Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka

Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka

Huyu mama wakati mwingine nadhani anasikiliza sana maneno ya mitaani. Chalamila hakutumbuliwa bali uteuzi wake umetenguliwa kulingana na matakwa ya Rais lakini sababu kubwa ilikuwa ni kutengeza nafasi ya mama Buriani ambaye alipoteuliwa kuwa RAS mitaani watu walisema kuwa amepewa cheo kidogo kulingana na hadhi yake hasa ukizingatia aliwahi kuwa waziri na balozi. Sasa ilikuwa ama Hapi au Chalamila aachie ngazi ndipo mpira ukamwangukia Chalamila. majina hayo mawili ni yale yaliyokuwa yanazungumzwa sana mitaani, na hhapi alikuwa na bahati sana kwani yeye bado ni target namba moja hasa ukizingatia jinsi alivyomchambua sana Membe wakati ule simu ya membe ilipowekwa hadharani.

Kutumbua
ni neno tuliloletewa kuwa kiongozi akifanya makosa kazini linakuwa kama ni jipu ambalo lazima litumbuliwe; Magufuli alitumbua wengi sana wa namna hiyo. Utenguzi ni kuondolewa kwenye nafasi fulani kwa sababu yoyote ile isiyotakana na utendaji wa kazi. Hiyo ni pamoja na kumtoa kitengo kimoja na kumpeleka kitengo kingine, analazimika atengua uteuzi kwenye kitengo cha zamani ndipo amteue kwenye kitengo kipya. Kitengo kipya kinaweza kuwa ni jobless!
Usirembe maneno katumbuliwa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Japo ni fala lakini naona kama wamemuonea ila mtu kama sabaya unastahili kupata mavuno ya alichokipanda
 
Huyu mama wakati mwingine nadhani anasikiliza sana maneno ya mitaani. Chalamila hakutumbuliwa bali uteuzi wake umetenguliwa kulingana na matakwa ya Rais lakini sababu kubwa ilikuwa ni kutengeza nafasi ya mama Buriani ambaye alipoteuliwa kuwa RAS mitaani watu walisema kuwa amepewa cheo kidogo kulingana na hadhi yake hasa ukizingatia aliwahi kuwa waziri na balozi. Sasa ilikuwa ama Hapi au Chalamila aachie ngazi ndipo mpira ukamwangukia Chalamila. majina hayo mawili ni yale yaliyokuwa yanazungumzwa sana mitaani, na hhapi alikuwa na bahati sana kwani yeye bado ni target namba moja hasa ukizingatia jinsi alivyomchambua sana Membe wakati ule simu ya membe ilipowekwa hadharani.

Kutumbua ni neno tuliloletewa kuwa kiongozi akifanya makosa kazini linakuwa kama ni jipu ambalo lazima litumbuliwe; Magufuli alitumbua wengi sana wa namna hiyo. Utenguzi ni kuondolewa kwenye nafasi fulani kwa sababu yoyote ile isiyotakana na utendaji wa kazi. Hiyo ni pamoja na kumtoa kitengo kimoja na kumpeleka kitengo kingine, analazimika atengua uteuzi kwenye kitengo cha zamani ndipo amteue kwenye kitengo kipya. Kitengo kipya kinaweza kuwa ni jobless!
Eti kuna tofauti ya kutumbua na kutengua au sijakusoma
 
Watu wote waliosema aongezewe mda yafaa waondolewe kwenye utumishi ukiwachunguza wengi hawana uwezo thus waliishia kujipendekeza tu
 
Unajuaje kamfukuza sababu ya Bango ?

By the way kuna msemo wa "The Last Straw which Broke the Camels Back"...,

Ukijaza gunia kwa debe nne sio kwamba ile ya mwisho pekee ndio imejaza gunia.., bali zile tatu za mwanzo ndio zimechangia hii ya mwisho kujaza...
 
Eti kuna tofauti ya kutumbua na kutengua au sijakusoma

Usirembe maneno katumbuliwa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kwa matumizi yamaneno hayo tangu tulipoanza kuyasikia miaka mitano iliyopita. Utumbuzi unaendana kuadabishwa kutokana na makosa ya kikazi (majipu) yanayosababisha malalamiko mbele ya umma, wakati untegunzi unatokana na matakwa ya rais mwenyewea hata bila kuwa na sababu yeyote. Aliyetenguliwa uteuzi wake kwa sababu ya kushindwa kuapa hata kabla hajaanza kazi huyu hakutumbuliwa. Vile vile waliotenguliwa teuzi zao kwa sababu ya kutokukubaliana na Magufuli hawakuwa wanatumbuliwa; kwa mfano, Dr. Mwere alitenguliwa nafasi yake ya ukurugenzi siyo kwa sababu kulikuwa na malalamiko dhidi yake kikazi, na vile vile Prof Assad naye uteuzi wake haukuwa renewed siyo kwa sababu kulikuwa na malalamiko dhidi yake kikazi.
 
Kwa matumizi yamaneno hayo tangu tulipoanza kuyasikia miaka mitano iliyopita. Utumbuzi unaendana kuadabishwa kutokana na makosa ya kikazi (majipu) yanayosababisha malalamiko mbele ya umma, wakati untegunzi unatokana na matakwa ya rais mwenyewea hata bila kuwa na sababu yeyote. Aliyetenguliwa uteuzi wake kwa sababu ya kushindwa kuapa hata kabla hajaanza kazi huyu hakutumbuliwa. Vile vile waliotenguliwa teuzi zao kwa sababu ya kutokukubaliana na Magufuli hawakuwa wanatumbuliwa; kwa mfano, Dr. Mwere alitenguliwa nafasi yake ya ukurugenzi siyo kwa sababu kulikuwa na malalamiko dhidi yake kikazi, na vile vile Prof Assad naye uteuzi wake haukuwa renewed siyo kwa sababu kulikuwa na malalamiko dhidi yake kikazi.
Kuna press release yoyote imewahi kuandika kuwa kuna mtu katumbuliwa,?
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
Kulikuwa na haja gani ndugu Chala kuzungumzia mabango? Yeye aliogopa nini mabango ikiwa hata kama yangekuwepo asingeweza fanywa chochote kwa vile yeye ni mgeni ndio kwanza hana hata mwezi mwanza?

Yeye kusema wananchi wa mwanza wasiwe na kinyongo na mama samia kwa kufariki magufuli, Yeye alijuaje kuwa wananchi wana kinyongo kwa kufa kwake? Yeye alijuaje kuwa magu alikatishwa kamba?

Si bora hata kwa mama, enzi za magu kwenye uzinduzi wa choo alikuwa anajisemea tu nitumbue au nisitumbue? Wakisema tumbuaaaaaa, imeisha hiyo!
 
Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba kuteua au kutengua uteuzi wa yeyote aliyemteua na wakati anouona unafaa. Kutenguliwa kwa Ndugu Chalamila binafsi haukuwa wakati muafaka.

Mhe. Rais kama kulitokea dosari angemwita na kumueleza dosari zake na yale maneno aliyozungumza kwa upande wangu sioni kama yalikuwa na dosari yeyote.

Anapokuja Mhe. Rais katika eneo fulani watu huwa wanabeba mabango ya aina mbalimbali na mengine yana maneno yasiyo na staha na kwa ujumla yote yanatoa ujumbe kwa Mhe. Rais. Natumaini hayo ndo aliyokuwa anamaanisha Ndugu Chalamila.

Hata hivyo Mhe. Rais kwa lugha ya staha angempangia kazi nyingine kuliko hii iliyoleta taharuki. Ikumbukwe kuwa amekaa sana muda mfupi hapa Mwanza.

Mhe Rais angemuacha angalau hata miezi sita ikiwa bado anamsoma. Pamoja na hayo Mhe. Rais amepewa nguvu na Katiba yetu ana uwezo wa kufanya lolote analoliona kama linafaa.
kama alikwambia atakulipia ada ya chuo mwaka wa masomo ujao,basi imekula kwako, Rc aliahindwa kuco troll kinywa chake, alichopata amedeserve FULL STOP
 
Back
Top Bottom