Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
- #101
Nawashukuru mno ndg zangu mnao endelea kuniunga mkono Mtanzania mwenzenu. Kiwanda kipo Tegeta jirani na kiwanda cha Ando roofing. 0766111212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawashukuru mno ndg zangu mnao endelea kuniunga mkono Mtanzania mwenzenu. Kiwanda kipo Tegeta jirani na kiwanda cha Ando roofing. 0766111212
Ndg hili ni swali zuri. Sababu kubwa ya msingi kutumia Rough Decor ni kwasababu ya uimara wa gamba lake ukishaipaka kwenye jengo, hii ninayoitangaza ina rangi moja tu, hivyo nashauri mtu kupaka rangi juu anayoitaka, japo wengine wanapenda jinsi ilivyo.Hv nikipiga hii kuna ulazima tena wa kupiga rangi ya kawaida?
Asante
Asante kwa muongozo wako. Je kwa ramani kama hii inaweza kutumia ndoo ngapi hz zako?Ndg hili ni swali zuri. Sababu kubwa ya msingi kutumia Rough Decor ni kwasababu ya uimara wa gamba lake ukishaipaka kwenye jengo, hii ninayoitangaza ina rangi moja tu, hivyo nashauri mtu kupaka rangi juu anayoitaka, japo wengine wanapenda jinsi ilivyo.
Wastani ndoo 18 mpaka 22. Hii itategemea na jinsi ambavyo Plaster ya kutwa imenyooshwa.Asante kwa muongozo wako. Je kwa ramani kama hii inaweza kutumia ndoo ngapi hz zako?
Picha kwa hisani y mtandao View attachment 2233855
Yapambe makazi yako na Rough Plaster Decor. 0766111212Karibuni wadau.
Tupo Dar es salaam wilaya ya Kinondoni Tegeta tumepakana na Kibo complex. 0766111212Pia tumepata Neema ya kufanya Mradi mkubwa kisiwani Zanzibar kuna Hotel kubwa inaitwa Marijani Hotel, majengo yote nje yamenakshiwa na Mimina Plaster. Na tumepewa Certificate of Appreciation. View attachment 2293674View attachment 2293675View attachment 2293677View attachment 2293699
Mkuu kwa nyumba ambazo zinaathiriwa na magadi hasa kwenye msingi ambapo unakuta rangi zinababuka na nyumba kumomonyoka hyo rough plasta n suluhisho?
Ndg wewe upo Dar? Kama ni Dar water table ipo juu. Naomba tuwasiliane nikupe tiba,niliwahi kuweka mabandiko yanayohusu hilo tatizo.Hii changamoto inanikabili. Natafuta namna ya kupambana nayo. Ukuta juu uko safi kabisa, imara, skimming imekaa vizuri, Ile rangi ya awali Iko sawa kabisa, shida baadhi ya maeneo Kwa chini ni kama ukuta au plaster inapukuchuka.
View attachment 2295574
View attachment 2295575