Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Karibuni wadau. 0766111212
20200909_170747.jpg
20190829_104802.jpg
 
Hv nikipiga hii kuna ulazima tena wa kupiga rangi ya kawaida?
Asante
 
Hv nikipiga hii kuna ulazima tena wa kupiga rangi ya kawaida?
Asante
Ndg hili ni swali zuri. Sababu kubwa ya msingi kutumia Rough Decor ni kwasababu ya uimara wa gamba lake ukishaipaka kwenye jengo, hii ninayoitangaza ina rangi moja tu, hivyo nashauri mtu kupaka rangi juu anayoitaka, japo wengine wanapenda jinsi ilivyo.
 
Ndg hili ni swali zuri. Sababu kubwa ya msingi kutumia Rough Decor ni kwasababu ya uimara wa gamba lake ukishaipaka kwenye jengo, hii ninayoitangaza ina rangi moja tu, hivyo nashauri mtu kupaka rangi juu anayoitaka, japo wengine wanapenda jinsi ilivyo.
Asante kwa muongozo wako. Je kwa ramani kama hii inaweza kutumia ndoo ngapi hz zako?
Picha kwa hisani y mtandao
FB_IMG_1647955019737.jpg
 
Pia tumepata Neema ya kufanya Mradi mkubwa kisiwani Zanzibar kuna Hotel kubwa inaitwa Marijani Hotel, majengo yote nje yamenakshiwa na Mimina Plaster. Na tumepewa Certificate of Appreciation.
20220202_105641.jpg
20220202_190936.jpg
20210920_161038.jpg
20220202_165454.jpg
 
Mkuu kwa nyumba ambazo zinaathiriwa na magadi hasa kwenye msingi ambapo unakuta rangi zinababuka na nyumba kumomonyoka hyo rough plasta n suluhisho?

Hii changamoto inanikabili. Natafuta namna ya kupambana nayo. Ukuta juu uko safi kabisa, imara, skimming imekaa vizuri, Ile rangi ya awali Iko sawa kabisa, shida baadhi ya maeneo Kwa chini ni kama ukuta au plaster inapukuchuka.

IMG20220718192030.jpg


IMG20220718191837.jpg
 
Hii changamoto inanikabili. Natafuta namna ya kupambana nayo. Ukuta juu uko safi kabisa, imara, skimming imekaa vizuri, Ile rangi ya awali Iko sawa kabisa, shida baadhi ya maeneo Kwa chini ni kama ukuta au plaster inapukuchuka.

View attachment 2295574

View attachment 2295575
Ndg wewe upo Dar? Kama ni Dar water table ipo juu. Naomba tuwasiliane nikupe tiba,niliwahi kuweka mabandiko yanayohusu hilo tatizo.
 
Back
Top Bottom