mwanabayaya el chapo
Member
- Jul 20, 2016
- 83
- 30
RipAlishafariki last year huyu
Hata mimi huwa nawapata sana mkuu.....ila huyu kazidi kidogo.[/QUOTE]Hata mimi huwa nawapata sana mkuu.....ila huyu kazidi kidogo.
ni ugumu, watu kama hawa mi nawaelewa sana
Kuna wakati nilisikiaga amekufa huyu ndugu, au kumbukumbu zangu sio sahihiAisee Bbc inavipaji si mchezo.
Mkuu jibu la swali lako mbona lipo kwenye habari hapo juu!Mtanagazaji wa wapi?
...si kweli!.marehemu mzee Mnenge hakupata kuwa "so rough!";achilia mbali kwa kiasi hiki cha huyo Mmalawi!Ananikumbusha mwandishi mmoja ambae sasa hivi ni marehemu.. Alikuwa anaitwa Mnenge Suluja.. Alikuwa so rough na alikuwa anapiga sana ile konyagi pori (gongo).. But alikuwa vizuri sana upstairs..