Kuteswa kwa Kibanda: Ridhiwani na Nape matatani!

alizungumza kama.1.mtoto wa rais.2.mwana ccm.3.mwananchi wa kawaida.tujadili haya pia


wana jamii tuwe makini,mtu anaweza kuingia kwenye FB kwa ID yoyote,sasa ni kweli tunayemjadili ni mtoto wa mkuu wa kaya?napata shaka sana jinsi tunvyofanya wengine ata wanfikia kumdhiaki mtu mwenye jina la Rizone bila ya kuwa nauhakika.naomba wanajamii nipeni ushahidi kama ridhiwan kikwete wa FB ndiye mtoto wa mkuu na wala sio mtu kajisajili na id iyo ili tu kumchafua muusika
 

SAA ZA UTAWALA WA Ccc meu UNAESABIKA BILA WASIWASI.NAAMINI 2015 UTAKUWA MWISHO,KAMA MUNGU AISHIE MILELE ASIVYO BADILIKA BASI Ndivyo awezi kuwaacha wanyonge wakiangamia.Nape na Ridh1 SI WAKWELI.TUNAAMINI SAA YA UKOMBOZI Inakalibia.
 

Ww cjui vp,do u think wa2 wamekurupuka 2?
Halafu ww u dont knw rizmoko eeh!?
 
Shame on all those involved in the torture of Mr. Kibanda., WATU WAKISHA CHOKA, KIONGOZI MWENYE BUSARA HUSIKILIZA NA HUTAMBUA KWAMBA KUACHIA KWA HIARI NIKUTUNZA HESHIMA SIO YAKE TU BALI HATA YA WALE WALIO AMINI JUU YAKE. LAKINI KATIKA YOTE HATUCHOKI KUSEMA ILIYO KWELI, - HATUTA COMPROMISE INTERGRITY YETU KWA HOFU WALA WOGA WA MTU YOYOTE YULE!! SI HATA USALAMA WA TAIFA.

Justice MUST prevail against all it adversaries.
 
.......hii miamala(accounts) ya mitandao ya kijamii nayo ni vema ikawa inasajiliwa (kuhalalishwa).......vinginevyo tutaumiza vichwa vyetu kwa habari zisizothibitishwa......ni wazo tu......
 
Hivi haka kajamaa mnakazungumzia hapa ndio kale kadogo kabrazameni kalikuwa kanatufanyia fujo upanga,masaki hadi disco bills huku kanatembea na maputo yake yale ya block nanihii pale Moroco ambayo mengine siku hizi eti nayo madiwani?aisee uongozi huu siku hizi ni cheap hivi?nnavyokijua kile kichwa sishangai kuona kasababisha tayari!tena kamejitahidi maana kangeachia makucha yote mbona dadi angekuwa impeached saa hizi!dah!jamani,chichiemu hoi,ah nimekosea,chichiemu hoyee!
 
Nape na riz one wote walipata dv 4 unategemea wataandika nini cha maana. ila ninawasifu waliocomment wamewapa ukweli wao hapohapo!

Huyu mtoto kapagawa na hela wanazopiga serikalin,anatoa kauli ambazo hajui impact yake kwenye jamii,mimi namshauri aendelee kushinda pale MAHABA BEACH na wapambe wake pale wanapopanga mikakati ya kuendelea kuwanyomya watz,usifir unavyokuwa kwenye hilo shangingi jeusi ndani tinted hatukujui tena kuna siku utaonja joto ya jiwe,eneo la la wananchi hekari 3 mlizomilkishana na mzee majogo pale baharini tunajua,sasa hivi una nguvu kwa sababu mshua yuko kazini,lkn mambo yako yote yako uchi,usiwaongopee watz,utesaji wote wewe,baba yako na hao wanaowalamba miguu wanajua,Nape katika hili wee ni kunguru tu unasukumwa na tumbo zaidi kuliko hoja...
 
Ni bora tukatawaliwa na kichaa kutoka chama chochote kuliko professor awaye yote ndani ya ccm
 

He has Presidential Immunity as President's Offspring.

 
Wakuu,
kuna mabandiko kadhaa yaliletwa hapa baada ya Kibanda kupigwa vibaya...
na 1 ni reaction ya riziwan kukashifu kwa kuisemea ikulu...
hiv kuwa mtoto wa rais kunafanya uwe na mamlaka ya kuitamkia ikulu?
ni kwel nch inaongozwa na familia ya j.k?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…