Kushika sana dini kunaweza kukupeleka kubaya. Rafiki yangu aliacha kazi ya Ualimu baada ya Mkuu wa Shule kumtaka anyoe ndevu

Kumbe hata maana ya Sunnah huijui. Kwanini hamsomi vijana ?
Kwa hiyo mtume aliamrishwa kufuga ndevu kweny Qur an ?Ebu soma uelewe.

Yapo mafunzo ya kisunnah juu ya umuhimu wa ndevu ila sio lazima
 

Tatizo watu wanachukuwa utamaduni na kufanya ni dini. Vilemba na ndevu ni utamaduni sio dini. Ni kwamba wenye utamaduni fulani ni wa dini fulani hii inachanganya wanaopenda kuiga
 
Sio lazima, hata ukienda kwao kweny taasisi zao sio wote wanafuga ,wengine hawana kabisa kutokana na maumbile yao.

Mi nakumbuka kuna rasta mmoja mwanae hakusoma kwa vile aliambia akate nywele ndio aanze darasa la kwanzq ,walikataa kabisa yaani.
Sasa hivi kuna waraka unaoruhusu rasta shuleni.
 
Duniani kote wanafikiria namna ya kuzipata rasilimal za africa, lakini waafrika wanawaza namna ya kwenda mbinguni, hapo hapo nikaachana na usabato rasmi [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwamba akiwa na ndevu ndefu utilio hauwezi kushuka ?

Anyway to each their own...; Kama hio Shule inaona hizo Ndevu ni Kero na yeye anaona hawezi kunyoa basi Busara ni kila mmoja kuchukua hamsini zao...

Ila hii shule ingeweza kumfukuza hata Archimedes sababu ana ndevu ndefu....
 
Wasabato nakumbuka nilikuwa mwaka 2012 wakasema miaka kumi ijayo sitanunua kitu bila chapa 666 nashangaa saiv nipo 2024 sijui hao jamaa wanatuonaje
Jamaa huwa wanajiona wana VISA ya kwenda Mbinguni yaani. Na sisi wengine tunaonekana wa motoni daima. Waulize tu wakufafanulie hiyo 666 kwa maelezo yao inapatikana wapi ndio utasikia mapicha picha.
 
Mods naona mmeamua kuchagua kuwa upande wa mtoa hoja kusambaza sumu hii! Kwanini kwenye heading msiondoe hiyo sentensi ya kwanza ikabaki ya pili tu?
 
Kuna vijana wawili waliacha kibaha boys PCB, wakisema hii elimu inaukafiri,

They were more than smart guys, nataman nijue sasa wako wapi
They were more than smart guys

[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kuna vijana wawili waliacha kibaha boys PCB, wakisema hii elimu inaukafiri,

They were more than smart guys, nataman nijue sasa wako wapi
Kuna mtoto wa mama mkubwa alimuambia mwanae asiendeleee kusoma sheria sababu ni kazi ya dhulma. Dogo akapelekwa VETA. Sasa hivi kawa mvuta bangi na kunywa pombe. Hataki kazi yoyote. Dini hizi ni noma.
 
Inaongelea dini gani ?

Kwenye Uislamu kama ndevu unazo ni lazima kuzifuga kama huna kabisa, hii Sheria haikuhusu.

Kufuga ndevu ni Sunnah za mitume wote.
Umeshasema ni suna halafu hapohapo unasema ni sheria.
 
Huyu mwalimu ni dhaifu ndio maana kakimbia kazi. Angetakiwa apambane na huyu mwalimu mkuu kutumia sheria.
 
Yaani inaonyesha ni jinsi gani hata Quran hawaijui. Madhehebu yamekatazwa kwenye Quran lakini bado watu wanajigawanya. Ila hizi dini 2 ndio zimeleta majanga duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…