Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

Alishafariki last year huyu
 
cia, m16, mossad, au kgb
 
Hahahah .. Dah bbc wanaakili kweli.. Wanaangalia professionalism... Hatari sana.. Hapa bongo sidhani kama atapata ajiri hata kwenye kampuni bubu kama yangu
 

Hii picha ni kama maeneo flan kabla hujafika Segera njia panda ya Tanga. Dah bas mchiz alijituma sana had Bongo kuhoj
 
HABARI YA ZAMANI SANA NA HUYU JAMAA ALISHAFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WAKATI ANAVUKA BARABARA
 
Jamaa nasikia alikuwa mwandishi mahiri hasa...kiasi alikuwa mwiba mchungu hasa wa Prof.Bingu wa Mutharika....rip
 
Ananikumbusha mwandishi mmoja ambae sasa hivi ni marehemu.. Alikuwa anaitwa Mnenge Suluja.. Alikuwa so rough na alikuwa anapiga sana ile konyagi pori (gongo).. But alikuwa vizuri sana upstairs..
Hawa watu ambao wako vizuri upstairs lazima moja infyatuka, sijui ni kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…