Achana na hizi spins za kitoto rudi kwenye mada kuntu tulizozoea
Maandamano yamefankiwa, the whole world is aware of the dictatorial regime in Tanzania! Ulitaka nini zaidi ya hapo katika mazingira ambayo watu ni waoga, including you nd me!?View attachment 3104858
Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.
Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.
Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .
kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.
Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)
Soma Pia:
- Je, Nape alikuwa ni mmoja wa waandaaji wa #VoNoCo dhidi ya Rais Magufuli?
- Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.
Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .
Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.
Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025
FOR GTs ONLY
Nilikwambia hakuna mtu atatokea kwenye maandamano yenu yasiyo na tija...Samia ametumia POLISI kuzima maandamano ya Chadema.
..alitakiwa ayazime kwa kujenga HOJA zenye ushawishi kupangua madai ya Chadema.
..Jambo la kuangazia ni hatua ambazo Samia atachukua dhidi ya genge linalohusika na utekaji na mauaji.
..hoja nyingine ni kama Samia ataleta mabadiliko ya kweli ya Tume ya uchaguzi, na Katiba, na kutekeleza kwa vitendo 4R.
..Kwa upande wa upinzani, kupanda, au kushuka kwao, kutategemea kama watakuwa na fedha, na rasilimali, za kutosha kufanya kampeni za ushindani dhidi ya Ccm.
..Samia sio mwanasiasa mzuri. Si mjenga hoja mwenye ushawishi ukilinganisha na wanaotarajiwa kusimama upande wa upinzani.
Hapo 'jicho dogo' hamaanishi jicho kama jicho kibailojia!jicho ni dogo ila ubongo upo vizuri ...yaani upo complex
Kuna tofauti kubwa Kati ya kuzuiliwa na kushindwa mkuuView attachment 3104858
Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.
Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.
Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .
kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.
Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)
Soma Pia:
- Je, Nape alikuwa ni mmoja wa waandaaji wa #VoNoCo dhidi ya Rais Magufuli?
- Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.
Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .
Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.
Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025
FOR GTs ONLY
Wamejua kweli kumharibia sanaMatumizi ya nguvu kupita kiasi kuzuia maandamano ya jana ni jambo ambalo limemharibia vibaya sana image Rais Samia. Kazi aliyoifanya kwa miaka mitatu hii na kumpa heshima ndani na nje ya nchi imechafuliwa na tukio la jana. Ni kipofu wa akili tu ambaye hawezi kuliona hili.
View attachment 3104858
Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania.
Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa CHADEMA walitafakari na kujipanga vyema ili waweze kurejea japo kwa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ajenda za ushindi katika uchaguzi zinajulikana zaidi niseme ni maswala ya huduma za jamii,maswala ya biashara ,uchumi wa mtanzamia mmoja mmoja na ikibidi kujenga hasira dhidi ya chama tawala.
Kwa upande wa ajenda za huduma za jamii Rais Samia amefanya mengi na ameyaeleza,kwa upande wa biashara amejitahidi kufanya vyema ikiwemo kupambana na majaribio kadhaa ya migomo iliyoratibiwa vyema na wapinzani ya wafanyabiashara .
kwa upande wa uchumi pamoja na presha kubwa ya hali ya kidunia bado ameweza kuhimili.
kwa upande wa kuibua hasira za wananchi pia alifanya vyema kwa kuja na 4 Rs. CHADEMA imekosea kutumia turufu hii ya mwisho au niseme haikujiandaa vyema au pengine ni ugumu waliokutana nao kutoka kwa intelijensia ya Serikali ya Samia.
Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa na kushtua au kushtukiza yaliolenga vyombo vya kiusalama na diplomasia ikiwemo kuondolewa kwa Makamba na Nape(Niliwahi kuhoji kama Nape alitaka kuandaa vonoco dhidi ya Magufuli)
Soma Pia:
- Je, Nape alikuwa ni mmoja wa waandaaji wa #VoNoCo dhidi ya Rais Magufuli?
- Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mabadiliko haya makubwa na ya hatari katika Taifa yasingeweza kupita hivi hivi bila misukosuko mikubwa.
Mwezi septemba tunajionea kashikashi kubwa inayotaka kumtokea Rais Samia ambayo unaweza kuifananisha na kashikashi nyingi zilizowahi kuwakuta kina Jakaya Kikwete na John Pombe Magufuli, mfano maandamano makubwa ya wamasai,Utekaji na mauji mfululizo yenye kuibua ghadhabu za umma na sasa jaribio la maandamano la CHADEMA .
Hata hivyo inaionekana Samia alijipanga mno tena sana.
Leo inaweza kuwa ni siku muhimu kwa Rais Samia kwa kufanikiwa kuzima jambo kubwa pengine Jaribio baya la kumuangusha. Ila kwa mafanikio haya naiona njia nyeupe kuekelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na hatimaye 2025
FOR GTs ONLY
Nilikwambia hakuna mtu atatokea kwenye maandamano yenu yasiyo na tija.
Siyo kweli. Hakuna Mtanganyika asiyejua kuwa ccm inasaidiwa na polisi. Hata wewe unajua. Fanyeni fair muoneView attachment 3104858
Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania...
Lete hoja kwanzaUsiku mwema
Mimi hii mada hata staki kuona, serikali tunaishukuru, naa. Jeshi as well siku ilikua salama sana. Kuliko presha tulioipata.Wameshinda vp kwa mitutu ile na maskari kila kona, kauli ya mwanaume mmoja mbowe.. imewajambisha wanaume maelfu nchi nzima πππ
Wananchi wengi wakiwemo wanachadema wanaojielewa wamegundua michezo wanayofanya viongozi wa Chadema!!!Hii maana yake nini!? Wananchi hawataki kushirikiana tena na viongozi Wa Chadema..