Kutekwa kwa mtumishi wa umma/ serikali kuna uhusianao na yaliyomo kwenye kitabu cha Kabendera?

Kutekwa kwa mtumishi wa umma/ serikali kuna uhusianao na yaliyomo kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mtu akiwa anakosoa kosoa humu JF hawezi kuwindwa na kunaswa?

Kwa sababu hali inatisha sasa, wanatekwa hata watu ambao siyo maarufu wa kisiasa.
 
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Tengenezeni tu "justifications" zenu Watanzania wanawachora tu!
 
Wenye akili yaani great thinkers wameelewa na ndio walengwa wa huu uzi, vipaza upitie mbali
Unaogopa nini mzee eeh nini unaogopa km unajiamini si ungetaja mpaka hao watumishi waliomteka huyo mtumishi km kweli unawajua na kuwatambua, taarifa yako imekaa kidakudaku halafu unajiita GT
na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake
Haya wataje hao watumishi waliomteka mwenzao ili kumshughulikia
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Huyo Kwabendera sio Mhaya ni Mganda
 
Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.

Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Kabendera sio Mhaya!
 
Polisi nao wababaishaji sana.wameshindwa kabisa kusema huyu jamaa ni asiyejulikana ambaye hataki upumvavu wanaotufanyia hao wasiojulikana Hadi wakaamua wenzake wamteke Kwa kuwa hakubaliani na mambo yao ya kipumbavu.
 
Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.

Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Kwa nini wasimteke Mwandishi mwenyewe kuliko kuhangaika na matawi?
 
Kabendera kaandika kitabu cha hearsay, alitakiwa alete vitu tangible, sio kuleta story zisizo na ushahidi kabisa na ambazo ni rahisi san akuzipangua.
 
Kabendera kaandika kitabu cha hearsay, alitakiwa alete vitu tangible, sio kuleta story zisizo na ushahidi kabisa na ambazo ni rahisi san akuzipangua.
Kumbuka kabendera ni muamdishi wa habari za kiuchunguzi ,sijui unaelewa maana ya hilo neno?
 
Kabendera kaandika kitabu cha hearsay, alitakiwa alete vitu tangible, sio kuleta story zisizo na ushahidi kabisa na ambazo ni rahisi san akuzipangua.
Kumbuka kabendera ni muandishi wa habari za kiuchunguzi ,sijui unaelewa maana ya hilo neno na unaelewa aina hiyo ya waandishi huwa ni watu gani
 
Kumbuka kabendera ni muandishi wa habari za kiuchunguzi ,sijui unaelewa maana ya hilo neno na unaelewa aina hiyo ya waandishi huwa ni watu gani
kitu chochote unachoweka kwenye maandishi huwa kinadumu miaka mingi sana, sio gazeti lile ni kitabu. uandishi wako wa uchunguzi usio na ushaidi wa kutosha yafaa uweke kwenye gazeti. ila kama ni kitabu lazima uweke source zinazothibitika, au la hilo ni gazeti tu. na ndivyo kilivyo kile kitabu. ni story tena za mtaani ambazo unatakiwa kurisk kuziamini. mimi sikuwa namfagilia jiwe kabisa, ila nilitegemea aandike kitu bora kama ameamua kufanya hivyo. kile ameandika ni rahisi sana kukicounter na kutokiamini.
 
kitu chochote unachoweka kwenye maandishi huwa kinadumu miaka mingi sana, sio gazeti lile ni kitabu. uandishi wako wa uchunguzi usio na ushaidi wa kutosha yafaa uweke kwenye gazeti. ila kama ni kitabu lazima uweke source zinazothibitika, au la hilo ni gazeti tu. na ndivyo kilivyo kile kitabu. ni story tena za mtaani ambazo unatakiwa kurisk kuziamini. mimi sikuwa namfagilia jiwe kabisa, ila nilitegemea aandike kitu bora kama ameamua kufanya hivyo. kile ameandika ni rahisi sana kukicounter na kutokiamini.
Ndio maana nikakuuliza unaelewa maana ya muandishi wa habari za kiuchunguzi? Na unajua wanavyo fanya kazi?
 
Ndio maana nikakuuliza unaelewa maana ya muandishi wa habari za kiuchunguzi? Na unajua wanavyo fanya kazi?
ninaelewa, na ninajua wanavofanya kazi, najua kuna whistleblowers wengi wanaweza kuwaficha, na hata source wanaweza kuficha, na hiyo ndio sababu inayofanya wawe na uwezo kuandika tu magazeti ila sio kitabu. ukisashema unaandika kitabu thats another thing, source lazima iwekwe na isionekane tu umetoa kichwani mwako labda kwa sababu ya upendo au chuki kwa yule unayemwandika.
 
Huyo bwanamdogo nimeona comments kwenye page fulani X kwa wanaomjua /wa mtaa mmoja nae wanasema alikuwa ni mtu wa chest thumping sana na alihusika kwenye dili za madini na ni mtumishi wa TISS sasa ulitarajia atajwe wakati sheria yao iliboreshwa saa hizi hawatajwi.

Uliona sarakasi zilizopigwa kuhusu yule aliyetoa bastola Masaki , ndio hao hao sasa.
 
Back
Top Bottom