Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sasa anaigiza mkuu..Mimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.
Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.
Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
Imekaa kiumbea sana.Hii habari umeleta tuisome au?
Hilo duka bado lipo?Aise,kmbe ndy huyu
Longtime alikuwa anauza nguo kwenye duka la feruz mitaa ya sinza
Ova
Mgonga like Leo umecommentEveryone loves to judge others until it happens to them.[emoji2211]
Long time sana ilikuwaHilo duka bado lipo?
Maana Ferooz nasikia kafulia
Mimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.
Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.
Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
[emoji30][emoji26][emoji26]kwa kweli keyboard warrior [emoji26]Sa afadhali hata yeye ana kwao, tena na Nyumba ya Tope ipo.. kuna wengine Tunamponda huku tumezaliwa kwenye Nyumba za Upangaji na mpaka leo tuko Kwenye Nyumba za Upangaji.. infact hatuna kwetu!!
sis watanzania tunaakil mdogo sana waio unahis waltoka kijijin na kuja kupanga mjin? kama taratbu za kwao n kuzka maeneo ya nyumban kwao ndio wajengee ukoo mzma nenda uchagan uone wachaga wananyumba za kawaida lakn uko mjin wana ma hekalu
Ephraim KibondeAliyesema maisha lazima uwe na nyumba nani?