Kutenguliwa ubalozi Dr W Slaa: Mnaliona tatizo ninaloliona?

Kutenguliwa ubalozi Dr W Slaa: Mnaliona tatizo ninaloliona?

Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi.
Tunaikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako.
Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kavaa jezi yenye nembo ya Balozi.
Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lakini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwa upande mmoja serikali ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chato.

Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwandosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, anaitwa Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwa uenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu viwili, MUST- Mbeya na Mwalimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali.
Kuna sku aliyetukana kijinga atakuhitaji tu, na lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
Wanasiasa kwa visasi acha tu
 
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi.
Tunaikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako.
Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kavaa jezi yenye nembo ya Balozi.
Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lakini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwa upande mmoja serikali ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chato.

Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwandosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, anaitwa Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwa uenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu viwili, MUST- Mbeya na Mwalimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali.
Kuna sku aliyetukana kijinga atakuhitaji tu, na lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
Wala sishangai, sikuwahi kuutambua huo ubalozi, alipewa ubalozi "KIHUNI" kavuliwa ubalozi "KIHUNI"
 
Suala la bandari ni kubwa zaidi kuliko petty squables za uongozi katika chama cha siasa na siasa za ushindani wa vyama.

Sio jambo dogo kuwa wafuasi kindakindaki wa hayati JPM wanaongea lugha moja na wapinzani wake au kuwa Tundu Lissu, aliyemshutumu marehemu kuhusika na jaribio la kumwua, sasa anakiri uzalendo wake katika ulinzi wa maliasili za nchi.

Sina uhakika wa msimamo wako katika hili suala mkuu lakini nikudokezee tu kuwa “wanaodumu duniani siyo lazima wawe wale walio na nguvu kubwa au akili nyingi,bali ni wale walio tayari kubadilika na mazingira na nyakati”.

Tatizo kubwa linalotukumba watanzania ni kuwa tunakataa kubadilika kwa kukumbatia ubinafsi/umimi ambao hauna nafasi kwenye ulimwengu wa leo.

Umenena lililojema.

Ubinafsi unaendelea kutukwamisha watanzania na wana wa Afrika.



Ubinafsi ulisababisha ukoloni ukafanikiwa kwa asilimia 2000 kiasi kwamba mpaka sasa bado tunaendelea kuteseka nao japo umebadiri sura ila mbinu ni zile zile na matokeo ni yale yale.





Unity should be our priority and all else shall fall into place.
 
The crux of the matter!
Je ni kisasi au kuna kitu kingine?

Lakini…..Doctor Slaa yupo nje kwa dhamana sindio?

Kama ni ndio, bado ni mtuhumiwa wa Uhaini na kama ni mtuhumiwa wa Uhaini turudi nyuma tuangalie sheria za public service zinasemaje? Na sheria zinazoiongoza mamlaka ya Urais zinasemaje?


Ama ile kesi iliyomuweka ndani majuzi imefutwa na Jamuhuri?
 
Slaa aliwasaliti viongozi wa chadema kipindi cha awamu ya 5 na hivyo kupelekea viongozi wa chadema kuwa kwenye kipindi kigumu haijawahi kutokea kwenye maisha yao ya siasa.

Slaa aligeuka na kuwa nyoka mwenye sumu kali dhidi ya viongozi wa chadema. Huyu mzee hafai kusamehewa milele.

“Huyu mzee hafai kusamehewa milele”

Kwa sababu wewe ni Mungu ama mshauri wa karibu wa Mungu?


Siasa tu hizi, husivuke mipaka.
 
Toka tupate uhuru ni huu ndio mna Rais mwenye akili nyepesi kumzidi hata kipepeo, mwanamke ni kiumbe sifuri na huyo Rais wenu anadhihiri na ataishia 2025, yeye ni wa mpito tu

“Mwanamke ni kiumbe sifuri…..”

Mama yako aliekuzaa yumo kwenye kundi hilo?



“Rais mwenye akili nyepesi kumzidi hata kipepeo…”

Ndio Rais wako wewe, nchi na watu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka pale utakapotaarifiwa tofauti.
 
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi.
Tunaikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako.
Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kavaa jezi yenye nembo ya Balozi.
Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lakini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwa upande mmoja serikali ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chato.

Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwandosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, anaitwa Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwa uenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu viwili, MUST- Mbeya na Mwalimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali.
Kuna sku aliyetukana kijinga atakuhitaji tu, na lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
Dr Slaa wakati vinaanzishwa vyama vingi alikuwa Ccm.

Dr Slaa amepokelewa Chadema akitokea Ccm na sasa anarudi Ccm.

Unafki ndio unaomsumbuwa huyu Mzee, nadhani Josephine ndiye anayemjuwa vizuri.
 
Slaa alikuwa hana Option wewe Imagine, Mbowe, Lema na kina Mnyika walishika madodoki na kuanza kumsafisha Lowasa ambae wamekuwa wakihubiri for years kuwa ni Fisadi papa leo chama kina Mfanya kuwa Flag bearer kweli?
Uzuri uwezo wa mtu huwa haujifichi na wote tunafahamu Kuwa DR Slaa uwezo wake ni Mkubwa sisi wazalendo tume reserve uzalendo wake alio onesha wakati huu na Inshu ya Ubalozi , Urais wa Samia ukikoma hata Kesho ataerudishiwa tu wala sio Inshu
Tunachoheshimu ni mfumo wa chama pamoja na Katiba yake na siyo mtu.
 
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi.
Tunaikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako.
Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kavaa jezi yenye nembo ya Balozi.
Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lakini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwa upande mmoja serikali ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chato.

Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwandosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, anaitwa Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwa uenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu viwili, MUST- Mbeya na Mwalimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali.
Kuna sku aliyetukana kijinga atakuhitaji tu, na lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
1693655267306.png
 
Slaa aliwasaliti viongozi wa chadema kipindi cha awamu ya 5 na hivyo kupelekea viongozi wa chadema kuwa kwenye kipindi kigumu haijawahi kutokea kwenye maisha yao ya siasa.

Slaa aligeuka na kuwa nyoka mwenye sumu kali dhidi ya viongozi wa chadema. Huyu mzee hafai kusamehewa milele.
Aliwageuka kwa sababu ya issue ya Lowassa?
 
VIENNA CONVENTION 1961 inaanza kumlinda mtu huyo, yaani anapata upendeleo & kinga (privileges & immunity) za KIDIPLOMASIA.

Lakini, KINGA hii inaweza kuondolewa kwa muda, na wakati wowote na nchi yake (sending state) – inaitwa "WAVER"; Article 32 ya VIENNA CONVENTION, 1961. Isipokuwa, "WAVER" hutokea tu pale ambapo "receiving state" inapeleka maombi kwa "sending state" kwamba Balozi aondolewe KINGA ili atoe ushahidi mahakamani, akamatwe au ashtakiwe kwa kosa la jinai (under the local criminal jurisdiction). Nchi ya kituo cha kazi cha Balozi haiwezi kumnyang'anya Balozi kinga au haki hizo za KIDIPLOMASIA kama Balozi huyo si raia wake.

Hata hivyo, Balozi akimaliza muda wake wa utumishi nje ya nchi yake, au kama amerudishwa nyumbani (recall), pale tu anapoondoka kwenye nchi ya kituo chake cha kazi, anapoteza KINGA hiyo; Article 39(2) ya VC. Lakini, bado mtu huyo ataendelea kutambulika na hadhi ya Kibalozi anaporudi nyumbani. Ataitwa "Balozi mstaafu", kama anavyoitwa Rais au Waziri au Jaji mstaafu.

Under common law jurisdiction & Diplomatic law, Rais Samia ana MAMLAKA ya kumwondolea mtu "immunity" ili ashtakiwe kwa kosa la jinai, lakini Rais hana mamlaka ya kufuta "HADHI YA UBALOZI" wake kwa sababu hadhi hiyo inatokana na sheria za Kimataifa na Rais Samia hajapewa UWEZO wa kuingilia sheria hizo, isipokuwa tu kama sheria hizo zingetamka wazi! Kwa VIENNA CONVENTION ya 1961, au sheria zingine hazijatoa mamlaka hayo kwa Rais wa nchi yoyote.

Hakuna, kwenye sheria zetu za ndani au za Kimataifa umewekwa utaratibu wa kunyang'anya hadhi ya Ubalozi ya mtu, isipokuwa tu kumwondolea kinga ili ashtakiwe kwenye mahakama za nchi ya kituo chake cha utumishi. Hili suala hapa nyumbani, linafanyika KISIASA tu.

Hivyo, kwa msimamo huu wa kisheria, Dr. Willibrod Peter Slaa
 
Back
Top Bottom