hili la kibanda sijui mtaalam wa anga anajinasuaje maana limemkalia vibaya. anyway nashauri ajitokeze kukanusha vinginevyo hili lita-injur reputation ya cdm totally
"afande tummalize?"
Habari za mwenyekiti wa chadema channel ten ,nipashe na Tanzania daima kulaani uteswaji wa Kibanda tumezisoma au ulitaka akisema amtaje na Jakaya KikweteKwanin chama kilichoongoza kutoa matamko kwenye media kuhusiana na tukio la ulimboka wapo kimya kwenye tukio hili la kutekwa na kupigwa kwa Absalom Kibanda ????.wapi mnyika,slaa,mbowe,mbilinyi,lema,msingwa,wenje,heche???
halafu mijtu bdo inawachagua magamba[/QUOTE)
Walaaniwe na vizazi vyao.
Rais wetu ndio anayetakiwa kuwa mkali kwa familia yake na kuwaeleza wanamweka mahali pabaya kama kiongozi wa nchi.Labda kama hili hawalielewi.Unless kama Urais wake ni wa Familia yake.
Tatizo ni kwamba namuogopa kila mtu, sometimes najiogopa mpaka mimi mwenyewe! So kuku-PM is something next to impossible.Ni PM mkuu tujuzane zaidi kwa kweli tunakopelekwa sio pazuri.