Kusomea Bachelor Degree ingine

Kusomea Bachelor Degree ingine

Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Congratulations mkuu! Hakika umepambana

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Umri wowote unaweza kutimiza ndoto yako!Wakati nasoma MD kulikuwa na classment wangu alikuwa na umri wa miaka 38yrs tukiwa first year.Backgroung yake alikuwa na Advanced diploma in clinical medicine (AMO)
Jomba huwa tunajifariji tu ila umri ni kitu kikubwa sana. Kwa mfano mwanamke ambaye kafika 40 hana mtoto anajisikiaje? Umri sio kitu kwenye kutafuta hela tu ila kuna mambo mengi yanahusu sana umri. Kwa mfano mtu mwenye miaka 40 ni ngumu kupata ajira za jeshi.. elimu inatakiwa mapema. Mimi nashauri wazazi wawasaidie watoto kusoma wanachopenda.
 
Anhaa nina Bsc in Nutrition pia , je kusomea bachelor ingine tajwa hapo juu haiwezekani?
Usiangaike kutaka kusoma degree nyingne itumie iyo bacherol yako kupata ajira kam bado haupo katika ajira wizara ya Afya inawahitaji watu kam nying kwa ajir y nutritional public awareness malnutrition moreover unaweza kujiajiri kwa kuanzisha vituo lishe otherwise uende masters degree public health au mastera ya manangement nyingine. Upo sehem sahihi kijana
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
aisee watu wasije jaribu hii kitu kabisa miaka hii .
your very lucky few who made it..
MD MIAKA HII AMNA ISSUE AISEE. AMNA viJIWE, SPECIALIST KIBAO.
IN 10 YRS MAMBO YATAKUWA OVYO. GOVERNMENT EMPLOYEMENT YOU HAVE TO WAIT FOR 3-4 YEARS. NA KWENDA KUSOMA NI MORE Years. WATU WANAELIMU KUBWA SANA MTAANI. MD SIO COURSE YA KUINVEST. masters yake tu ada ni 10 plus na heavy weight
. ENGINEERING Is the way.
 
Hongera sana mkuu, humu wapo kukatishana tamaa tu.

Na ndivyo tulivyo ngozi nyeusi tunakosa uwezo wa kutambua na kuthamini mawazo, haki, uhuru na ndoto za mtu mwingine.

Ndio maana viongozi wetu wakipata nafasi basi wanajikuta miungu watu, hawathamini mawazo au haki za watu.
miaka hii soo miaka yake. I doubt una toboa kila hisi hivyo. its a long painful lucky path
 
Kama wasomi ndo hawa hakika msukuma ataendelea kutamba bungeni akijiita la 7 A.

Na hapa ume graduate kabisa,
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Utofauti wako na yeye, wewe ulisoma ukiwa umeajiliwa ulikuwa hauwazi tena ajira, kwa hili kila mtu anaweza.

Mwenzetu tunamshauri aombe diploma in clinical medicine asome miaka 3, akimaliza aende MD 5yrs, kila la heri

Kwa maana CBG walikuwa wanasoma pharmacy zamani na MD, kabla vigezo hawajabadili maana hata akiomba hawezi kuchaguliwa.

Kila la heri tunahitaji MD wengi.
 
aisee watu wasije jaribu hii kitu kabisa miaka hii . your very lucky few who make it.. MD MIAKA HII AMNA ISSUE AISEE. AMNA KIJIWE SPECIALIST KIBAO. IN 10 YRS MAMBO YATAKUWA OVYO. GOVERNMENT EMPLOYEMENT YOU HAVE TO WAIT FOR 3-4 YEARS. NA KWENDA KUSOMA NI MORE YEARS WATU WANAELIMU KUBWA SANA MTAANI. MD SIO COURSE YA KUINVEST . ENGINEERING IS.
NILICHOGUNDUA WABONGO TUNAISHI KWA KUKARIRI MAISHA NA HII IMESABABISHWA NA WATANGULIZI.
But all in all huwa naamini sana katika ndoto.
 
Namsuhukuru Mungu nilichomoka ,ulimweka paper lilikuwa gumu sana !!!Hapo darasa zima division II zilikuwa 2 !
Nakumbuka hilo balaa... kuna dogo alikuwa na One kali form IV ila six akagonga sifuri. Dogo hakukata tamaa na kwa sasa yuko ofisi ya mkemia mkuu ni mtu anakunja noto ndefu sana. Baada ya six ilibidi aanzie Diploma pale DIT.
 
Back
Top Bottom