cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
NashukuruHakika wewe ni feminist mkuu,heshima kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NashukuruHakika wewe ni feminist mkuu,heshima kwako.
Mabinti wa Kihaya mbona hawaolewi Sana Kama walivyo wachaga?
Ukute Manka ndo ka-sponsor hata hiyo Pete. Vijana hamna maana siku hzKuna dem uko instagram anaitwa manka katolewa mahar ila bado anaendelea kuinesha makalii yake IG. Namhurumia sana kijana aliyevalisha pete ilo bomu
Mashauzi Kama yote.Shida umalaya na hawana akili ya maisha wao starehe tu
very true kuna wawili nilikuwa na date nao aisee ni bogus kabisa. hakuna kitu unaeza kufanya nae zaidi ya sexShida umalaya na hawana akili ya maisha wao starehe tu
Yani wao ni starehe tu na kama ni mwanamke atakuwa anahonga wanaume wa kumlala wanaume ndo usiseme ndo shida. Kuna makabila umalaya huko damuni, sasa ukioa mke chupi mkononi ni chanzo Cha ugonjwa wa moyo.very true kuna wawili nilikuwa na date nao aisee ni bogus kabisa. hakuna kitu unaeza kufanya nae zaidi ya sex
Hii kaliYes tulikaa pamoja kujadili nikamwambia mahari usinitajie kubwa (kwa imani ya dini yetu mahari anataja binti mwenyewe) kwahiyo nikampanga fresh na akakubali, tena nakumbuka nilimwambia anitajie laki tano.
Maana nilikuwa nishatengeneza kibanda cha wakala cha tigopesa bado kununua laini tu, na kilakitu alikuwa anajua.
Na kipindi hicho nilikuwa nimepunguzwa kazini yaani sina kazi na yeye anajua kuwa kazi nimeachishwa.
Baada ya kwenda kuchukua majibu naambiwa binti anataka milioni moja, na mkaja wa baba na mama laki nne Jumla milioni moja na laki nne. Wadau mnaweza kuibeza hii pesa na kusema sio nyingi ila kwa Mazingira yake na nilivyojitoa Kwake kwamtu mwenye akili asingetaka hiyo pesa, angetaka hata nimuoe bure kwa maisha yake yalivyo magumu.
Halafu cha ajabu sijawahi kumla na msimamo wake ulikuwa hadi nimuoe ndio tukutane, na kwamsisitizo wazee wake wakaandika mpaka kwenye barua ya majibu kuwa nisimguse binti yao, wakati tayari ameshazalishwa (single mother) na baba wa mtoto amemkimbia, na kwa huruma mimi ndiye nilikuwa nimebeba majukumu ya mtoto wake kwa kumlipia ada, nauli ya shule ya kilasiku, na nikamkatia bima ya afya.
Nikaona hapa hapanifai.
Huyo si wife material bwasheeNimeupenda ujasiri wako...Je bado haujaolewa nije kukuwowa Mimi....
Huyo mdada ni kiaziNimewahi mimi binafsi,, nilitoa mahari, na kumvalisha pete baada ya miezi mitatu alinipigia kwa jeuri na kunitusi kisa nimepeleka mbele tarehe ya harusi hapo ndipo ukawa mwisho wa uchumba wetu, mama yake alichanganyikiwa alitaka wamuombee msamaha ila mimi sikuhitaji suluhu nae tena.
Haina makombo île kituDuh kuna wanaume wanamoyo wa kula viporo vilivyochacha kweli kweli haya tumuwache mkarismatiki apashe moto kiporo chake ale.
Pamoja mimi ni Mmakonde ila nadhani usijumuishe wote. Wahaya wa Muleba ndiyo unazungumzia pengineYani wao ni starehe tu na kama ni mwanamke atakuwa anahonga wanaume wa kumlala wanaume ndo usiseme ndo shida. Kuna makabila umalaya huko damuni, sasa ukioa mke chupi mkononi ni chanzo Cha ugonjwa wa moyo.
Kuna dem uko instagram anaitwa manka katolewa mahar ila bado anaendelea kuinesha makalii yake IG. Namhurumia sana kijana aliyevalisha pete ilo bomu
Sio wote but majority of them, then it's hard for me to understand sijui mleba sijui karagwe Ila hyo uhuni ni Tabia yao kuuu aisee, Kama wamechanjiwaPamoja mimi ni Mmakonde ila nadhani usijumuishe wote. Wahaya wa Muleba ndiyo unazungumzia pengine
Wao ni starehe kubadilisha ma bar hata ka kaolewa na marafiki wengi wa hivo kina shomilevery true kuna wawili nilikuwa na date nao aisee ni bogus kabisa. hakuna kitu unaeza kufanya nae zaidi ya sex