Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,987
- 6,682
Ila kutekwa na kuuwawa wa Tanganyika wenzetu ni mambo ya kufumbiwa macho sio, wewe na waume zako ma askari wenye ufaulu wa zero na mishahara ya single digits mnaliwa na meko.Mimi hii mada hata staki kuona, serikali tunaishukuru, naa. Jeshi as well siku ilikua salama sana. Kuliko presha tulioipata...