Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Ila tuseme tu ukweli. Kujenga nyumba siyo rahisi kama tunavyofikiria. Hasa kwa mtoto wa kike. Ni rahisi vijana wa kike kuwa na ndinga, kupanga hata apartments masaki, kuvaa wigi la 10m/-, gauni la laki tano, pochi, dhahabu, hereni, kula bata kila siku na kutamba anazo pesa kuliko kujenga, iwe mjini au kijijini. Tunao madada tumeshuhudia. Ukiniuliza kwanini sina jibu. Labda watueleze wao wenyewe!
 
Kama Mama yake alikuwa Anaishi kwenye hilo gheto bovu Basi huyo demu Ni mpumbavu sana.

Show off kibao then anakuwa na life la kiwaki
 
Ila tuseme tu ukweli. Kujenga nyumba siyo rahisi kama tunavyofikiria. Hasa kwa mtoto wa kike. Ni rahisi vijana wa kike kuwa na ndinga, kupanga hata apartments masaki, kuvaa wigi la 10m/-, gauni la laki tano, pochi, dhahabu, hereni, kula bata kila siku na kutamba anazo pesa kuliko kujenga, iwe mjini au kijijini. Tunao madada tumeshuhudia. Ukiniuliza kwanini sina jibu. Labda watueleze wao wenyewe!

Ni wapumbavu tu kama una hela ya kufanya yote hayo nn unashindwa kujenga[emoji19]
 
sis watanzania tunaakil ndogo sana kwaio unahis waltoka kijijin na kuja kupanga mjin? kama taratbu za kwao n kuzka maeneo ya nyumban kwao ndio wajengee ukoo mzma nenda uchagan uone wachaga wananyumba za kawaida lakn uko mjin wana ma hekalu
Acha kudanganya umati nimefika uchagani hawana nyumba za tope na kama zipo mtu anajitahidi anajenga nyumba nzuri pembeni kidogo kidogo mpka inaisha ndio maana wana furaha kirudi makwao mwezi wa 12 wanaenda cheki maendeleo na sio watu wa kujitapa kuonyesha malinzao. Tukirudi kwa wasanii wetu tatizo wakiwa mjini hawakumbuki nyumbani na kujitapa kwingi kufanya mambo ya ufahari na kujionyesha kuwa wanacho kumbe hata mama zao hawalali kwa amani nyumba muda wowote inaanguka.

Mfano kuna yule mchekeshaji naitwa mkali wenu ana gari mbili moja brevis anadai ni gari yake ya kwanza akahojiwa kwanini mama anaishi maisha ya tabu na ww una gari mbili huwezi uza moja ukamsaidia mama hata mtaji jamaa anajing'ata tu maneno ohh hii gari yangu y kwanza sjui nyoko nyoko alinikera sana mjinga yule. Inamaan anaona ufahari kuwa na gari mbili ila anakoishi mama yake dah akustahili tena kama na mtoto amayetamba n gari mbili mjini mama wa watu mpka analia.
 
Ila na wewe mleta uzi kwanini unafuatilia maisha yasiyokuwa yako? Wazungu hawajengi nyumba wengi wao wanaishi kwenye nyumba za mbao na wamepangishwa napenda maisha halisi ya kijijini
Usije ukalinganisha nyumba za mbao za wazungu na hiko kijumba cha tope hilo ni kama zizi hatukatai bau zetu na wazazi wetu wengi wetu tulizaliwa huko ila dunia ya sasa kuendelea kuishi humo ni umaskini na kukosa kuthamini mambo ya msingi.

Kama aanapenda nyumba ya tope na hapa town akaishi kwenye nyumba ya tope vile vile sio mjini anapanga nyumba nzuri alaf kwa mama yake kupo kama banda la mbuzi
 
Ila pia hili tatizo linaweza sababishwa na sisi wanaume unakuta mume alishasepa muda mrefu akamuachia mama wa watu majukumubna maisha magumu atafanyaje sasa lazima aishi humo ilimradi sikubziende ila baba angesimama kwa nafasi yake wasingekuepo humo.

Nimejaribu kuwaza tofauti kidogo hizi situation zipo pia
 
Ila tuseme tu ukweli. Kujenga nyumba siyo rahisi kama tunavyofikiria. Hasa kwa mtoto wa kike. Ni rahisi vijana wa kike kuwa na ndinga, kupanga hata apartments masaki, kuvaa wigi la 10m/-, gauni la laki tano, pochi, dhahabu, hereni, kula bata kila siku na kutamba anazo pesa kuliko kujenga, iwe mjini au kijijini. Tunao madada tumeshuhudia. Ukiniuliza kwanini sina jibu. Labda watueleze wao wenyewe!
Kwa Mazingira ya lulu diva hana namna alitakiwa apatengeneze nyumbani ila kama mtu ana kaka zake anajua hapo sio kwake. Nakereka sana ninapoona mtu haweki juhudi kulinda heshima ya pale alipotoka.
 
Labda alisubiria hio mahari ya milioni 500 ndio ajenge
Mahari m500 na yeye kakulia kwenye banda la mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23] si bora nikanunue nguruwe wa kisasa anakaa banda zuri kuliko hapo kwako au alitaka amalize umaskini kwenye mahari[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila pia hili tatizo linaweza sababishwa na sisi wanaume unakuta mume alishasepa muda mrefu akamuachia mama wa watu majukumubna maisha magumu atafanyaje sasa lazima aishi humo ilimradi sikubziende ila baba angesimama kwa nafasi yake wasingekuepo humo.

Nimejaribu kuwaza tofauti kidogo hizi situation zipo pia
Wazazi wengi wamejengewa na watoto wao kwann asiige mfano.
Milioni 2 tu kijijini unajenga vyumba viwili sebule Jiko na choo.
 
Wazazi wengi wamejengewa na watoto wao kwann asiige mfano.
Milioni 2 tu kijijini unajenga vyumba viwili sebule Jiko na choo.
Ina umiza sana asee mazingira wanayopitia wazazi wetu kutulea alafu mtu ukikua hukumbuki kumlea mzazi dah🥺
 
Wanaume wangapi mmetelekeza wazazi wenu vijijini? Huyo lulu diva angekua wa kiume saizi mama yake angeshakufa miaka nane nyuma. Maana wa kumfuta na kumsafisha asingekuwepo. Amemuuguza peke yake kwa miaka zaidi ya nane. Nani aliwahi kumchangia humu?

Keyboard warriors wako busy kuongea kwakuwa hatuwajui ID zenu. Tukisema tuwachimbe tutakuta kwenu ni worse ila mkikaa wavuvi camp mnajiita Big Boys
 
Acha kudanganya umati nimefika uchagani hawana nyumba za tope na kama zipo mtu anajitahidi anajenga nyumba nzuri pembeni kidogo kidogo mpka inaisha ndio maana wana furaha kirudi makwao mwezi wa 12 wanaenda cheki maendeleo na sio watu wa kujitapa kuonyesha malinzao. Tukirudi kwa wasanii wetu tatizo wakiwa mjini hawakumbuki nyumbani na kujitapa kwingi kufanya mambo ya ufahari na kujionyesha kuwa wanacho kumbe hata mama zao hawalali kwa amani nyumba muda wowote inaanguka.

Mfano kuna yule mchekeshaji naitwa mkali wenu ana gari mbili moja brevis anadai ni gari yake ya kwanza akahojiwa kwanini mama anaishi maisha ya tabu na ww una gari mbili huwezi uza moja ukamsaidia mama hata mtaji jamaa anajing'ata tu maneno ohh hii gari yangu y kwanza sjui nyoko nyoko alinikera sana mjinga yule. Inamaan anaona ufahari kuwa na gari mbili ila anakoishi mama yake dah akustahili tena kama na mtoto amayetamba n gari mbili mjini mama wa watu mpka analia.
Aseeehhhh
 
Wanaume wangapi mmetelekeza wazazi wenu vijijini? Huyo lulu diva angekua wa kiume saizi mama yake angeshakufa miaka nane nyuma. Maana wa kumfuta na kumsafisha asingekuwepo. Amemuuguza peke yake kwa miaka zaidi ya nane. Nani aliwahi kumchangia humu?

Keyboard warriors wako busy kuongea kwakuwa hatuwajui ID zenu. Tukisema tuwachimbe tutakuta kwenu ni worse ila mkikaa wavuvi camp mnajiita Big Boys
[emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji4][emoji3577]
 
Wanaume wangapi mmetelekeza wazazi wenu vijijini? Huyo lulu diva angekua wa kiume saizi mama yake angeshakufa miaka nane nyuma. Maana wa kumfuta na kumsafisha asingekuwepo. Amemuuguza peke yake kwa miaka zaidi ya nane. Nani aliwahi kumchangia humu?

Keyboard warriors wako busy kuongea kwakuwa hatuwajui ID zenu. Tukisema tuwachimbe tutakuta kwenu ni worse ila mkikaa wavuvi camp mnajiita Big Boys

Ukiona mtu wa mkoani hapendi sana kurudi kwao likizo au mwisho wa mwaka ujue kwao ni pabovu na ukiona mtu mjini anaishi sana kwa kuigiza jua anatatizo sana yaani showoff nyingi za mjini hufanywa na watu ambao hawajafanikiwa huwezi kumkuta mwenye pesa ya kweli eti anapiga picha muone simu yake ya iphone haipo hiyo, hayo yaweke akilini
 
Ukiona mtu wa mkoani hapendi sana kurudi kwao likizo au mwisho wa mwaka ujue kwao ni pabovu na ukiona mtu mjini anaishi sana kwa kuigiza jua anatatizo sana yaani showoff nyingi za mjini hufanywa na watu ambao hawajafanikiwa huwezi kumkuta mwenye pesa ya kweli eti anapiga picha muone simu yake ya iphone haipo hiyo, hayo yaweke akilini
Lulu diva unajua alivyohangaika na mama yake,? Unajua kuwa alikua anaishi nae kwake bila msaada wa mtu? Hakumuacha kijijini kama wengi wanavyofanya. Before we judge tujitathmini na sisi weyewe.
 
Lulu diva unajua alivyohangaika na mama yake,? Unajua kuwa alikua anaishi nae kwake bila msaada wa mtu? Hakumuacha kijijini kama wengi wanavyofanya. Before we judge tujitathmini na sisi weyewe.

Twende extramile, lulu diva ni msanii mifumo ya haki zao ingekua bora angekua ameshajenga, lakini tatizo wao pia haki zao wanaporwa hapo ni jukumu la serikali kuhakikisha hawa wasanii haki zao wanapata sio kufanya kazi kubwa halafu wanadhulumiwa, sasa njoo kwa wasanii sio kwamba hawaingizi pesa completly hapana tunajaribu kushauri wakumbuke mazingira ya makwao basi tuliona kwao babutale kijijini pabovu, tuliona mangwea, lulu diva na wasanii wengine kama mkali wenu kwao ni fukara kabisa, nawapongeza wasanii wanaokumbuka kuwajengea wazazi wao japo room hata mbili walale pazuri, na wengine wahamasike maana sio kwamba hawawezi hapana na watanzania sisi ukihojiwa ukasema gari unayotembelea ni milioni 100 tunataka iakisi maendeleo hata ya kwenu, ukisema wigi milioni tatu basi na kwenu tuone ni pazuri.na kama huna useme sina basi.
 
Back
Top Bottom