbani kwetu, pia kuna kaurafiki kwa mbali baina yetu. Likizo sometimes tulikuwa tunajisomea pamoja kwakuwa tulikuwa darasa moja.
Jamaa akawa teacher wa serikali baadaye. Sasa nasikia walimu wana miiko mingi kutokana na mazingira yao ya kazi, sometimes wanakuwa walezi.
Sasa jamaa hakuacha sunnah ya Mtume akafuga ndevu vizuri. Mkuu wa shule akamwambia Mr nyoa hizo ndevu hii shule ni secular, jamaa akakataa.
Alipoona anazidi kuhimizwa kunyoa uchebe na sometimes kutishiwa kufutwa ajira akamwahi boss wake akaandika 24 hrs resignation letter, mkuu wa shule akaipitisha, na Mkurugenzi akamaliza kazi.
Jamaa sasa kwa moyo mweupe analima kijijini. Kaka yake aliyemsomesha wamegombana baada ya jamaa kupiga kalamu chini lakini anasema hawezi kurudi.
HatariKuna maza fulani alikuwa anaishi karibu na chuo cha butimba, nasikia alikuwa askari nilikuwa namwona akiuza mboga mboga, kumbe aliacha kazi baada ya kulazimishwa kuwa anafanya kazi siku ya sabato. Maza alikuwa anatembeza mboga pale shule iliyopikwa anatuletea tunanunua na kumix kwenye ugali.
🤣🤣🤣qmmmk kamateni hiyo kichaa muipeleke mirembeSema hivi " kuwa na ndevu si lazima kwenye dini yangu".
Yule mwamba anakupa mpaka Aya kuwa bila ndevu huonji pepo.
Inaongelea dini gani ?Alikuwa kachoka laki 7 ,hata mimi ningesepa japo kuwa na ndevu si lazima kweny dini.
Hamna kitu kama hicho ,ndevu ni sunnahSema hivi " kuwa na ndevu si lazima kwenye dini yangu".
Yule mwamba anakupa mpaka Aya kuwa bila ndevu huonji pepo.
Ndio nakumbia ni sunnah sio lazimaInaongelea dini gani ?
Kwenye Uislamu kama ndevu unazo ni lazima kuzifuga kama huna kabisa, hii Sheria haikuhusu.
Kufuga ndevu ni Sunnah za mitume wote.
umesema sunna, kivipi iwe lazima? mbona mnafanya waislam wengine waonekane kituko? ndevu sio lazima kufuga japo pia haipendezi kwa (mwanaume kunyoa kabisa pakabaki kama shavu kwa mtazamo wangu)Inaongelea dini gani ?
Kwenye Uislamu kama ndevu unazo ni lazima kuzifuga kama huna kabisa, hii Sheria haikuhusu.
Kufuga ndevu ni Sunnah za mitume wote.