Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
- Thread starter
-
- #141
Pengine utendaji wake ulimfanya kuaminiwa na kupewa nafasi kitu ambacho alikitumia vizuri,Sahihi labda awe alibebwa
200% correct!Scheme ya Serikali sidhan kama inaruhusu mtu kuwa MD,DG, CEO wa Sehemu flani hali ya kuwa hauna MASTERS.
Labda kama alipewa favor..
Mkuuumeuapproach huu uzi tayari ukiwa na jusyifications zako tayari, na ndio maana umekuwa negative moja kwa moja ilhali ukiiangalia haikuwa na lengo la kumtofautisha na wengine, bali kuwa mfano wa wengi kama yeye ambao kwa sasa bado hawaaminiwi au wanasita kuaminiwa kutokana na kiwango chao cha elimu
na ndio inakuja dhima kamili ya uzi huu, je degree zaidi ya moja ni kigezo pekee kama sio kikuu cha kuaminiwa katika nafasi nyeti???
hasa nikijaribu kuoanisha perfomance na qualifications
PhD isiyo na impact kwenye jamii haina maana hata kidogo.Mkuu
Sijakuelewa
Indicators nzuri za nchi imeendelea ni number of PHDs per capita
Yaani leo unataka ku-play down roles za tertiary education in a nation?
Acha kupalilia ujinga kwa kuangalia exception moja ya Mchechu,hiyo ni exception kati ya watu milioni 60 ndugu!
Usije na ujinga eti PHDs hazina kazi ni ujinga eti kisa Mchechu ana akili?
Hebu kua serious!
Yes kuna umuhimu wa kuwa na shule, lakini je kuna umuhimu au la wa kuwaamini vijana ambao hawana shule nyingi katika nafasi nyeti za maamuzi ikiwa wanaperform vizuri??Ukiona mtu anataja elimu yake, ujue ana inferiority complex. Huyo kusema ana kadegrii kamoja anaji console. Hata huyu Ramon Sanchez naona hana shule ni wale wale. Shule ndiyo mpango mzima!
I rest my case😂Ngoja kwanza niwatafsirie vijana maana kwa hivi hawatakuelewa kabisa ndugu mleta uzi
Wakuu anachomaanisha mleta uzi ni kama vile kuwa na ndevu nyingi haimaanishi ndio uwezo wa kuichakata mbususu na kumridhisha demu
Haya kwako ndugu mleta uzi tuendelee na mjadala.
Aliekwambia PHDs hazina kazi ni nani? Mbona unamlisha mtu maneno ambayo hajayatamka? Ukiangalia vizuri nilichosena hapo je umejibu kile nilichouliza au umekuja na yako mwenyewe?Mkuu
Sijakuelewa
Indicators nzuri za nchi imeendelea ni number of PHDs per capita
Yaani leo unataka ku-play down roles za tertiary education in a nation?
Acha kupalilia ujinga kwa kuangalia exception moja ya Mchechu,hiyo ni exception kati ya watu milioni 60 ndugu!
Usije na ujinga eti PHDs hazina kazi ni ujinga eti kisa Mchechu ana akili?
Hebu kua serious!
Of course yes! Kwa vile si wote watakuwa na shule za juu. Shule ni pyramid kumbuka na tunategemea wenye PhD (za ukweli si za Mchongo) katika kila fani na katika kila nchi kuwa wachache!Yes kuna umuhimu wa kuwa na shule, lakini je kuna umuhimu au la wa kuwaamini vijana ambao hawana shule nyingi katika nafasi nyeti za maamuzi ikiwa wanaperform vizuri??
La upindeKanisa Moja Takatifu La Mitume
Ujuzi mwingi na maarifa tele hupatikana field au wengine husema kwa ground sio darasani !!Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Kwakweli !Poleni sana
Upinde umeanzia uarabun Chief huijui historia wewe. Catholic church ndio pekee wamekataa upinndeLa upinde
MkuuAliekwambia PHDs hazina kazi ni nani? Mbona unamlisha mtu maneno ambayo hajayatamka? Ukiangalia vizuri nilichosena hapo je umejibu kile nilichouliza au umekuja na yako mwenyewe?
Nafikiri ingefaa ujibu kile nilichouliza then ungekuja na yako, kutofanya hivyo ni ujinga
Ni vizuri kama mtu atafanya hayo lakini bado haipunguzi umuhimu wa kujiendeleza kimasomo especially Kwa kitu ambacho unakifanyia kazi.....kama una uwezo wa kusoma ni vizuri kusoma Kuna kitu kipya kinaongezekaIla tukumbuke pia watu kama hawa ambao wana degree moja lakini uelewa wao na competence huwa ni mkubwa,
Unaweza kuta tangu ahitimu ana practice kitu alichosomea, anafuatilia trends na mabadiliko mbali mbali yanayotokea katika kada yake au eneo lake la ubobezi, anafuatilia tafiti mbalimbali zinazofanywa katika eneo lake la kazi, na anahudhuria semina, warsha na makongamano yanayohusu sekta aliyopo hivyo uelewa wake na skills zinakuwa zinaongezeka kwa sababu ya kuongeza maarifa kila baada ya kupindi fulani baada ya kuhitimu
Well said....Kwa kuongeza tu ukiona mtu anajifariji Sina elimu na nimefanya hili na lile mara nyingi Huwa ni mtu mwenye inferioty na anataka kuprove Kwa watu especially waliomzidi elimu kuwa yeye ni superior.Angekuwa na shule Inayozidi asingeongea Ivo angejua anafanya kitu ambacho ana uwezo nacho.Mkuu
Acha kujifanya kukwepa unachomaanisha
Wewe unatukana waliosoma sababu tu umeona mwanadamu mmoja mwenye akili nyingi japo hajaenda shule ndio eti uwe mfano wa wanadamu milioni 60 katika nchi inayoitwa Tanzania
Ndio maana nikakupasha huwezi chukue exception ukageuza ndio rule!
Mchechu ni exception,watu kama yeye wapo ila ndio 1%
Na nchi ina watu milioni 60,for the masses the best way ni kusoma na kuelewa haya maarifa na kuweza kua productive nchi iweze kwenda mbele
Shida yako ni kutukana waliosoma sababu tu wana masters na PHDs ambazo Mchechu hana which its his decision,maana angeamua angekua na kama 1000 hivi.
Kujifanya unaepuka maneno yako mwenyewe ni unafiki unaweka hapa
Kwa hiyo, unataka kusema kuwa na digrii moja ndiyo kuwa na akili? Sijakuelewa.Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Ana masters toka ESAMISasa hiyo sijui niaje lakini ndio hivyo Mchechu ana Degree moja, na yupo kitengo kikubwa tu na sio taasisi ya kwanza kuwa Top CEO
Jibu ni moja tu ndio au hapana, je vijana waaminiwe ikiwa wanaperfomance nzuri bila kuzingatia qualification za elimu?Mkuu
Acha kujifanya kukwepa unachomaanisha
Wewe unatukana waliosoma sababu tu umeona mwanadamu mmoja mwenye akili nyingi japo hajaenda shule ndio eti uwe mfano wa wanadamu milioni 60 katika nchi inayoitwa Tanzania
Ndio maana nikakupasha huwezi chukue exception ukageuza ndio rule!
Mchechu ni exception,watu kama yeye wapo ila ndio 1%
Na nchi ina watu milioni 60,for the masses the best way ni kusoma na kuelewa haya maarifa na kuweza kua productive nchi iweze kwenda mbele
Shida yako ni kutukana waliosoma sababu tu wana masters na PHDs ambazo Mchechu hana which its his decision,maana angeamua angekua na kama 1000 hivi.
Kujifanya unaepuka maneno yako mwenyewe ni unafiki unaweka