Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Mleta mada umekaa kimbeyambeya.
Unataka nyumba iweje kwa mfano?
Unataka nyumba iweje kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mzigoSio kwa mastaa wabongo bro we ukiona interviews zao utachoka yani mtu anahojiwa kuhusu gharama za Nguo na nywele anavyojikuta sasa utasema tajir sihuyu hapa eti hapa juu mpaka chini nimevaa million 10 mwisho wa siku kodi zinawashinda kulipa Kwenye nyumba zao zakupanga wanaishi maisha ya stress sana,,,
Dina kuna muda unaongeaga pointi hadi nakutamani..Kwa hiyo ukijenga ukifa ukizikwa hapo unafufuka au kwanin wajomba zake hawajajenga
[emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ngumu na nyepesi!
Hii habari umeleta tuisome au?
Nasema nyumba ya tope kwa sababu Dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi Luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope
View attachment 2052860
View attachment 2052861
Nakubaliana na wewe...yaani Mayele ananulikana na wengi kuliko huyo sijui Luludiva...hata Boco ni maarufu zaidi ya huyoHivi huyu Lulu Diva ni superstar wa kitu gani?
Actress, musician au ni mchekeshaji?
Kwa hakika sijui mnijuze
Dah 🤣🤣🤣Sa afadhali hata yeye ana kwao, tena na Nyumba ya Tope ipo.. kuna wengine Tunamponda huku tumezaliwa kwenye Nyumba za Upangaji na mpaka leo tuko Kwenye Nyumba za Upangaji.. infact hatuna kwetu!!
Anaimba na anacheza bongo movie.Kumbuka ni mmoja wa wahusika wa HUBAHivi huyu Lulu Diva ni superstar wa kitu gani?
Actress, musician au ni mchekeshaji?
Kwa hakika sijui mnijuze
Mjini Kuna sponsors .Mwijaku anasema ,mwili is nothing.Kushangaa ni kuishi nyumba ya tope huku mjini akivimba na gari ya milion 30
duhHii habari umeleta tuisome au?
Mara nyingi vijijini kwetu huwa ni sehemu ya ukoo, hivyo ni ngumu sana kujenga wakati unajua fika pataleta shida. Tunajenga ikiwa tu una pesa za kutosha
Anaimba na anacheza bongo movie.Kumbuka ni mmoja wa wahusika wa HUBA