Kushindwa kwa maandamano ya CHADEMA ni karata muhimu kwa Rais Samia na CCM

Kushindwa kwa maandamano ya CHADEMA ni karata muhimu kwa Rais Samia na CCM

View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY
Maandamano yamefankiwa, the whole world is aware of the dictatorial regime in Tanzania! Ulitaka nini zaidi ya hapo katika mazingira ambayo watu ni waoga, including you nd me!?

Watu tu waoga, kumbuka maandamano ya numa watu walifurika, presense ya polisi imewatisha wakatishika....... mpaka tutakapokuwa na ujasiri wa kutoogopa risasi, then we wil be there!
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
..Samia ametumia POLISI kuzima maandamano ya Chadema.

..alitakiwa ayazime kwa kujenga HOJA zenye ushawishi kupangua madai ya Chadema.

..Jambo la kuangazia ni hatua ambazo Samia atachukua dhidi ya genge linalohusika na utekaji na mauaji.

..hoja nyingine ni kama Samia ataleta mabadiliko ya kweli ya Tume ya uchaguzi, na Katiba, na kutekeleza kwa vitendo 4R.

..Kwa upande wa upinzani, kupanda, au kushuka kwao, kutategemea kama watakuwa na fedha, na rasilimali, za kutosha kufanya kampeni za ushindani dhidi ya Ccm.

..Samia sio mwanasiasa mzuri. Si mjenga hoja mwenye ushawishi ukilinganisha na wanaotarajiwa kusimama upande wa upinzani.
Nilikwambia hakuna mtu atatokea kwenye maandamano yenu yasiyo na tija.
 
PoliCCM zaidi ya 400,000 waliandamana jana, maamdamano yamefanikiwa kwa 100% na lengo limetimia maana kila mtanzania sasa kaelewa udikteta kwa Serikali yao.
 
Falsafa ya R nne kama inalenga ndani imeangukia pua!! R nne ni Resilience, Reform, Reconciliation, na Rebuilding. Ila wajuvi wanasema hiyo falsafa imelenga nje na sio ndani!! Ingawaje yeye mwenyewe anaonesha imelenga ndani ya nchi!
 
Ule wa 2020 ni uharo sio uchaguzi ndio maana Mungu aliingilia kati na kama ccm itakaidi tena Mungu atafanya maajabu mengine
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY
Kuna tofauti kubwa Kati ya kuzuiliwa na kushindwa mkuu
 
The fools had to demonstrate yesterday, yaani walioandamana wanajulikana. They're just fools.
 
Matumizi ya nguvu kupita kiasi kuzuia maandamano ya jana ni jambo ambalo limemharibia vibaya sana image Rais Samia. Kazi aliyoifanya kwa miaka mitatu hii na kumpa heshima ndani na nje ya nchi imechafuliwa na tukio la jana. Ni kipofu wa akili tu ambaye hawezi kuliona hili.
 

Attachments

  • FB_IMG_1727145615769.jpg
    FB_IMG_1727145615769.jpg
    88.5 KB · Views: 1
Matumizi ya nguvu kupita kiasi kuzuia maandamano ya jana ni jambo ambalo limemharibia vibaya sana image Rais Samia. Kazi aliyoifanya kwa miaka mitatu hii na kumpa heshima ndani na nje ya nchi imechafuliwa na tukio la jana. Ni kipofu wa akili tu ambaye hawezi kuliona hili.
Wamejua kweli kumharibia sana
 
View attachment 3104858

Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.

Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.

Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .

kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.

Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)

Soma Pia:

Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.

Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .

Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.

Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025

FOR GTs ONLY
Screenshot_20240924_115418_Instagram.jpg

Maandamano yamefanikiwa sana hadi Aljazera wameripoti achilia mbali midia za ulaya.
Mpeni moyo huyo kilazeri wenu saa yaja
Screenshot_20240924_004537_Chrome.jpg
 
Nilikwambia hakuna mtu atatokea kwenye maandamano yenu yasiyo na tija.

..Ni kwasababu walitishwa na Polisi.

..watu wanaandamana kusindikiza wagombea kurudisha fomu, hawawezi kugomea maandamano ya jambo la msingi kama kupinga utekaji na mauaji.
 
Kiukweli jana nimeshangaa kwanini viongozi wamejitolea kwa asilimia kubwa kuja kwenye maandamano lkn wananchi wakagoma kuingia barabarani.

Hii maana yake nini? Wananchi hawataki kushirikiana tena na viongozi Wa Chadema...mfano mbowe alishikwa lisu na lema

Je, Yeriko Nyerere Malisa na Maranja Masese walienda wapi?

Na kama viongozi walishikwa kwann wananchi hawakuja front line kuendelea na maandamano na kulazimisha viongozi wao waachiliwe

Jambo hilo limewapa ushindi serikali kwamba wakiamua jambo lao wapinzani hawana uwezo wa kubisha
Nawasilisha
 
Wameshinda vp kwa mitutu ile na maskari kila kona, kauli ya mwanaume mmoja mbowe.. imewajambisha wanaume maelfu nchi nzima 😁😁😁
Mimi hii mada hata staki kuona, serikali tunaishukuru, naa. Jeshi as well siku ilikua salama sana. Kuliko presha tulioipata.

Nikujibu ndugu, mmeo mbowe , alisema wataandamana hakuna kurudi nyuma ata afe,. Unategemea askari wasiwepo, mlitaka kuuwa wananchi.

Lastly, mngetokea basi wengi kama mlivojinasibu, sasa mitutu kwanini mliogopa.

Kwetu mbowe ni hatari, yyte ambaye anngeshiriki maandamano alikua hatari kwa usalama wetu.

Asante sana polisi na jeshi la tz na serikali na wote waliohusika kulinda amani. Asanteni
 
Back
Top Bottom