R.i.pMkuu mi naona udsm wanasimamia standard vizuri
[emoji28][emoji28][emoji28]eti tuende huko kwenye unafuu Kwa jiraniAlisema tuhamie kule kwa jirani, tumeendelea kubanana humu humu ingawa maumivu tunayapata kweli kweli
Mbona hizo APA udsm wanatumia kuanzia undergraduate Tena inaanza first year, Tena hyo anti plagiarism ndio kipaumbele haswa, shida ni supervisor kuwa busy na mambo Yao na kufanya kazi za wanafunzi ka extra duty isiyo na msingiR.i.p
prof. Y. Bwatwa, Asante Mwenyezi Mungu Kwa kunikutanisha na Huyu gwiji,
Research methodologies lazima zokukae kichwani.....
A.P.A Style LAZIMA tu [emoji4][emoji3526] itakukaa kichwani prof. Y . Bwatwa hakua na masiala
Yaan,
Hakuna kudesa Kuna Ant_plagiarism software sikuizi [emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526]
πππMkuu komaaa tu utagraduate Hakuna kitu kisicho na mwsho.Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.
Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Sio fire huyu kweli mkuu πππSitasahau msuli wa geology pale Udsm, kuna Dr mmoja hivi aaah miyayusho sana yule akikamata sup yeye ndio furaha.
Unajua kwanini watu wengi hawapendi na hawajui (majority) kufanya tafiti..Mbona hizo APA udsm wanatumia kuanzia undergraduate Tena inaanza first year, Tena hyo anti plagiarism ndio kipaumbele haswa, shida ni supervisor kuwa busy na mambo Yao na kufanya kazi za wanafunzi ka extra duty isiyo na msingi
Kukremu anakremu wewe sio woteHaya maoni yako utafikiria ulikuwa kichwani mwangu kabisa, hata udsm walivotutafta tutoe maoni ya kubadili niliwaambia maoni ka haya uliyoandika kuhusu hata masomo ya reflect ku solve matatizo ya jamii pia Kwa kushirikiana na mashirika na taasisi ni sehemu ipi iwe na focus ili taasisi kupitia wanafunzi na tafiti ipatikane solution, shida Yao wameridhika hawafikirii nje ya box pia wahadhiri hawataki mawazo mapya wanataka vilivyomo vichwani mwao.
I told them huko makazini na mlivotufundisha applicability yake ndogo and you have to learn new things. Sasa hii mitala yetu ukifanya kwenye international organization inabidi ku learn vipya tofauti na madesa ya ku cremisha, hafu sikuhizi vitu vinabadilika huku vyuoni wanatumia desa lile lile zaidi ya miaka Kumi.
I think pia ni mda wa kuanza kuajiri wahadhiri ambao tayari wanauzoefu na kazi ya anachofundisha sio mtu ana gpa kubwa anafundisha tu huku hajawahi kukifanyia kazi. Ukija kitaa vitu ni irrelevant. Udsm wanasumbua Kwa research ila kazini research haichukui mda na tatizo linajulikana na kuwa solved tofauti na ma dissertation ya udsm yaliyo kosa msaada Kwa jamii
Professor sio kazi yake kukufundisha jinsi ya kutumia softwareSir
e hakuna kitu nilichukia kama ufundishaji wa statistics pale Mlimani. Ni kama ulivyosema lecture anakomalia historia ya statistics na nadharia nyingi na kufanya statistics kuonekana ngumu mno.
Hakuna matumizi ya modern statistics softwares tena nashangaa kama bado watu hawafundishwi softwares kama R, Matlab, SPSS, nk! Ufundishaji wa hovyo sana huo na haunsaidii mwanafunzi.
Nimejifunza kitu hapa,Utakuwa lecturer mbaya na hapa ndipo Tanzania tunapoangukia! Tunafikiri kuwa lecturer hapaswi kuwafundisha wanafunzi wake jinsi ya kutumia statistical softwares?!
Wanafunzi wanafanya practicals za statistics kivipi kama lecturer haingii lab nao na kuwaongoza? Kwanini unafikiri kazi ya lecturer ni kutoa nadharia tu? Unajua kwanini Tanzania wasomi wetu hawawezi kujiajiri na wana elimu za nadharia pekee? Ni kwasababu wanafanya kama unavyofikiri.
University of Glasgow in Scotland wana policy kwamba kila mwanafunzi ajue na atumie R statistical software katika kazi zake hasa wanafunzi wa science. Software hiyo inafundishwa kwa 90% practicals na 10% ndio theory. Huku kwetu ni kinyume. Ujinga una gharama kubwa!
Mzee wapinga Pinga umekuja, njoo na hoja za kujenga na kusaidia improvement kwenye taasisi zetuKukremu anakremu wewe sio wote
Usije sema UDSM ni kukremisha,kukremisha ni ubongo binafsi wa mtu kuna wanaoelewa vizuri sana
Ni complication tu za vyuoni huku makazini study zinafanyika in simple way na kuja na solution na mambo yanaenda huko wako busy na kothari sijui ni kitu Gani kuzunguka zungukaUnajua kwanini watu wengi hawapendi na hawajui (majority) kufanya tafiti..
Kufundishwa APA ni jambo Moja kutumia ni jambo lingine...
Wengi wetu hatujui kanuni za kufanya utafiti.....Na ndio maana mtu yupo tayar kufanyiwa utafiti wake na mtu yeye akaenda ku present....
Kupinga ndio kazi yanguMzee wapinga Pinga umekuja, njoo na hoja za kujenga na kusaidia improvement kwenye taasisi zetu
Nani kasema tupite kiurahisi hujaona hoja nyingine zakubadilisha na za msingi ni mjinga tu anayefikiri kuweka ugumu wa mambo au huduma ndio ubora kumbe ni ujinga na kukosa problem solving skills ambayo watanzania 98% hawana wanaamini kusumbua watu ndio ubora wa mambo, hovyo kabisa.Kupinga ndio kazi yangu
Wewe unataka mpite tu kiulaini...ni lazima tufanye heavy scrutiny!
Research Methodology: Methods and TechniquesNi complication tu za vyuoni huku makazini study zinafanyika in simple way na kuja na solution na mambo yanaenda huko wako busy na kothari sijui ni kitu Gani kuzunguka zunguka
[emoji28][emoji28][emoji28] ndio huyo Kila corner kothari anapendwa kweliResearch Methodology: Methods and Techniques
Book by C. R. Kothari
Huyu kothari ndio wanazuoni wengi humu quote...
Nakumfanyia citation [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ma lecturer wengi wenye exposure na walio soma mbele (Abroad)....Nani kasema tupite kiurahisi hujaona hoja nyingine zakubadilisha na za msingi ni mjinga tu anayefikiri kuweka ugumu wa mambo au huduma ndio ubora kumbe ni ujinga na kukosa problem solving skills ambayo watanzania 98% hawana wanaamini kusumbua watu ndio ubora wa mambo, hovyo kabisa.
Shida ndio hiiNani kasema tupite kiurahisi hujaona hoja nyingine zakubadilisha na za msingi ni mjinga tu anayefikiri kuweka ugumu wa mambo au huduma ndio ubora kumbe ni ujinga na kukosa problem solving skills ambayo watanzania 98% hawana wanaamini kusumbua watu ndio ubora wa mambo, hovyo kabisa.
Duuuh hatarii hii.Ye anataka titles ya masters na teuzi zisimpite so lazima afanye hvyoo.. hyo anajua inarudi within a week only
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app