Kushindwa kwa maandamano ya CHADEMA ni karata muhimu kwa Rais Samia na CCM

Kushindwa kwa maandamano ya CHADEMA ni karata muhimu kwa Rais Samia na CCM

Maandamano huzimwa na nguvu ya dola ..hii ni principle

..maandamano ya chadema yamezimwa na jeshi la polisi.

..hoja za Samia kupinga maandamano ya Chadema bila msaada wa Polisi ni zipi?

..Je, Samia anaweza kusimama yeye kama yeye akam-challenge mgombea wa upinzani na kumshinda kwa hoja? Au tutarajie ushirika wa Samia, Polisi, tume, msajili, mahakama, dhidi ya mgombea wa upinzani?
 
..maandamano ya chadema yamezimwa na jeshi la polisi.

..hoja za Samia kupinga maandamano ya Chadema bila msaada wa Polisi ni zipi?

..Je, Samia anaweza kusimama yeye kama yeye akam-challenge mgombea wa upinzani na kumshinda kwa hoja? Au tutarajie ushirika wa Samia, Polisi, tume, msajili, mahakama, dhidi ya mgombea wa upinzani?
polisi ni sehemu ya dola!
..hayo ni mazoea mabaya ya Ccm kutegemea vyombo vya dola.

..Samia alipaswa kutoa HOJA mbadala zitakazopelekea wananchi wasiwaunge mkono maandamano ya Chadema.
Hakuna ishara za wananchi kuunga mkono maandamano ...hili ni pigo kuu kwa chadema
 
polisi ni sehemu ya dola!

Hakuna ishara za wananchi kuunga mkono maandamano ...hili ni pigo kuu kwa chadema

..zipo ishara kwamba hoja za Chadema zinaungwa mkono na wananchi.

..Ndio maana Samia akaingia uoga na kusambaza Polisi ktk miji yote mikubwa kuzuia maandamano.
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY

Maandamano gani yameshindwa?
 
Ccm inashinda kwa sababu ya power maana asilimia kubwa zito angekuwaga rais . Tundu lissu hapana ila lowasa angekuwa rais kuna watu wangewashinda CCM ila kwa msimu huu huyu mama amalizie tu miaka yake maana sija mwona anayefaa labda majaliwa . Hata makamu wa rais anaweza ila chadema hakuna rais hapo. Kura yangu ili isipotee , Urais ni rais mama samia , ubunge atakegombea act wazalendo na madiwani ni huko kule ccm so akili hii sijashurutishwa na mtu nimetumwa na mimi mwenyewe

Si useme wewe ni ACT?
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY
Samia Hana uwezo wa kushinda uchaguzi asipoiba.
 
Awaumbue hadharani hao watekaji na wauaji hakika atapanda chati sana maana atakuwa amejitenga nao.
Hiki tu, Chadema bado ipo juu kwa move yake. bado kazi ngumu ipo kwa samia. Halijaisha hili angalia chochote atakachosema sasa ndio utajua hekima ya uongozi ipo ama bora liende
 
Baada ya kumaliza kuvuruga Maandamano ya Chadema sasa wanaenda kulala humu.

Kutokujijua kitu kibaya sana,
Na dictator analala hapa:

1727141985835.jpeg
 
..maandamano ya chadema yamezimwa na jeshi la polisi.

..hoja za Samia kupinga maandamano ya Chadema bila msaada wa Polisi ni zipi?

..Je, Samia anaweza kusimama yeye kama yeye akam-challenge mgombea wa upinzani na kumshinda kwa hoja? Au tutarajie ushirika wa Samia, Polisi, tume, msajili, mahakama, dhidi ya mgombea wa upinzani?
Excellent
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY
N yinyi wachumia tumbo ndio mnao muangamiza Samia bila yeye kujuwa. Mnadanganya kuwa anapendwa kumbe hata polisi wenyewe wnafanya vitu vya ovyo ili kumchafuwa. Na yeye kwa low IQ yake anaingia kwenye mitego kiurahisi sana.
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY
Ukweli ni kwamba Samia amepoteza sana heshima yake na sasa yupo chini ya spotlight ya kimataifa kuhusu haki na demokrasia.
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY

Watu wa Aina yako ndio mnafanya chadema waonekane wako active

Ishu kama ya jana wangeachwa Tu, wasingefanya anything bad

Hawana hao watu wa kufanya vurugu

Maandamano Yao yasingefikia hata watu 100 trust me

Sasa kujaza Askari kukamatana kwenye ndege

Kuweka attention kubwa

Ile sasa ndio inamwalibia Rais Leo

Leo vyombo vyote cha habari ni chadema na sio Ziara ya Rais Songea

International media zote ni chadema na sio serikali

Hayo mambo ndio walikuwa wanataka so mmeingia kwenye mfumo
 
Back
Top Bottom