Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

[emoji28][emoji28][emoji28]umeona eeh ka mheshimiwa flani alitoa milion hamsini kasoro akaandikiwa dissertation ya PhD hafu Huwa ana jimwambafai kweli kweli.
Ukitaka upate urahisi uwe na cheo serikalini utamaliza mapema
Hao viongozi wa serikali si ndio wale juzi kati Udom imeamua kuwazawadia PhD za bure kama maandazi akina Biteko,
Hata maandishi yao hayapo.
Upumbavu mtupu

Ila Kuna watoto wa watu wanakaa darasani kusoma wanawatesa miaka minne hawajapata degree za pili.
 
Hao viongozi wa serikali si ndio wale juzi kati Udom imeamua kuwazawadia PhD za bure kama maandazi akina Biteko,
Hata maandishi yao hayapo.
Upumbavu mtupu

Ila Kuna watoto wa watu wanakaa darasani kusoma wanawatesa miaka minne hawajapata degree za pili.
Hao wa udom aisee disertation zao zilikuwa hovyo mwingine ame copy ya mwingine huko kenya ka ilivo in short ilikuwa kituko eti wamemaliza mapema wakiwa na majukumu Yao full time, huku kina kajamba nani ni mwendo wa kusumbuliwa mpaka uchakae na ka mastars Kako uchwara.
 
Nilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.
Watanzania tupunguze kutesana tuwe problem solver if you can help someone please rahisisheni maisha.
Hafu ma classmate wangu niliwaacha wanateseka mpaka Leo wake zao kulia tu. Huyo mmoja alitakiwa aongeze elimu apande cheo mpaka Leo hola Huwa anajipigia zake bia [emoji2][emoji2][emoji2]
Hatari

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani kuwe na deadline Kwa wahadhiri na wanafunzi pia.kama mhadhiri anasimamia research apangiwe muda wa kusahihisha na kutrudisha Kwa mwanafunzi na mwanafunzi nae iwe hivyo hivyo.na wahadhiri wa repotiwe wasiporudisha Kwa wakati.wanafunzi wasingekua na malalamiko.rafiki wawili hawajamaliza mpaka leo.wamejikatia tamaa.mbona walimu wa Nje wanawekewa deadline ya kupost grade za wanafunzi wao.wahadhiri wa bongo hawawajibishwi.
 
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Una kitu kinachoweza tusaidia [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
[emoji28][emoji28][emoji28]umeona eeh ka mheshimiwa flani alitoa milion hamsini kasoro akaandikiwa dissertation ya PhD hafu Huwa ana jimwambafai kweli kweli.
Ukitaka upate urahisi uwe na cheo serikalini utamaliza mapema
Huyo mweshimiwa yupo Gavo kwa sasa?
 
Back
Top Bottom