Kutaka Daktari awepo kazini muda wowote unaomuhitaji ni uonevu, mkitaka hivyo ongezeni pesa ya overtime

Kutaka Daktari awepo kazini muda wowote unaomuhitaji ni uonevu, mkitaka hivyo ongezeni pesa ya overtime

Mfumo wa Ajira na taratibu za utumishi zinafahamika.

Kama huna njaa za kibwege na hubebwi kwa Namna yoyote na uongozi, suala la kukukomalia ufanye mambo nje ya utaratibu wako wa kazi ni hiari yako.

Lakini Kama una makando kando yako wanayamezea then lazima UTUMIKE.
Naelewa mzee MoseKing but ni utumwa sana
 
Extra duty hawalipi Halmashauri Wala ofisi ya DMO. Utajilipa mwenyewe kulingana na makusanyo ya Kituo chako.

Kwahiyo Kama Kituo chako hakina pesa Hilo bado ni tatizo lako mwenyewe. Ukiongra utaambiwa kusanya pesa ujiandikie.

Wakati huo huo Wajawazito, Watoto, wazee ni BURE. Na hao ndio wanaokuja sana Hospitali.
Njoo vijijini huku utaelewa kaka
Sema nini haka kautaratibu ka kujiandikia extra duty ni kazuri ila sasa unakuta liin-charge lina roho ya korosho
 
Iko hivyo hata Sasa. Ila ni kuanzia ngazi ya Kituo Cha Afya.

Zahanati hakuna Hilo, ingawa wanakijiji wao na Wanasiasa wait hawajui Hilo.

Na hiyo CALL siyo bure wanalipwa.
Ofcourse uko sahihi
 
Kuna watu wanai
Kumbuka udaktari ni kazi kama kazi zingine. Mtu mpaka anakuwa daktari ametumia gharama zake kufika hapo, hakushushwa tu puuuh akawa daktari.

Vilevile daktari kama wafanyakazi wengine wana muda wao wa kazi ambao kikawaida huwa ni masaa 8 baada ya hapo ana haki ya kufanya au kutofanya kazi mara baada ya muda wake wa kazi kuisha.

Sasa nyie mnataka kumpigia simu daktari usiku wa manane aje kazini bila kujali anaishi wapi na usafiri huko alipo upoje maana sehemu zingine ikishafika saa 4 za usiku usafiri huwa ni kipengele.

Mbaya zaidi akichelewa kuja au asipokuja mnamsimamisha kazi muda mwingine mnatishia kumfutia leseni lakini kuhusu kumuongezea pesa ya overtime hilo wala hamlifikirii.

SULUHISHO

1) Wapeni madaktari usafiri wa kutembelea (gari) mkishindwa sana pikipiki ili iwe rahisi kwao kufika kazini muda mtakao wahitaji

2) Walipeni overtime kulingana na muda watakao fanya kazi nje ya muda wa kawaida .

3) Ongezeni idadi ya madaktari maana wagonjwa ni wengi na daktari muda mwingine anafanya kazi shortcut ili kuwaondoa wagonjwa kwa haraka hivyo inapelekea kukosa correct diagnosis maana daktari hapati muda wa kutosha kuchukua history taking ya mgonjwa.
KUna watu wanainsipaiwa na watu wao wa karibu kuwa madaktari.
Mimi mjomba angu aliniinsipaya kutokuwa daktari.
Ananipokea stendi na gari ananipeleka nyumbani na amechoka anasema anaenda kazini tutaonana kesho🤕.

Nikawaza ivi madokta hamuelewi kwamba pumziko/rest ni kanuni ya afya kabisa? Mnavunjaje kanuni waziwazi kabisa. Au ndo mlienda kusomea ujinga na kanuni hamzijui?
 
Ujue watu hawajui tofauti ya wito na kazi. Hii Ni sawa na mtawa wa Roman ,mwalimu ama mjeda hizi kazi huwezi kuwaza maisha mazuri ama Bata. Mana mfano kijeshi hata Kama upo kifuani mwa ke inabidi uache fasta utakuja kumalizia Ilo goli uwahi kuokoa Taifa lako. Ila kiukweli mwalimu na daktari inabidi waangaliwe mno yaani mno. Mfano Hawa wanaomalisa six wanaenda mafunzo two years angalau wawe na take home ya 800k+
 
Hold on boy...[emoji1672]
Ebu usiichukulie kwamba wewe ni wamuhimu saaaaaana kuliko wengine.
Na uhaba wa watumishi ni mchache karibu kila idara serikalini.
Hapa naona kama umeleta hoja lakini mwisho umeweka majivuno meeeengi kana kwamba wewe tu ndio wamuhimi hadi serikali ikununulie usafiri.
Lakini mwisho kabisa, umesahau kanuni kuu ya watabibu ni wito, hivyo ukiona hauridhiki basi nivyema ukabadilisha fani ama kazi mapemaaa ukingali bado kijana kama nilivyo fanyaga mimi.
Tunaomba elimu kidogo tujifunze hapa kaka ulifanya nn kubadili mambo kua unavyoyahitaji yawe.
 
Tunaomba elimu kidogo tujifunze hapa kaka ulifanya nn kubadili mambo kua unavyoyahitaji yawe.
Sikubadili mambo kua nilivyo taka yawe, bali niliacha kufanya nilicho chaguliwa nikakisomee na kisha nikaenda kusoma nilicho kipenda.
Binafsi siamini kama hili linahitaji elimu, bali naamini ni swala la utashi tu. Baada ya hapo unatia bidii kwenye kile unacho kupenda na mwisho utafanikiwa tu
 
Yaani hata muda wa kulewa eti wanaitwa kazini, kha ?
Nakuunga mkono mkuu. Mi nadhani hapa ni suala la serikali kuajiri madaktari wa kutosha.
Kuna wakati madaktari wanafanya kazi kama wafungwa mpaka unawaonea huruma.

Haiwezekani msomi kama daktari ufanye kazi kama polisi yaani haijalishi mchana ama usiku.

Mi nadhani utaratibu uzingatiwe wa kutoa huduma kwa zamu ili mtu apate nafasi ya kupumzika kama hayuko zamu.

Lakini pia, hawa watu nivyema maslahi yao pia yakazingatiwa vyema maana kazi hii ni kutumia akili zaidi hivyo inahitaji utulivu mkubwa sana.
 
Sikubadili mambo kua nilivyo taka yawe, bali niliacha kufanya nilicho chaguliwa nikakisomee na kisha nikaenda kusoma nilicho kipenda.
Binafsi siamini kama hili linahitaji elimu, bali naamini ni swala la utashi tu. Baada ya hapo unatia bidii kwenye kile unacho kupenda na mwisho utafanikiwa tu
Asante mkuu maana baada yakua nimeajilia serikalini huu mwaka wa tano mambo bilabila nilichosimuliwa kikafanya niingie sijakikuta naishia kunyanyasika nalupoteza dira namda tu.,lkn naona kabisa bila kuacha nakufanya kitu chandoto yangu naona giza nene,ila asante kwa kunitia moyo mkuu.
 
Hii sekta isikie ukiwa nje, ingia ndani uje ucheze mchezo unaitwa professionalism v/s politics... Diwani akipambana na watumishi wa afya ili apewe sifa, kumbe in behind wanaua molari ya kazi na watumishi, death lazima zitokee tu huduma zita zorota jamii haijui kwamba u dr ni skills sio kusomea, unapo mshurutisha dr unapo mharibu kisaikolojia hata ifanya kazi yake katika skills zake, malipo duni+ stress za maisha zinaua skills, skills zinashuka pale thinking capacity inapokuwa low after being occupied na challenge za kazi na maisha, sijui nani ataiokoa hii sekta, sjui nani nchi hii itaithamini hii sekta, kwa wanasiasa ni sehemu ya propaganda zao, propaganda zilizojaa majigambo kuwakomesha matumishi wake, tena watumishi wanao tumia skills zisizo za kawaida kufanya kazi... Marekani clinicians na watu wanao practise sheria ndio big earns kwenye kipato chao, wanajua watu wao hawatakuwa salama kama wale jamaa hawata kuwa balanced bila kuwa na changamoto za kimaisha kutokana na kipato. Tz tumepoteza drs wengi sana kwenye nchi za Sadc, dr wengi waliopo Namibia, Botswana ni wa Tz, hawana mpango kurudi bongo... Wacha wale maisha huko bongo nyoso, mtu ana degree ambayo mwisho wa siku unakuwa honored as a Dr then unazinguliwa kiasi cha kukosa usingizi na kajamaa hata darasa la saba kisa hujamchoma mtu chanjo ya TT aliekuwa exposed? Wakati unajua kabisa kama kesha pata tetenus ukimchoma chanjo ambayo ni live attenuated utammaliza ila diwani anataka watu wachomwe..... Siasa vs taaluma, kwa mtu alie nje ya hii kada hawezi jua haya, ataingia tu kwenye mkumbo, kazi kwenu, discussion njema iam out
 
Kwani sheria inasemaje muda wa kazi ni sangap hadi sangapi na ikitokea over time je.
 
Yaani doctor awe kama mlinzi, vipi muda wa familia na mkewe?
 
Hii sekta isikie ukiwa nje, ingia ndani uje ucheze mchezo unaitwa professionalism v/s politics... Diwani akipambana na watumishi wa afya ili apewe sifa, kumbe in behind wanaua molari ya kazi na watumishi, death lazima zitokee tu huduma zita zorota jamii haijui kwamba u dr ni skills sio kusomea, unapo mshurutisha dr unapo mharibu kisaikolojia hata ifanya kazi yake katika skills zake, malipo duni+ stress za maisha zinaua skills, skills zinashuka pale thinking capacity inapokuwa low after being occupied na challenge za kazi na maisha, sijui nani ataiokoa hii sekta, sjui nani nchi hii itaithamini hii sekta, kwa wanasiasa ni sehemu ya propaganda zao, propaganda zilizojaa majigambo kuwakomesha matumishi wake, tena watumishi wanao tumia skills zisizo za kawaida kufanya kazi... Marekani clinicians na watu wanao practise sheria ndio big earns kwenye kipato chao, wanajua watu wao hawatakuwa salama kama wale jamaa hawata kuwa balanced bila kuwa na changamoto za kimaisha kutokana na kipato. Tz tumepoteza drs wengi sana kwenye nchi za Sadc, dr wengi waliopo Namibia, Botswana ni wa Tz, hawana mpango kurudi bongo... Wacha wale maisha huko bongo nyoso, mtu ana degree ambayo mwisho wa siku unakuwa honored as a Dr then unazinguliwa kiasi cha kukosa usingizi na kajamaa hata darasa la saba kisa hujamchoma mtu chanjo ya TT aliekuwa exposed? Wakati unajua kabisa kama kesha pata tetenus ukimchoma chanjo ambayo ni live attenuated utammaliza ila diwani anataka watu wachomwe..... Siasa vs taaluma, kwa mtu alie nje ya hii kada hawezi jua haya, ataingia tu kwenye mkumbo, kazi kwenu, discussion njema iam out
Professionalism vs politics nimecheka sana hutaamiini kama et mtendaji wa kata au kijiji anaweza kua boss wako hivihivi!!!unaweza sema kilichonileta huku ndio hiki kweli mbona kma nimepotea njia.
 
Ni
Professionalism vs politics nimecheka sana hutaamiini kama et mtendaji wa kata au kijiji anaweza kua boss wako hivihivi!!!unaweza sema kilichonileta huku ndio hiki kweli mbona kma nimepotea njia.
Bora watendaji huwa na uelewa kuliko mtu anaitwa mwenyekiti wa kijiji, mweketiki wa ccm kijiji, diwani na mwenye kiti wa ccm kata hawa watu wakisimama uondolewe ujue utahamishwa tu hata bila malipo, wakisema hatumtaki ujue utatoka tu. Pili watataka uwepo kwenye vikao vyote vya kijiji/mtaa na kata bila kusahau mikutano ya hadhara, huko kama hujui kucheza na hadhara utaumbuka hasa kama kuna ugeni wa mkuu wa wilaya, au mkoa au hata taifa. Sijawahi ona mkoa au wilaya hapa tz wako statified na huduma za afya, hata hospitali za mikoa ambazo MoH wana zihudumia direct kwa kila kitu na kila wanachohitaji wanapata kwa bajeti nzuri lakini wananchi hawaja wahi ridhika
 
Hold on boy...🤚
Ebu usiichukulie kwamba wewe ni wamuhimu saaaaaana kuliko wengine.
Na uhaba wa watumishi ni mchache karibu kila idara serikalini.
Hapa naona kama umeleta hoja lakini mwisho umeweka majivuno meeeengi kana kwamba wewe tu ndio wamuhimi hadi serikali ikununulie usafiri.
Lakini mwisho kabisa, umesahau kanuni kuu ya watabibu ni wito, hivyo ukiona hauridhiki basi nivyema ukabadilisha fani ama kazi mapemaaa ukingali bado kijana kama nilivyo fanyaga mimi.
Ulifanyaje mkuu? Maana naona kama huu ualimu unanitesa tu
 
Hii sekta isikie ukiwa nje, ingia ndani uje ucheze mchezo unaitwa professionalism v/s politics... Diwani akipambana na watumishi wa afya ili apewe sifa, kumbe in behind wanaua molari ya kazi na watumishi, death lazima zitokee tu huduma zita zorota jamii haijui kwamba u dr ni skills sio kusomea, unapo mshurutisha dr unapo mharibu kisaikolojia hata ifanya kazi yake katika skills zake, malipo duni+ stress za maisha zinaua skills, skills zinashuka pale thinking capacity inapokuwa low after being occupied na challenge za kazi na maisha, sijui nani ataiokoa hii sekta, sjui nani nchi hii itaithamini hii sekta, kwa wanasiasa ni sehemu ya propaganda zao, propaganda zilizojaa majigambo kuwakomesha matumishi wake, tena watumishi wanao tumia skills zisizo za kawaida kufanya kazi... Marekani clinicians na watu wanao practise sheria ndio big earns kwenye kipato chao, wanajua watu wao hawatakuwa salama kama wale jamaa hawata kuwa balanced bila kuwa na changamoto za kimaisha kutokana na kipato. Tz tumepoteza drs wengi sana kwenye nchi za Sadc, dr wengi waliopo Namibia, Botswana ni wa Tz, hawana mpango kurudi bongo... Wacha wale maisha huko bongo nyoso, mtu ana degree ambayo mwisho wa siku unakuwa honored as a Dr then unazinguliwa kiasi cha kukosa usingizi na kajamaa hata darasa la saba kisa hujamchoma mtu chanjo ya TT aliekuwa exposed? Wakati unajua kabisa kama kesha pata tetenus ukimchoma chanjo ambayo ni live attenuated utammaliza ila diwani anataka watu wachomwe..... Siasa vs taaluma, kwa mtu alie nje ya hii kada hawezi jua haya, ataingia tu kwenye mkumbo, kazi kwenu, discussion njema iam out
Wanasiasa wanajikuta wajuaji sana
 
Hawa watu (MADAKTARI) Mungu awape maisha marefu aisee. Anatoka kazini saa 5 usiku anapigiwa simu ya dharura saa 7 usiku huo huo, na anarudi hospitali kushughulika na hiyo dharura. Hivi kuna viapo vya kuokoa maisha huwa wanaapishwa? Mbona wafanyakazi wengi tu ikifika saa tisa mchana wako hai hai kufunga ofisi warudi nyumbani kupumzika?
 
Back
Top Bottom