Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka

Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Kuhamishiwa kwakwe maanza ulikuwa ni warning.
alishaonywa mara ya kwanza mbeya.. ila akarudia kulekule.
tena kwa kauli zisizo nzuri
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Umejuaje ni yale maneno aliyosema ndiyo yalimfanya rais kutengua? Mbona mnapiga ramli wakati hakutoa sababu? Pengine kuna mambo mengine zaidi ya hilo.
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Huyu mama wakati mwingine nadhani anasikiliza sana maneno ya mitaani. Chalamila hakutumbuliwa bali uteuzi wake umetenguliwa kulingana na matakwa ya Rais lakini sababu kubwa ilikuwa ni kutengeza nafasi ya mama Buriani ambaye alipoteuliwa kuwa RAS mitaani watu walisema kuwa amepewa cheo kidogo kulingana na hadhi yake hasa ukizingatia aliwahi kuwa waziri na balozi. Sasa ilikuwa ama Hapi au Chalamila aachie ngazi ndipo mpira ukamwangukia Chalamila. majina hayo mawili ni yale yaliyokuwa yanazungumzwa sana mitaani, na hhapi alikuwa na bahati sana kwani yeye bado ni target namba moja hasa ukizingatia jinsi alivyomchambua sana Membe wakati ule simu ya membe ilipowekwa hadharani.

Kutumbua
ni neno tuliloletewa kuwa kiongozi akifanya makosa kazini linakuwa kama ni jipu ambalo lazima litumbuliwe; Magufuli alitumbua wengi sana wa namna hiyo. Utenguzi ni kuondolewa kwenye nafasi fulani kwa sababu yoyote ile isiyotakana na utendaji wa kazi. Hiyo ni pamoja na kumtoa kitengo kimoja na kumpeleka kitengo kingine, analazimika atengua uteuzi kwenye kitengo cha zamani ndipo amteue kwenye kitengo kipya. Kitengo kipya kinaweza kuwa ni jobless!
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Kwani na wewe umekuja na bango la matusi?
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Kwanza naheshimu mawazo yako, kwani wewe mwenzetu unazijua sababu za kutenguliwa kwake?.

Hebu msikilize hapa huyo mtu wako

Jee mtu anayetoa kauli kama hii, alipaswa kuendelea kuwa mtumishi wa umma?.
P
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
[emoji23][emoji23]akanywe bia
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Suala la mabango siyo sababu ya kutenguliwa kwake. Nani kakuambia ametenguliwa kwa sababu ya kauli ya mabango?
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Ukishaanza kwa kusema rais kapewa nguvu kikatiba kuteua na kutengua yeyote kwa wakati anaouona unafaa, hutakiwi kusema utenguzi fulani haukuwa kwa wakati muafaka.

Kwa sababu kitu cha muhimu ni katiba, huku kwa wananchi kila mtu ana opinion yake kuhusu wakati muafaka.
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Mbona dhalimu wenu aka nduli hamkumshauri haya, nendeni mkamsaidie chalamila kurudisha mizigo yake nyumbani

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Bila kutenguliwa kwa chalamila,kulikuwa hakuna Namna ya Batilda Buriani kupata nafasi ya ukuu wa mkoa,Kwani aliteuliwa kimakosa kuwa RAS shinyanga.
 
Yule Bwana kiburi alichokuwa amepewa kilikuwa sio cha Dunia hii yaani Kibaka auwawe?
 
Huyu mama wakati mwingine nadhani anasikiliza sana maneno ya mitaani. Chalamila hakutumbuliwa bali uteuzi wake umetenguliwa kulingana na matakwa ya Rais lakini sababu kubwa ilikuwa ni kutengeza nafasi ya mama Buriani ambaye alipoteuliwa kuwa RAS mitaani watu walisema kuwa amepewa cheo kidogo kulingana na hadhi yake hasa ukizingatia aliwahi kuwa waziri na balozi. Sasa ilikuwa ama Hapi au Chalamila aachie ngazi ndipo mpira ukamwangukia Chalamila. majina hayo mawili ni yale yaliyokuwa yanazungumzwa sana mitaani, na hhapi alikuwa na bahati sana kwani yeye bado ni target namba moja hasa ukizingatia jinsi alivyomchambua sana Membe wakati ule simu ya membe ilipowekwa hadharani.

Kutumbua
ni neno tuliloletewa kuwa kiongozi akifanya makosa kazini linakuwa kama ni jipu ambalo lazima litumbuliwe; Magufuli alitumbua wengi sana wa namna hiyo. Utenguzi ni kuondolewa kwenye nafasi fulani kwa sababu yoyote ile isiyotakana na utendaji wa kazi. Hiyo ni pamoja na kumtoa kitengo kimoja na kumpeleka kitengo kingine, analazimika atengua uteuzi kwenye kitengo cha zamani ndipo amteue kwenye kitengo kipya. Kitengo kipya kinaweza kuwa ni jobless!
Siku hizi JF kuna watu wapumbavu sana [emoji22]kama wewe
 
Back
Top Bottom