Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupi ni yupi?.Yule ni Diva mtangazaji redio .
Mcheza boxing. Matumla flani aliyechangamka dizaini.Hivi huyu Lulu Diva ni superstar wa kitu gani?
Actress, musician au ni mchekeshaji?
Kwa hakika sijui mnijuze
Dadeki. Duuuhhh, au anagawa goti?Mcheza boxing. Matumla flani aliyechangamka dizaini.
Kumbe,Wanagawiana tu usiper star. Mfano demu akigongwa na Diamond akaja kugongwa na T.I.D. akapitiwa na kiba. Halafu akaja kumalizia wengine wengine,huyo tayari wanampandisha cheo cha usuper star. Halafu super star huku hana hela.
Design ya zamani vyoo na bafu viko njee afu hakuna dining ni sebule tu na vyumba. Kama nitakuwa hai lazima niweke kitu cha tofauti. Ramqni nilitoa mtandaoni kila mtu anaiuliza , fundi nilimtoa mjini nikaenda nae kijiji, ramani kali ile ningekuwa na mipesa ingekuwa ya tofauti.Hiyohiyo fanya repair itakaa vizuri sio lazima ujenge mpya...wengi siku hizi wanazibadili
Comment yangu ilikuwa haina maana nyingine tofauti na kuonesha utu kwa mwenzetu alimpoteza mzazi wake. Unaweza ukanikadiria ujuavyo na pengine unaweza ukawa sahihi ama kinyume chake. Kwa kuwa hatufahamiani ngoja nisejisemee sana maana unaweza ukaamini ama usiamini pia. Tutangumize utu kwanza kabla ya kuanza kabla ya hayo mengine.Vipi na wewe hujajenga kwenu? [emoji13][emoji13]... Nadhani hapa mnatakiwa mjifunze kwamba Mola akiwapa kidogo kwenye maisha punguzeni majigambo, kujionesha kuwa mna mapesa na maisha ya juu. Sote kama binadamu kwa nyakati tofauti huwa tunapitia hizi changamoto za kuuguza wapendwa wetu, tena kwa muda mrefu, yote ni mipango ya Mungu. Lakini ukiwa kila dakika ni kuwaonyesha walimwengu kwamba wewe ni milionea na maisha umeyapatia basi jiandae kurushiwa mawe siku moja maana si wote huwa wanafurahia mafanikio ya wengine. Mwisho hiyo nyumba ya udongo wala siyo lazima kabisa kuivunja na kujenga mpya ya tofali kama hujajipanga. Hiyo hiyo ya udongo inapigwa plasta, floor, rangi, boresha madirisha inakuwa Safi kabisa, yaani hata milioni 10 haziishi, tena waweza karabati kidogo kidogo tuu, leo milioni mbili unatulia, kesho tena milioni tatu unatulia mwisho unamaliza huku maisha ya mjini yanaendelea. Tukumbuke sote, hasa wale ambao bado wanaamini kurudi makwao kuzikwa wao au ndugu zao, ni muhimu sana kuandaa sehemu ya kufikia.
Nasema nyumba ya tope kwa sababu Dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi Luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope
View attachment 2052860
View attachment 2052861
Wengine wamemtete wakisema eti hapa duniani tunapita hakuna haja ya kujenga
Wengine wakasema amjengee nani wakati alikuwa na mama yake tu?
Kwetu tunasema ujenge nyumba ya kulinda makaburi.
Wengine wakamtete eti yeye akifa atazikwa kwa mme wake,je kama hotooelewa? Au akifa kabla ya hiyo ndoa? Ya mungu mengi simsemi vibaya.
Hatumsemi vibaya ila msanii anaeweza vimba mjini na gari kali atawezaje shindwa hata mili 10 tu ajenge nyumba ya kawaida?
Kama angekuwa sisi watu wa kawaida tusokuwa na mishahara sawa hakuna shida.
Wasanii wanamiliki simu za mil 3 anapanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi iweje usahau kuna maisha ya baadae?
Mimi uwa mawachekesha watu ofisini.nawambia mimi kama akitokea mzamini akanininulia macho matatu naiuza nanunua sumsung ya laki 4 wanacheka.
Ni kwakuwa sina hela labda ndo maana nina uchungu na hela.
Kwakweli katia aibu. Na mimi nikifa leo mkaenda nizika home mtacheka kidogo sana kuwa nyumba yetu imepitwa na wakati ila sio tope .na pale nyumbani pembeni msingi nilouweka pale mwezi ulotipa sio wa kitoto mtajua ninakoelekea.
Mi siwezi chezea pesa, hata ikitokea fala moja akanihonga hata laki siku zote elfu 50000 lazima niitume nyumbani, cement kwetu ni 26000, nondo 27000 trip ya mawe 70000, mchanga 60000,boma linataka tofali 20000, nataka msauzi bati 70 leo nianze kutumia macho matatu? Ni upuuzi.
Ningekuwa na nafasi ya kama hawa wasanii ningefanya vitu vya maana sana
Wasanii ni watu wa ovyo kabisa.
Mmmh NHIF ya wp mtu mzima analipa 50400 nadhan hii ni kwa mtoto
Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona
[emoji1787][emoji1787]Huo mguu wako
Ova
Kapicha ndio kamenifanya nijue ni wewe,msamilie Dk bitekoNi mimi ndiye.
Ukitaka kujionyesha superstars kubali Gharama yake , huwez kuwaaminisha watu wa kuelewe unless kama na yeye angekuwa choka mbaya ...!! Kama ana maisha ya kuigiza na Hana chochote basi iwe funzo Kwa wasanii na wale wapenda show off ,Mtu kapanga kwenye gorofa Mbezi beach. Halafu kwao kuko hivi ?Aibu kwa kweli.
Kwan hyo nyumba ndio anayoishi au n sehemu aliyotokea mzazi wake....?Kushangaa ni kuishi nyumba ya tope huku mjini akivimba na gari ya milion 30
Bima ya afya ya 50,400 ni ya watoto wanafunzi. Mtu mzima haimhusuSio yeye tuu waaulize na wasanii wengine. Wasanii wengi bongo wanaishi majumba ya kifahari ya kupanga kingali hata bima ya afya ya NHIF ya 50400/= hawana.
Mimi nilijua Luludiver ni mtoto wa yule alikuwa rais wa T.F.F akapigwa ndani na magu. Malinzi sijui?. Au ni mbili tofauti?
Ni vema kuishi kiuhslisia wakuu