Kutenguliwa ubalozi Dr W Slaa: Mnaliona tatizo ninaloliona?

Kutenguliwa ubalozi Dr W Slaa: Mnaliona tatizo ninaloliona?

Slaa alikuwa hana Option wewe Imagine, Mbowe, Lema na kina Mnyika walishika madodoki na kuanza kumsafisha Lowasa ambae wamekuwa wakihubiri for years kuwa ni Fisadi papa leo chama kina Mfanya kuwa Flag bearer kweli?
Uzuri uwezo wa mtu huwa haujifichi na wote tunafahamu Kuwa DR Slaa uwezo wake ni Mkubwa sisi wazalendo tume reserve uzalendo wake alio onesha wakati huu na Inshu ya Ubalozi , Urais wa Samia ukikoma hata Kesho ataerudishiwa tu wala sio Inshu
Mkuu niseme hukufutatilia !! lowasa lilikuwa ni stepping stone .kwa siasa za chadema kwa sababu lowasa alikuwa na watu. Mind you hata magu kupata nafasi ya kugombea urais ilikuwa ni sababu lowasa alionekana ni tishio hata huko ccm hasa team msoga.
Kilichokuja kumbadilisha Dr slaa ni kuwa mama josephine aliona kwa ile move anaukosa u first lady akamzingua Dr ,na Dr naye akaja kuizingua Chadema .
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
Kwani iwe mbowe na lema?kwann isiwd uongoz wa chama?bado umangi meli hujaisha isha chadema?mbowe na slaa nani msaliti?nani yuda?yuda ni yule aliyeuza chama kwa fisadi luwasa aliyetumwa kwa kaz maulum ndani ya chama
 
Mkuu niseme hukufutatilia !! lowasa lilikuwa ni stepping stone .kwa siasa za chadema kwa sababu lowasa alikuwa na watu. Mind you hata magu kupata nafasi ya kugombea urais ilikuwa ni sababu lowasa alionekana ni tishio hata huko ccm hasa team msoga.
Kilichokuja kumbadilisha Dr slaa ni kuwa mama josephine aliona kwa ile move anaukosa u first lady akamzingua Dr ,na Dr naye akaja kuizingua Chadema .
Kadanganye watoto.unamjua jk kweli ile ni akili nyngne katika siasa ndye aliyecheza mchezo wa luwasa kuwa chadema.mbowe kapewa chake dili is ova
 
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi. Tunsikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako. Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kava jezi yenye nembo ya Balozi, Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lskini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwaupande mmoja seriksli ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chsto
Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwndosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwavuenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu vya MUST- Mbeya na Mwslimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali. Kuna sku sliyetukana kijinga, lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
Huwezi kumtenganisha malaya na hela. Atatoka na mwanaume yeyote na anaweza akatumika tundu lolote.

Huyo ndiyo Dr Slaa hana tofauti na malaya wa Mrina Bar ya Arusha
 
Kadanganye watoto.unamjua jk kweli ile ni akili nyngne katika siasa ndye aliyecheza mchezo wa luwasa kuwa chadema.mbowe kapewa chake dili
Watawala wanaonekanaa wana akili kwa sababu katiba inawabeba , siku ikipatikana katiba ndo mtajua kuna watu wana akili kuliko hao mnaowanadi.
 
Always TL apewe heshima yake, ushirika na wachawi huwa haudumu. Dr slaa alikuwa na option moja tu, ya kuendelea kuwaunga mkono milele ama msukosuko wowote unaomtokea hauepukiki.

Viva Tundu A. Lissu.
Kunya anye Kuku akinya Bata kaharisha.Nyie mbona mlishirikiana na Lowasa ambaye mulimtangaza kwenye list of shame.
Na Leo Mbowe yupo kwenye Maridhiano na CCM ambayo Mwenyekiti wake alimuweka ndani kwa kesi ya kubumba.
 
Samia ameamua kuwakumbatia wasaliti wanaopigia chapuo ule mkataba wa hovyo wa bandari, na kuwatosa wazalendo wanaoulaani ule mkataba wa hovyo wa bandari kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Hiyo "hadhi ya ubalozi" Dr. Slaa asingeenda nayo kaburini, wala asingeingia nayo peponi kama angefika huko, wala hakuwahi kuwa na mabawa baada ya kupewa hiyo hadhi, kusema ndio akaanza kuruka angani...

Ni hadhi ya kujidanganya tu hapa ulimwenguni, kama ulivyo Urais wenyewe anaoutumia kuwapa wajinga wenzake vyeo, na kuwavua werevu vyeo, watanganyika tunamshangaa tu kiongozi aliyepoteza muelekeo na asiyeona aibu kuzidi kupotea.

Hiki alichokifanya Samia, ndio kinazidi kuthibitisha alivyo na roho mbaya kwa watanganyika, mwanamke dikteta, asiyetaka kuwasikiliza wale anaowaongoza, anayejifanyia mambo yake kwa manufaa ya wajomba zake wakiarabu.
MUHUBIRI 4:13
Afadhali Kijana masikini mwenye hekima kuliko Mfalme Mzee mpumbavu ambaye hasikilizi shauri jema
 
The fact kuwa slaa aliamua kuuza utu wake kwa hao ma ccm mwaka 2015 na akapata tangible rewards pamoja na huo ubalozi, wala simhurumii kwa haya ya kudhalilisha yanayomtokea .
Tungekuwa mbali sana kama Dr slaa asingesaliti upinzani mwaka 2015.
Mbowe pia aliwasaliti Watanzania kwa kumpa nafasi ya ugombea Urais Lowasa ambaye mulimtangaza kwenye list of shame kuwa ni fisadi!
 
Mpinzani atasamehewa sio mtu aliyekula kiapo cha kumshauri kwa wema na uaminifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , umzodoe, umdhalilishe, umtukane Rais halafu uangaliwe tu!
 
Mkuu niseme hukufutatilia !! lowasa lilikuwa ni stepping stone .kwa siasa za chadema kwa sababu lowasa alikuwa na watu. Mind you hata magu kupata nafasi ya kugombea urais ilikuwa ni sababu lowasa alionekana ni tishio hata huko ccm hasa team msoga.
Kilichokuja kumbadilisha Dr slaa ni kuwa mama josephine aliona kwa ile move anaukosa u first lady akamzingua Dr ,na Dr naye akaja kuizingua Chadema .
Acha utoto Josephine ndiyo nani kwenye siasa.Lowasa alikuwa na watu kutoka wapi?kubalini mulichemsha,sasa ata Lowasa angeshinda unadhani system ingempa nchi?
 
The fact kuwa slaa aliamua kuuza utu wake kwa hao ma ccm mwaka 2015 na akapata tangible rewards pamoja na huo ubalozi, wala simhurumii kwa haya ya kudhalilisha yanayomtokea .
Tungekuwa mbali sana kama Dr slaa asingesaliti upinzani mwaka 2015.
Yani kwamba angempigia kampeni Lowassa aliyekuwa mgombea urais wa chama cha upinzani?
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
Kwamba alitakiwa ampigie kampeni Lowassa ili awe rais wa Tanzania kupitia chadema?
 
Mbowe pia aliwasaliti Watanzania kwa kumpa nafasi ya ugombea Urais Lowasa ambaye mulimtangaza kwenye list of shame kuwa ni fisadi!
Win some and loose some game ! Unaopamua kuuwa nyoka , hutakiwi kuchagua ni jiwe la ukubwa gani au fimbo ya mti gani utumie .
Yes lowassa alikuwa fisadi na alishawekwa kwenye list of shame na chadema , lakini kama fisadi huyo angetumika kuing'oa ccm madarakani ulikuwa ni uamuzi wa busara sana.
 
Yani kwamba angempigia kampeni Lowassa aliyekuwa mgombea urais wa chama cha upinzani?
For the record slaa ndio alishauri lowassa apokelewe Chadema na kwenye mapokezi ya lowasa chadema slaa alikuwepo.
Upepo ulibadilika baada ya mama josephine kuhisi ataukosa u first lady , nadhani ni yale maongezi ya pillow talk usiku kwa wanandoa ndo slaa akabadili msimamo wake juu kwa juu na kupindua meza.
 
Ni kisasi cha Mafupa kinaendelea...

Kisasi cha wakoloni dhidi ya wapigania uhuru na wapenda haki duniani kote.

Serikali nyingi za nchi changa, hasa Afrika zimetumbukia kwenye mtego wa kuwa mawakala wa watawala wao wa kikoloni.

Hilo la ubalozi wa Dr Slaa ni punje tu ya mtama kwenye kapu kubwa.

Suala zima la bandari, pamoja na maslahi ya muda mrefu ya hao jamaa, ni sehemu ya kisasi chao dhidi ya waliopigania uhuru na kuwaondoa kwenye himaya ya Zenj.

Kisasi ni chakula kinacholika vizuri zaidi kikiwa kimepoa.

Watanzania amkeni.
 
Acha utoto Josephine ndiyo nani kwenye siasa.Lowasa alikuwa na watu kutoka wapi?kubalini mulichemsha,sasa ata Lowasa angeshinda unadhani system ingempa nchi?
Nisije nikawa na bishana na mtoto ! Wakati kiwete anachukua nchi 2005 lowasa alikuwa popular kama kikwete..
Hadi magufuli anaupata ugombea urais ilikuwa ni hofu ya kikwete kuwa nchi asije kuchukua lowasa akiogopa visasi.
Josephine wa slaa ni kama eva wa adam Au delila wa samson , wote walitumika kuwarubuni na kuwakalisha wananume mashababi .
 
Back
Top Bottom