Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Hii ni link ya Marijani Beach Resort iliyopo Zanzibar ni mradi mkubwa ambao tumefanya finishing ndani lakini pia nili supply naku apply rough Plaster majengo yote kuta za nje,
20220202_183823.jpg
20220106_134814.jpg
20220202_195132.jpg
IMG-20220722-WA0020.jpg
IMG-20220722-WA0012.jpg
 
Ndungu zangu kipekee nimekuwepo hapa JF kwa miaka zaidi ya 6 nimejifunza mengi kuhusiana na baadhi ya bidhaa za rangi za majengo. Hapa nitakuwa nikionesha kazi zangu, naacha nafasi ya kuuliza maswali nami nitakuwa najibu punde nipatapo muda.
Zaidi ni changamoto za rangi kubanduka pamoja na fungus, lakini pia kuna hatua za upakaji rangi, ni vifaa vipi sahihi utumie pamoja na makampuni ya rangi.

Utanipata kwa no 0766111212.View attachment 2324877View attachment 2324878View attachment 2324880View attachment 2324881View attachment 2324882View attachment 2324884View attachment 2324885View attachment 2324887
Kazi iko poa.
 
Swali.
Kuna maeneo Yana magadi mengi na hivyo nyumba ikipakwa rangi,hiyo rangi hubanduka au kuwa na mabakamabaka,Nini chaweza kufanyika ili nyumba hiyo iwe nzuri rangi isiharibike?
 
Swali.
Kuna maeneo Yana magadi mengi na hivyo nyumba ikipakwa rangi,hiyo rangi hubanduka au kuwa na mabakamabaka,Nini chaweza kufanyika ili nyumba hiyo iwe nzuri rangi isiharibike?
Hapa tiba ni Ant nchunvi na yenye water proofing ndani japo mafundi wengi hawaelewi tiba na hii ni elimu adimu kwenye ujenzi. Ikiwa ukuta uneisha tafunwa hati plaster kupukutika au ukigonga ukuta unalia ngoma ni lazima utindue ukutane na tofali kisha unapiga plaster yenye Aunt chunvi na water proofing. Na ikiwa plaster bado ni imara tunapiga msasa sehemu zilizo athirika nakupaka hiyo dawa.

Kifupi ukanda wa pwani kama vile Dar, Lindi, Zanzibar, bagamoyo na Tanga kitaalam kiwango cha maji kwenye Ardhi kipo juu yaani water Table iko juu mno, na sehemu kubwa msingi na tofali kuanzia kazi ya kwanza pengine mpaka ya 4 zote zinakuwa na unyevunyevu, hivyo huo unyevunyevu unakuwa na kiwango kikubwa cha chunvi ambayo inakuja kutafuna Cement ambayo ndiyo kiunganishi.

Na maeneo ya mikoani hao wana tatizo la magadi yaani chunvi ambayo ipo kwenye hali ya hewa. Maumivu yakizidi muone Daktari 0766111212.
20210129_082152.jpg
20210129_082006.jpg
20200319_150413.jpg
20190413_130443.jpg
 
Tupo pamoja,hivi kabla ya kupiga rangi kwa kuta zilizoliwa na fungus unatumia nini kuzuia maji kutoharibu kuta
 
Back
Top Bottom