Ila kutekwa na kuuwawa wa Tanganyika wenzetu ni mambo ya kufumbiwa macho sio, wewe na waume zako ma askari wenye ufaulu wa zero na mishahara ya single digits mnaliwa na meko.
Ila kutekwa na kuuwawa wa Tanganyika wenzetu ni mambo ya kufumbiwa macho sio, wewe na waume zako ma askari wenye ufaulu wa zero na mishahara ya single digits mnaliwa na meko.
Polisi waliotanda kila mahali wengine wakiletwa kutoka mikoani, wakiwa wamebeba silaha, mbwa, magari ya maji ya kuwasha, mabomu ya machozi, ukichanganya na mauwaji na utekaji unao endelea.
Ambapo ni wazi kabisa huu ni ugaidi dhidi ya wananchi.