Nenda utatoboa Wacha uoga siku ukimaliza unialike
Yaani nimecheka 🤣🤣🤣Nimewaachia likitabu lao pale COET. Roho mbaya tu hamna lolote. Coursework imeenda fresh shida dissertation, ova nikimaliza naenda kuchukua cheo chake. Kama unasoma hapa Dr. D.M.M nimeanza Ardhi kusoma upya. Furahi sasa.
Ilikuwa PhD siunajua awamu ya mwendazake Kila mtu alikimbilia kupata PhD ili ateuliweYe anataka titles ya masters na teuzi zisimpite so lazima afanye hvyoo.. hyo anajua inarudi within a week only
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bongo hii ukijulikana rahaDuuuh mbna hatariii hii, khaaah
Hao viongozi wa serikali si ndio wale juzi kati Udom imeamua kuwazawadia PhD za bure kama maandazi akina Biteko,[emoji28][emoji28][emoji28]umeona eeh ka mheshimiwa flani alitoa milion hamsini kasoro akaandikiwa dissertation ya PhD hafu Huwa ana jimwambafai kweli kweli.
Ukitaka upate urahisi uwe na cheo serikalini utamaliza mapema
Hao wa udom aisee disertation zao zilikuwa hovyo mwingine ame copy ya mwingine huko kenya ka ilivo in short ilikuwa kituko eti wamemaliza mapema wakiwa na majukumu Yao full time, huku kina kajamba nani ni mwendo wa kusumbuliwa mpaka uchakae na ka mastars Kako uchwara.Hao viongozi wa serikali si ndio wale juzi kati Udom imeamua kuwazawadia PhD za bure kama maandazi akina Biteko,
Hata maandishi yao hayapo.
Upumbavu mtupu
Ila Kuna watoto wa watu wanakaa darasani kusoma wanawatesa miaka minne hawajapata degree za pili.
Dr yupi huyo... [emoji41]Sitasahau msuli wa geology pale Udsm, kuna Dr mmoja hivi aaah miyayusho sana yule akikamata sup yeye ndio furaha.
TIGO EXPRESS.Pale kuna totoz miaka yote tumepigana sana exile kupishana kuzigegeda, wengine magetoni Msewe, Mwenge na Sinza. Pisi za Kinyarwanda ziliwamaliza sana pesa wana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aisee, mlifaidi sana, Nyeto nilianzia CoET aisee, maana madem wananuka midomo, sura kama yangu
HatariNilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.
Watanzania tupunguze kutesana tuwe problem solver if you can help someone please rahisisheni maisha.
Hafu ma classmate wangu niliwaacha wanateseka mpaka Leo wake zao kulia tu. Huyo mmoja alitakiwa aongeze elimu apande cheo mpaka Leo hola Huwa anajipigia zake bia [emoji2][emoji2][emoji2]
Una kitu kinachoweza tusaidia [emoji1666][emoji1666][emoji1666]Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Huyo mweshimiwa yupo Gavo kwa sasa?[emoji28][emoji28][emoji28]umeona eeh ka mheshimiwa flani alitoa milion hamsini kasoro akaandikiwa dissertation ya PhD hafu Huwa ana jimwambafai kweli kweli.
Ukitaka upate urahisi uwe na cheo serikalini utamaliza mapema
Nikivuta picha kama inakuja Trat na Trab vile[emoji3][emoji3]Si alikuwa waziri yuko busy na mishe ikabidi atoe hyo hela. Yani uwe full time waziri na PhD una maliza haraka ndani ya mda loh
Ndio wAziri mwenye shombo sana na anajiaminiHuyo mweshimiwa yupo Gavo kwa sasa?
[emoji28][emoji28][emoji28] utatekwa shauri yakoNikivuta picha kama inakuja Trat na Trab vile[emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28] utatekwa shauri yako
Alisema tuhamie kule kwa jirani, tumeendelea kubanana humu humu ingawa maumivu tunayapata kweli kweliNdio wAziri mwenye shombo sana na anajiamini