DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Dingi aliamua kukuchana, pisi uliyoichagua/unayotaka mbovu, haina viwango!
Nawapenda wazee wa namna huyo very direct.
Nawapenda wazee wa namna huyo very direct.
Kweli mahari sio ndoa.
Nilizaa na demu wakaniletea zengwe ukweni hawanitambui mpaka nitoe mahari nioe na kumkomboa mtoto.
Nikatuma madingi dingi yangu mzazj nae akiwepo,kufika huko wapandishiwa dau na vijembe vya kutosha wakapigwa.
Ding kurudi home kamaindi kinona,akaniambia tumepigwa hela ndefu wakati demu mwenyewe ni mfupi afadhali angekuwa mrefu,nikaamua kumtema na kusamehe mahari mana demu alikuwa na nyodo pia.