Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na mimi chupchupu tufanane, tena mm niliongeza siku tatu lakini ngoma alikataa a bahat nzuri nikawasiliana na shangaz yak ndio alikubariNimewahi mimi binafsi,, nilitoa mahari, na kumvalisha pete baada ya miezi mitatu alinipigia kwa jeuri na kunitusi kisa nimepeleka mbele tarehe ya harusi hapo ndipo ukawa mwisho wa uchumba wetu, mama yake alichanganyikiwa alitaka wamuombee msamaha ila mimi sikuhitaji suluhu nae tena.
Sababu ni ya kijinga nimeijibu comment namba 29 hapo ila kubwa zaidi ni kutolelwana na mama mkweWhy mliachana, napenda mila ya kabila letu siku unatoa mahari ndio unavisha pete na ndoa inakuwa mwezi huo huo hamna kuchelewesha
Bora mliachana mama wakwe wengi vichomi kila likuepukalo Lina heriSababu ni ya kijinga nimeijibu comment namba 29 hapo ila kubwa zaidi ni kutolelwana na mama mkwe
Aisee kumbe ndo maana yakeUsikimbie haraka hivyo.Anataka akuunganishe na mwanaume mwenye watoto tayari aliyemaliza kuzaa, wewe kazi yako ni kulea tu.
Kuna jamaa alienda kwenye Send-Off kabisa ile siku ya harusi jamaa kazima simu mazima.Heri uchumba uliovunjika kuliko ndoa ya mateso. Watu wanapigwa chini michango ishachangwa na paroko anaandaa misa, ndio iwe kutambulishwa?
Kuna wanawake pasua wewe shetani kwao akasome mara 10Na watadumu tu shida watu wanataka kuoa malaika ndio maana hawadumu.
Dah watu wana changamoto sana siku hizi.Mimi nasubiri hela yangu ya mahari irudishwe na ole wake ajifanye anaolewa na hela yangu haijarudi.Hilo timbwil lake sijui
Hahaaa kweli Bora uchumba unaovunjika kuliko ndoaKuna wanawake pasua wewe shetani kwao akasome mara 10
Mashart kama yapi, yasije kujikuta na mie 😁😁😁Mimi nilipeleka barua ya posa sehemu kwa nia ya kutaka kuoa binti mmoja hivi, ila sikurudi tena baada ya binti kunitajia mahari kubwa tofauti na uwezo wangu na kuniwekea masharti ya kipumbavu.
Hata mshenga wangu niliyemtuma alishangaa hivyo hatukurudi tena.
Duh kuna wanaume wanamoyo wa kula viporo vilivyochacha kweli kweli haya tumuwache mkarismatiki apashe moto kiporo chake ale.Kuna binti namfahamu tunasali nae na ni rafiki wa mdogo wangu...alitolewa mahari 3 zikarudishwa (sababu hakutulia)..akaamua kumrudia Mungu mwaka Jana kaolewa na mkarismatiki mwenzie.
[emoji4]Niolewe wapi I'm feminist na Niko kwenye menopause sasa hivi sasa naolewaje
Bora ulikimbia kabisa. Huyo angekupangia kila kitu mkiwa ndaniNimewahi mimi binafsi,, nilitoa mahari, na kumvalisha pete baada ya miezi mitatu alinipigia kwa jeuri na kunitusi kisa nimepeleka mbele tarehe ya harusi hapo ndipo ukawa mwisho wa uchumba wetu, mama yake alichanganyikiwa alitaka wamuombee msamaha ila mimi sikuhitaji suluhu nae tena.
MhNi experience ngum sana hii, usiombe ikukute aisee....binafsi, nmetoa mahali yote na nkamvisha pete ya uchumba. Lkn baada ya kupata some very hidden secrets about her nkaacha kila kitu.
Lkn haikua rahisi.[emoji1534]