G777
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 227
- 604
Mfumo wetu wa ELIMU ni wakumpima mtu anae weza kukumbuka vitu vilivyo fundishwa na ukiwa na uwezo mkubwa wa kukariri unaitwa una akili.....
Nimebadilisha mtazamo kuhusu ELIMU na AKILI ni vitu viwili tofaut akili ni Zaid ya hizi certificate zetu tunazo jinasibu nazo humu...................
ELIMU sahihi ni Ile itakayo mfanya binadamu akaweza kuyatawa maisha yake...
Umenena vyema! Mafanikio ya kielimu na Akili ni vitu viwili tofauti.