Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Umetupa kazi ngumu..tulegezee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi JF kumejaa hopeless thinkers! 🤣 hawawezi kutambua chochote ila ukileta udaku ndio utaona wanachangia kwa kujinasibu kuwa ni wajuzi wa mambo. Sisi tulisoma Cuba tumeshakupata mkuu!Hili lilikuwa ni jukwaa la great thinker ila sasa limeingiliwa
Tuwe makini bado chain ni ndefuTunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
uwe unafuatilia mambo. wenye akili tumeelewaMBONA HUJAELEWEKA NIN NANI HUYO KATEKWA TENA?
Kitabu hicho cha kijinga kitasababisha mauaji sana kuanzia chini hadi juu kwa kukosa hekima na busara ndogo tu aliyoionesha Mganda KabenderaTunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Sasa hii ya nini!?Mbona habari kamili iko hapa hapa jukwaani kuhusiana na huo utekaji!!
Ujinga mtupu!.Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Hili lilikuwa jukwaa la GT, wewe sio mmoja wetu
Kitabu hicho cha kijinga kitasababisha mauaji sana kuanzia chini hadi juu kwa kukosa hekima na busara ndogo tu aliyoionesha Mganda Kabendera
Unavujisha taarifa kwa manufaa ya umma halafu unabakia hapo hapo?Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Wenye akili yaani great thinkers wameelewa na ndio walengwa wa huu uzi, vipaza upitie mbaliMngese huyo jamaa,kama ana hofu sana angetulia tu na habari yake

Unajua hata akili ni kitu gani!?..Wenye akili yaani great thinkers wameelewa na ndio walengwa wa huu uzi, vipaza upitie mbali
Nimesoma gazeti la Mwananchi wamesema ni mtumishi wa wizara ya madini.Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.