Kusoma sana sio kigezo cha utendaji: Nehemiah Mchechu ana degree moja

Kusoma sana sio kigezo cha utendaji: Nehemiah Mchechu ana degree moja

Scheme ya Serikali sidhan kama inaruhusu mtu kuwa MD,DG, CEO wa Sehemu flani hali ya kuwa hauna MASTERS.

Labda kama alipewa
Sijajua kwa waliosoma miaka ya zamani ila wasomi wa miaka ya hivi karibuni wana database yao ya Alumni (sijajua ilianza lini lakini kipindi nahitimu chuo hapo UD wakati nafanya clearance niliambiwa moja ua sharti ni kujisajili kwenye mfumo wa Alumni)

na nina hakika tangu nihitimu kuna maelfu na maelfu wamekuja baada yangu na wamejisajili, hivyo database ipo.

Shida vyuo vyetu havina mahusiano mazuri na wanafunzi wao.

Huwezi mchangisha mtu pesa yake huku huna urafiki nae.

Hizo havards zinapata funds kwa kuchangisha alumni wao sababu zina mahusiano nao mazuri kipindi wakiwa chuoni mpaka wanapomaliza
 
Wenyewe mlisema sisi manesi na wakunga twenye uzoedu wa miaka zaidi ya 15 tuna vyeti feki na tulishazoea kazi zetu kiasi tunaweza kumzalisha mtu kwa miguu bila kutumia mikono huku tuko instagrammar hatufai acheni tuu vyeti vitumike msituumize zaidi tafadhari
Poleni sana
 
Scheme ya Serikali sidhan kama inaruhusu mtu kuwa MD,DG, CEO wa Sehemu flani hali ya kuwa hauna MASTERS.

Labda kama alipewa favor..
Mimi mwenyewe nimeshangaa lakini hiyo ni kauli yake mwenyewe na akiwa Live kuwa nina degree moja na sina mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa msije mkanikamata bure (to VC's) , alipozungumzia kuhusiana na vyuo kuwa na ukata
 
Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.

Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.

Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.

Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.

Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.


Mimi nina degree moja na sioni sababu ya kuwa na degree nyingine kwasababu hizi. Masters nyingi ni kwa wale ambao degree zao zilikuwa sio za kazi mfano degree ya sociology haiwezi kukupa kazi ya bank . Lakini kwa wale wenye degreee nzuri hauna sababu ya masters. Masters na PHD ni tafiti tu ambazo kwa mara nyingi hazina kabisa uhusiano na kazi. Hivyo degree moja ni kusoma sana!
 
Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.

Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.

Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.

Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.

Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Yule ana Degree moja na kipawa cha uongozi.Kipawa hakisomewi mahala popote bali unatunukiwa na Mungu!
 
Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.

Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.

Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.

Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.

Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
JPM alimtumbua KWANINI?
Mama alimtumbua KWANINI?
 
Siyo kweli; inategemea ni mtu gani na amesoma nini na alisomaje. Kuna wanosoma kupata vyeti tu na utawakuta wametundika vyeti hivyo kwenye kuta zao; watu hao mara nyingi ndiyo wenye majivuno. Kuna wanaosoma kuielewa dunia kwa undani zaidi. Watu hao huwa ni wanyenyekevu kwani kadri wanavyozidi kuielewa dunia ndipo hujitambua pia kumbe kuna mambo mengi hawayajui.
Wa vivu ni wengi zaidi, mchukue mtu mwenye diploma muweke na mwenye degree uone kama wanaweza fanya kazi sawa
 
Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.

Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.

Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.

Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.

Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Wewe unamuona ni mtendaji mzuri? Mie naona kama anapita tu njia tofauti na iliyozoeleka maana uzuriwake sijauona. NHC alipandisha tu kodi akapata hela nyingi kuliko yule aliyekuwa anatoza kodi ya kawaida. Ila nyumba ziliendelea kubaki cvhafu tena chafu sana
 
Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.

Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.

Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.

Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.

Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Huyu yuko vizuri namkubali sana ni role model kwa utendqji mzuri na ubunifu mwenyezi mungu aendelee kumbariki. Japo pia ni vema tuendelee kuencourage watu kusoma zaidi na pia tumshawishi na yeye aandike hata kitabu ili yale mazuri yake yaendelee kwa vizazi na vizazi.
 
Na hasa anaposoma ili kupata heshima ktk jamii na sio kusolve matatatizo yao.. Mfano katibu wa maji alietenguliwa😂😂😂
Dah hii nchi ngumu sana, sasa mheshimiwa Katibu Mkuu wa Maji mstaafu ana baya gani? Si masuala ya siasa tu😂
 
Yaani senior officer tena msajili wa hazina awe na bachelor uyu jamaa inawezekana haelewi kilichokua kinazungumzwa
Itakuwa huelewi kinachozungumzwa au hujasoma kwa makini nilichoandika, nimeweka wazi kilichokuwa kinaongelewa na scenario husika na mhusika kataja live, maana hata ukisoma andiko langu nimebainisha wazi kushtushwa na kitu hiki. Unaweza pia kufuatilia historia yake unaweza kuja na kitu cha ziada ila mi nimemnukuu mhusika akiwa live kabisa.
 
Huyu yuko vizuri namkubali sana ni role model kwa utendqji mzuri na ubunifu mwenyezi mungu aendelee kumbariki. Japo pia ni vema tuendelee kuencourage watu kusoma zaidi na pia tumshawishi na yeye aandike hata kitabu ili yale mazuri yake yaendelee kwa vizazi na vizazi.
Ni wazo zuri
 
Back
Top Bottom