Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Tunaishi Tanzania na sio huko kwenye kampuni za Benz na Apple,na tunaishi kulingana na mazingira yanavyituhitaji.Kama wewe ni majiriwa na takwa kuwa na degree ya pili basi lazima utafanya hivyo vilvile kama umejiriwa private basi kuna ushindani na sofa za ziada zitakuwezesha kukabiliana na ushindani wowote utakaojitokeza.
 
Sawa Dr wansegamila🤓🤓🤓🤓
 
Mkuu karibu vyuo vyote vya uma Tanzania waalimu wameelemewa na wanafunzi kuanzia undergraduate mpk postgraduate.
Idadi ya wanafunzi imeongezeka maradufu waakti hawajaanda walimu wa kutosha. Kuhusu kupunguza udahili management haiwezi kubali sababu ya uroho wa hela za ada kumbuka OC siku hizi hawapewi..
Wanafunzi wanajipambania kwa kweli japo mazingira si mabaya sana ukilinganisha na nchi nyingine ambazo unapambania thesis yako pamoja na kazi kibao za supervisor.
 
Mimi niligundua hilo mapema nikakimbilia SUA mkuu. Pale UDSM kuna wahadhiri vilaza na conservatives sijawahi kuona hapa ulimwenguni.
 
Mimi niligundua hilo mapema nikakimbilia SUA mkuu. Pale UDSM kuna wahadhiri vilaza na conservatives sijawahi kuona hapa ulimwenguni.
Elimu ya bongo ngumu Sana, tunazalisha wasomi wajinga wengi, kwa ninachokiona kinaendelea huko mahakama ya usuruhishi wa migogoro, ni aibu, mawakili wetu wanauliza maswali kama vile wamefumaniwa, mbele ya ngozi nyeupe, wamekuwa wanyonge kama mbwa mbele ya chatu,
Mashahidi wanashindwa hata kujibu maswali madogo kabisa,lugha haipandi,
Watu wapo wizarani, lakini hawajuhi hata sheria na taratibu zinazoongoza wizara zao,
Prof Mruma, ndio alitumika kama dekio pale mahakamani,ameulizwa maswali anajibu kama mtoto wa kindergarten!
Zee zima linalia lia
 
Masters gani mtu Akisoma udsm anamaliza
Kati ya hizi faculties business na social study
 
Nakubali[emoji817]
 
Duh!...unatutisha mkuu
 

Hatari sana bora kuomba kusoma ulaya tu
 

Duuuuuuu
 
Mama Abdul alipewa Phd hapo niliwashangaa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…