Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Lulu diva unajua alivyohangaika na mama yake,? Unajua kuwa alikua anaishi nae kwake bila msaada wa mtu? Hakumuacha kijijini kama wengi wanavyofanya. Before we judge tujitathmini na sisi weyewe.

Toka ameanza muziki na kuingiza pesa alikua anauguza? Jibu ni hapana kwenye issue ya kujenga kwenu hii hua haina mjadala kabisa ndio maana jamii nyingine anaanza kujenga kijijini baadae anakuja kujenga mjini tunapokumbushana kujenga kijijini sio kwa ubaya hata akijenga ni manufaa ya kwake na ndugu zake.akiamua kutokujenga pia basi ni yeye
 
Toka ameanza muziki na kuingiza pesa alikua anauguza? Jibu ni hapana kwenye issue ya kujenga kwenu hii hua haina mjadala kabisa ndio maana jamii nyingine anaanza kujenga kijijini baadae anakuja kujenga mjini tunapokumbushana kujenga kijijini sio kwa ubaya hata akijenga ni manufaa ya kwake na ndugu zake.akiamua kutokujenga pia basi ni yeye
Umewahi kuhudhuria show ngapi za lulu diva? Umewahi kununua nyimbo zake ngapi kwa pesa? Unajua ameanza lini mziki? Mziki ukianza leo unatoboa kesho au sio? Basi I rest my case. Ila tuanze kujitathmini wenyewe kwanza. Wengine humu wanaongea ila makwao hali ni mbaya
 
Toka ameanza muziki na kuingiza pesa alikua anauguza? Jibu ni hapana kwenye issue ya kujenga kwenu hii hua haina mjadala kabisa ndio maana jamii nyingine anaanza kujenga kijijini baadae anakuja kujenga mjini tunapokumbushana kujenga kijijini sio kwa ubaya hata akijenga ni manufaa ya kwake na ndugu zake.akiamua kutokujenga pia basi ni yeye
Nilisikiliza interview ya Lulu Diva na Salama. Mama yake alianza kuugua kitambo; mara ya kwanza alijichanga akapata 25M ambayo aliweza kumfanyia operation ya tatizo lake. Too bad after operation ndiyo hali ikawa mbaya zaidi akawa hatembei kabisa. So miaka yote hii amekuwa akimuuguza mama yake hadi alipofariki. Sikatai kuwa kujenga ni muhimu; lakini tujitahidi kumuelewa pia Lulu kuwa aliweka matibabu ya mama yake priority; especially kwa vile mama yake alikuwa anaishi naye hapahapa mjini na huko kijijini walibaki tu ndugu wengine. Kuuguza kwa miaka yote hiyo then ukaweke na ujenzi juu; wengi wetu yangetushinda. Tumpongeze kwanza kwa kumtunza mama yake hadi dakika ya mwisho; hakuna mtihani mgumu kama kuuguza tena kwa miaka mingi hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahari m500 na yeye kakulia kwenye banda la mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23] si bora nikanunue nguruwe wa kisasa anakaa banda zuri kuliko hapo kwako au alitaka amalize umaskini kwenye mahari[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo wa 500m ni Diva wa Wasafi (aliyekuwaga Clouds). Huyu ni Lulu Diva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisikiliza interview ya Lulu Diva na Salama. Mama yake alianza kuugua kitambo; mara ya kwanza alijichanga akapata 25M ambayo aliweza kumfanyia operation ya tatizo lake. Too bad after operation ndiyo hali ikawa mbaya zaidi akawa hatembei kabisa. So miaka yote hii amekuwa akimuuguza mama yake hadi alipofariki. Sikatai kuwa kujenga ni muhimu; lakini tujitahidi kumuelewa pia Lulu kuwa aliweka matibabu ya mama yake priority; especially kwa vile mama yake alikuwa anaishi naye hapahapa mjini na huko kijijini walibaki tu ndugu wengine. Kuuguza kwa miaka yote hiyo then ukaweke na ujenzi juu; wengi wetu yangetushinda. Tumpongeze kwanza kwa kumtunza mama yake hadi dakika ya mwisho; hakuna mtihani mgumu kama kuuguza tena kwa miaka mingi hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsanteeee mama malezi [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nilisikiliza interview ya Lulu Diva na Salama. Mama yake alianza kuugua kitambo; mara ya kwanza alijichanga akapata 25M ambayo aliweza kumfanyia operation ya tatizo lake. Too bad after operation ndiyo hali ikawa mbaya zaidi akawa hatembei kabisa. So miaka yote hii amekuwa akimuuguza mama yake hadi alipofariki. Sikatai kuwa kujenga ni muhimu; lakini tujitahidi kumuelewa pia Lulu kuwa aliweka matibabu ya mama yake priority; especially kwa vile mama yake alikuwa anaishi naye hapahapa mjini na huko kijijini walibaki tu ndugu wengine. Kuuguza kwa miaka yote hiyo then ukaweke na ujenzi juu; wengi wetu yangetushinda. Tumpongeze kwanza kwa kumtunza mama yake hadi dakika ya mwisho; hakuna mtihani mgumu kama kuuguza tena kwa miaka mingi hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Tafuta na interview aliyosema anaendesha gari jeep ya milioni 100 , tulinganishe
 
Suala la kujenga vijijini na mikoani kama unajiweza tafadhali jenga, zamani ilikua aibu kwa wanasiasa lakini wao huko wameshatoka sasa imebaki kwa wasanii maana wafanyabiashara wao walijitambua mapema kabisa, wachaga walishaonesha njia kua kwenu kukiwa kuzuri hata hamu ya kurudi unakua nayo,
 
Nilisikiliza interview ya Lulu Diva na Salama. Mama yake alianza kuugua kitambo; mara ya kwanza alijichanga akapata 25M ambayo aliweza kumfanyia operation ya tatizo lake. Too bad after operation ndiyo hali ikawa mbaya zaidi akawa hatembei kabisa. So miaka yote hii amekuwa akimuuguza mama yake hadi alipofariki. Sikatai kuwa kujenga ni muhimu; lakini tujitahidi kumuelewa pia Lulu kuwa aliweka matibabu ya mama yake priority; especially kwa vile mama yake alikuwa anaishi naye hapahapa mjini na huko kijijini walibaki tu ndugu wengine. Kuuguza kwa miaka yote hiyo then ukaweke na ujenzi juu; wengi wetu yangetushinda. Tumpongeze kwanza kwa kumtunza mama yake hadi dakika ya mwisho; hakuna mtihani mgumu kama kuuguza tena kwa miaka mingi hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni m 2.5 hayo matibabu ya m25 alikua anapasuliwa ubongo au
 
Msanii kuishi bila ku fake maisha na ku maintain status ya ustaa wake kwenye showbiz inawezekana, mbona mastaa wengi wa hollywood wanaishi maisha ya kawaida na wana hela vibaya mno na heshima yao bado ipo pale pale! Watu kama Keanu Reaves, Adele, Sia, Billy Eilish, Leonardo dicaprio, johhnny depp, n.k Sasa hawa wana hela na hawazitumii vibaya.... wengine hela hawana ila unamtumia mantashala ndogo mnazopata ku fake maisha... usinambie lulu diva katika miaka yake yote kwenye career hii hajashikamo hata 15m ya kupau ka lotion kwao.

Kitu kingine labda tunatofautiana priorities, wengine nyumba sio kipaumbele..... kwanza nyumba za bati zinasababisha kansa 😅 😅 😅
 
Suala la kujenga vijijini na mikoani kama unajiweza tafadhali jenga, zamani ilikua aibu kwa wanasiasa lakini wao huko wameshatoka sasa imebaki kwa wasanii maana wafanyabiashara wao walijitambua mapema kabisa, wachaga walishaonesha njia kua kwenu kukiwa kuzuri hata hamu ya kurudi unakua nayo,
Kwa wanasiasa unamaanisha kama chato?
 
Tafuta na interview aliyosema anaendesha gari jeep ya milioni 100 , tulinganishe
Eeh lazima msanii ujiongezee thamani jamani. Mimi kwangu binafsi suala la kumchukua mama yake kutoka kijijini na kumuuguza kwa miaka yote hiyo ni kubwa sana. Wengine wanawaachaga wazazi wao huko vijijini kwenye nyumba nzuri na wamewaachia tu wenzao huko suala la kuuguza. Na kwenye kuuguza jamani; fedha ni za muhimu ila utu ni wa muhimu zaidi. Huko kijijini si walibaki wajomba zake na wana watoto wao pia; maybe alitaka aje kujenga baada ya mama yake kupona.
 
Back
Top Bottom