Kutenguliwa ubalozi Dr W Slaa: Mnaliona tatizo ninaloliona?

Kizimkazi hiki ndio anaweza kufanyia kila mala kuteua na kutengua.Mambo ya msingi Hana muda nayo ambayo yanawaumiza watanganyika.kama hii ya kukosekana Petroleum and Diesel [emoji618] wanaficha mafuta. Na YY kapiga kimya hii ni kasumba kila ikikalibia juma5 ya mwanzo w mwezi.
 
Hoja dhaifu yanii huyo Josephine ategemee kirahisi tu hivyo kuwa Slaa atakuwa rais na yeye awe first lady?

Yote kwa yote uamuzi wa kumleta Lowassa ulikuwa wa hovyo na hilo limeshaonekana, sasa kama usaliti Slaa ni huo tu wa kushauri kumpokea Lowassa hapo chadema.
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...

Suala la bandari ni kubwa zaidi kuliko petty squables za uongozi katika chama cha siasa na siasa za ushindani wa vyama.

Sio jambo dogo kuwa wafuasi kindakindaki wa hayati JPM wanaongea lugha moja na wapinzani wake au kuwa Tundu Lissu, aliyemshutumu marehemu kuhusika na jaribio la kumwua, sasa anakiri uzalendo wake katika ulinzi wa maliasili za nchi.

Sina uhakika wa msimamo wako katika hili suala mkuu lakini nikudokezee tu kuwa “wanaodumu duniani siyo lazima wawe wale walio na nguvu kubwa au akili nyingi,bali ni wale walio tayari kubadilika na mazingira na nyakati”.

Tatizo kubwa linalotukumba watanzania ni kuwa tunakataa kubadilika kwa kukumbatia ubinafsi/umimi ambao hauna nafasi kwenye ulimwengu wa leo.
 
Kwamba alitakiwa ampigie kampeni Lowassa ili awe rais wa Tanzania kupitia chadema?
Slaa aliwasaliti viongozi wa chadema kipindi cha awamu ya 5 na hivyo kupelekea viongozi wa chadema kuwa kwenye kipindi kigumu haijawahi kutokea kwenye maisha yao ya siasa.

Slaa aligeuka na kuwa nyoka mwenye sumu kali dhidi ya viongozi wa chadema. Huyu mzee hafai kusamehewa milele.
 
Always TL apewe heshima yake, ushirika na wachawi huwa haudumu. Dr slaa alikuwa na option moja tu, ya kuendelea kuwaunga mkono milele ama msukosuko wowote unaomtokea hauepukiki.

Viva Tundu A. Lissu.
Mbona hata kina mbowe waliingia ushirika na ccm na jana wamesema ushirika umevunjika.
 
Mama nchi imemshinda
 
The fact kuwa slaa aliamua kuuza utu wake kwa hao ma ccm mwaka 2015 na akapata tangible rewards pamoja na huo ubalozi, wala simhurumii kwa haya ya kudhalilisha yanayomtokea .
Tungekuwa mbali sana kama Dr slaa asingesaliti upinzani mwaka 2015.
🤣🤣🤣😂tuna safariiii ndeeefu sana
 
Toka tupate uhuru ni huu ndio mna Rais mwenye akili nyepesi kumzidi hata kipepeo, mwanamke ni kiumbe sifuri na huyo Rais wenu anadhihiri na ataishia 2025, yeye ni wa mpito tu
 
Kama ubalozi ni hadhi tu, kuepusha lawama kwenye mgogoro wa bandari Slaa angeachwa tu maana hiyo hadhi sio meno ya kung'atia!
 
The fact kuwa slaa aliamua kuuza utu wake kwa hao ma ccm mwaka 2015 na akapata tangible rewards pamoja na huo ubalozi, wala simhurumii kwa haya ya kudhalilisha yanayomtokea .
Tungekuwa mbali sana kama Dr slaa asingesaliti upinzani mwaka 2015.

Kosa lilianzia kwa Mzee Mbowe.

Ile action yake ya kubadiri gear angani ndio ili zua yote haya maana bila hivyo Doctor Slaa hasingesusa na upande wa pili wasingepata opportunity ya kumnunua kwa cheo.

Na ndio maana Serikali inaweza kuwafanya chochote wakati wowote, hawana msimamo.
 

Hapa utachekesha wenye mapengo!

Kwamba Josephine ndio alibadiri mwelekeo wa mbio za Urais Kisa kuukosa u-first lady?

Kwamba huyo Josephine alikua na nguvu kubwa kiasi hicho juu ya Doctor Slaa? Josephine huyu huyu ama kuna mwingine?!

2015 Doctor Slaa alinuna watu wakanunua na Mzee Mbowe alichezea shilingi chooni kwa kujiamini, ikatumbikia!
 
Mimi naona kama Mhe Tukijaaliwa nae itakuwa hakubaliani na issue ya bandari ndo mana kachaguliwa msaidizi. Hamjafikiria hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…