Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
-
- #161
Hii ni link ya Marijani Beach Resort iliyopo Zanzibar ni mradi mkubwa ambao tumefanya finishing ndani lakini pia nili supply naku apply rough Plaster majengo yote kuta za nje,
Ukiwasiliana na utawala wa hiyo hotel ukawaomba mawasiliano ya mtu aliyefanya finishing kwenye huo mradi watakuleta kwangu.Hii ni link ya Marijani Beach Resort iliyopo Zanzibar ni mradi mkubwa ambao tumefanya finishing ndani lakini pia nili supply naku apply rough Plaster majengo yote kuta za nje,View attachment 2326585View attachment 2326586View attachment 2326587View attachment 2326589View attachment 2326590
Tumtafute akatujengee yetu Butiama?
Ahsante ndg.Hongera kijana
Ndg gharama inategemea na kazi lakini pia inahusisha materials gani, kwani ufundi wa rangi ni mpana mno.Mbona hujaweka makisio ya gharama zako
Kazi nzuriHii ni link ya Marijani Beach Resort iliyopo Zanzibar ni mradi mkubwa ambao tumefanya finishing ndani lakini pia nili supply naku apply rough Plaster majengo yote kuta za nje,View attachment 2326585View attachment 2326586View attachment 2326587View attachment 2326589View attachment 2326590
Nawashukuru ndg zangu.Kazi nzuri
Kazi iko poa.Ndungu zangu kipekee nimekuwepo hapa JF kwa miaka zaidi ya 6 nimejifunza mengi kuhusiana na baadhi ya bidhaa za rangi za majengo. Hapa nitakuwa nikionesha kazi zangu, naacha nafasi ya kuuliza maswali nami nitakuwa najibu punde nipatapo muda.
Zaidi ni changamoto za rangi kubanduka pamoja na fungus, lakini pia kuna hatua za upakaji rangi, ni vifaa vipi sahihi utumie pamoja na makampuni ya rangi.
Utanipata kwa no 0766111212.View attachment 2324877View attachment 2324878View attachment 2324880View attachment 2324881View attachment 2324882View attachment 2324884View attachment 2324885View attachment 2324887
Hapa tiba ni Ant nchunvi na yenye water proofing ndani japo mafundi wengi hawaelewi tiba na hii ni elimu adimu kwenye ujenzi. Ikiwa ukuta uneisha tafunwa hati plaster kupukutika au ukigonga ukuta unalia ngoma ni lazima utindue ukutane na tofali kisha unapiga plaster yenye Aunt chunvi na water proofing. Na ikiwa plaster bado ni imara tunapiga msasa sehemu zilizo athirika nakupaka hiyo dawa.Swali.
Kuna maeneo Yana magadi mengi na hivyo nyumba ikipakwa rangi,hiyo rangi hubanduka au kuwa na mabakamabaka,Nini chaweza kufanyika ili nyumba hiyo iwe nzuri rangi isiharibike?
Hapa ulitaka kumaanisha ya coral paint? Kama sikosei bei ya lita 1 ni kati ya 7,000 na 10,000 kutegemea.Eti thiner ya oral paints bei gani?