uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Mwandishi aliwalenga GT tu!
Who are the GT’s Bro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandishi aliwalenga GT tu!
Hili lilikuwa ni jukwaa la great thinkers ila sasa limeingiliwa
Some people in JF who call themselves so.Who are the GT’s Bro?
Mencius once said "A great-man is he who does not lose his child's heart.Who are the GT’s Bro?
Great thinkersWho are the GT’s Bro?
Kiranga ambaye amekisoma kitabu hicho ameanza kupangua hoja za kwenye hicho kitabu.Anza wewe kuipangua tuone. Kumbuka kitabu kile kwa sasa kinauzwa kwa nchi zilizoendelea na kustarabika. Wewe huenda baada ya kumaliza shule hizi za kata haujawahi kusoma kitabu chochote
Unajua typing error we?Kiranga ambaye amekisoma kitabu hicho ameanza kupangua hoja za kwenye hicho kitabu.
Kiranga anasema mwandishi ameandika Sokoine alikufa tarehe 12 April 1983 ambayo ni uongo badala ya mwaka halisi ambao ni 1984.
Hali hii inafanya kikose credibility. Watu makini wanakuwa na mashaka hawawezi kukiamini . Hivyo kitabu hicho hakiaminiki.
Watajuana wao kwa wao.kama ni mtumishi wa tiss na alitoa siri, namwonea huruma, wampe tu nafasi ya kutubu kwanza ili anakoenda kuwe kuzuri.
mwenye benzi iliyokotwa, recent kidnapped!MBONA HUJAELEWEKA NIN NANI HUYO KATEKWA TENA?
Wakajifunze mbinu kwa Paul Kagame au kwa Warusi namna ya kuwashughulikia maadui ambao wamekimbilia nje ya nchi.Mwandishi hapatikani hongo, keishahamia majuu