Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apartheid ni katazo la kikatiba. Huwezi kulirudisha kijinga.ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Kweli kabisa hadi marekani leo wanatumia nguvu kubwa sana trump kummaliza trump hakuna demokraasia tena ni mwenye nguvu ndio anatawalaDuniani demokrasia ilisha kufa
muda utasema.Chama cha Mandela kikiashindwa nina uhakika chama cha Nyerere kitashindwa one day.
Na hayo ndio waliyoyataka wazungu baada ya ANC kushika mamlaka wazungu wakaanza kutoa mitaji yao ya Mabilioni ya dolar kuyakimbiza kusini mwa jangwa la sahara ili kupunguza uhamiaji Haramu SA, mwisho wa siku pesa ikapungua SA jobless wakaongezeka, Jifunze ya Israel na Ukraine hizi nchi kama sio Mabilioni ya Western country hizi nchi zingekuwa collapsed kiuchumi, lakini wapi, wazungu washaapa lazima Afrika iburuze mkia katika wa dunia ili wao waendelee kuishi kupitia rasilimali zetu, South Afrika wakichanganya kurudisha kaburu wameisha....kwa sasa baadhi ya waafrika kusini wameanza kuibukia kwenye utajiri , kwa kuwa mfumo unawalinda lakini akirudi kaburu hakuna mweusi atakayeibuka tajiri tena, wafanye kazi waache kupenda dezo dezo wazulu...Hakuna chama kilicho irudisha SA nyuma kama ANC, wakati wa utawala wa kibaguzi SA ilikuwa ni moja ya mataifa yaliyokuwa na uchumi mzuri sana duniani lkn leo SA ni kama sisi tu. Bure kabisa.
Bora Sout Africa warudishe beberu kuliko Wazawa wavivu, watumia unga na mafisadi kuliko weupe.Na hayo ndio waliyoyataka wazungu baada ya ANC kushika mamlaka wazungu wakaanza kutoa mitaji yao ya Mabilioni ya dolar kuyakimbiza kusini mwa jangwa la sahara ili kupunguza uhamiaji Haramu SA, mwisho wa siku pesa ikapungua SA jobless wakaongezeka, Jifunze ya Israel na Ukraine hizi nchi kama sio Mabilioni ya Western country hizi nchi zingekuwa collapsed kiuchumi, lakini wapi, wazungu washaapa lazima Afrika iburuze mkia katika wa dunia ili wao waendelee kuishi kupitia rasilimali zetu, South Afrika wakichanganya kurudisha kaburu wameisha....kwa sasa baadhi ya waafrika kusini wameanza kuibukia kwenye utajiri , kwa kuwa mfumo unawalinda lakini akirudi kaburu hakuna mweusi atakayeibuka tajiri tena, wafanye kazi waache kupenda dezo dezo wazulu...
Tatizo la Anc ni wameacha roots zao, from chama cha kumkomboa mwafrika mpaka kuwa chama cha kumdidimiza muafrika.ANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.
Ni kweli. Na ANC ya akina Mandela haitakiwi kwa Afrika Kusini ya Leo. Bali ANC ilitakiwa ibadilike kutokana na mahitaji ya wakati.Tatizo la Anc ni wameacha roots zao, from chama cha kumkomboa mwafrika mpaka kuwa chama cha kumdidimiza muafrika.
ANC ya akina mandela si hiki
Heshima kwako mkuu.South Africa sio Tanzakiza ya wajinga na mawazo kama hayo ndo hufanya waafrika wote tuonekane vituko duniani.
Tanzania mfano wake ni Burundi sio SA ya Makaburu.
Cha ajabu maeneo yote yanayoongozwa na Mzungu yana maendeleo kuliko maeneo ya blacks!! Waafrika sijui tuna laana ganiANC LAZIMA washinde uchaguzi wa 2024. Wasiposhinda maana yake WAPO TAYARI kurudi kwenye UBAGUZI WA RANGI kwa maana chama chenye nguvu baada ya ANC ni Chama cha Makaburu. Nami binafsi nawaombea wasiichague ANC Ili warudi kwenye APARTHEID.