Kuteswa kwa Kibanda: Ridhiwani na Nape matatani!

Kuteswa kwa Kibanda: Ridhiwani na Nape matatani!

hili la kibanda sijui mtaalam wa anga anajinasuaje maana limemkalia vibaya. anyway nashauri ajitokeze kukanusha vinginevyo hili lita-injur reputation ya cdm totally

Mtandao wa Membe ndani ya CCM unahusika moja kwa moja na tukio la kupigwa kwa Kibanda ila wanajaribu kupotezea.
 
Haya ndio maendeleo ya DOMOKRASIA miaka 51 baada ya uhuru!
 
Itambue nafasi yako kwenye jamii na ukumbuke cheo ni dhamana tu kama ni lazima uwaheshimu wa,tz walompatia dhamana ya uongozi baba yako,riz,one kumbuka unamweka matatizoni sana mzee rais kwani cheo si chako na hautakuja kupata urais kwenye nnchi hii wewe watanzania wamekujua vema kuwa wewe ni kondoo uliyejivisha ngozi ya simba khaaa mtoto una roho mbaya sana wewe tofauti na mwonekano wako yani tumepatikana na mtoto wa rais wewe hivi haujisikii vibaya katika jamii hii ya wa,tz, wastarabu waungwana wewe unatoa kauli ya ovyo kiasi hichi rizi,one, muogope mungu we shauri yako mie nakushauri usilewe madaraka hayo yanapita dogo.
 
Some people are not intelligent enough to use the internet without ending with self inflicted wounds.
 
Status ya facebook ndio imepelekea kuandika habari yote hii? Mwe tuna safari ndefu.
 
Ridhiwan hana tofauti na watoto Saddam Hussein,walilewa madaraka mpaka wakajigawia mbuga za wanyama!
 
unajua alie shiba hamjui mwenye njaa,sasa mnazan rizi atawatetea ninyi maskin wakat eye amenufaika na mfumo huu wa baba ake?
 
Kwanin chama kilichoongoza kutoa matamko kwenye media kuhusiana na tukio la ulimboka wapo kimya kwenye tukio hili la kutekwa na kupigwa kwa Absalom Kibanda ????.wapi mnyika,slaa,mbowe,mbilinyi,lema,msingwa,wenje,heche???
Habari za mwenyekiti wa chadema channel ten ,nipashe na Tanzania daima kulaani uteswaji wa Kibanda tumezisoma au ulitaka akisema amtaje na Jakaya Kikwete
 
Nape Nnauye na Ridhiwani Kikwete wanachochea kuni mbichi ili moto ukolee!
 
Inasikitisha sana. Suluhisho pekee la matatizo haya ya kutekwa na kuteswa watetezi hawa wa watanzania ni KUING'OA CCM MADARAKANI 2015. Nawaombeni watanzania wenzangu wenye mapenzi mema tusifanye makosa 2015. Tukiiondoa CCM madarakani ndipo RAMA na wahusika wenzake wataweza kuhojiwa na kuchukuliwa hatua zinazostahili ikiwemo kung'olewa meno na kucha kama wao walivyofanya kwa Dr. Ulimboka, Kibanda, Kubenea na wengine wengi
 
Kauli inabaki ileile kama mnakumbuka ''LIWALO NA LIWE'' ndivyo ilivyokuwa kwa madakitari na sasa kwa waandishi wa habari.
 
Mwenyezi Mungu pekee muweza kwani ndie atakae tujalia uhai na kumbukumbu sahihi za haya matukio na kamwe tusiugue ugonjwa wa kusau haya ifikapo 2015 kama tutajaliwa kuwa hai AMEEN
 
Rais wetu ndio anayetakiwa kuwa mkali kwa familia yake na kuwaeleza wanamweka mahali pabaya kama kiongozi wa nchi.Labda kama hili hawalielewi.Unless kama Urais wake ni wa Familia yake.

Mkuu hii familia ina laana kwani wote ni vilaza hakuna wa kumshauri mwenzake.
 
Ni PM mkuu tujuzane zaidi kwa kweli tunakopelekwa sio pazuri.
Tatizo ni kwamba namuogopa kila mtu, sometimes najiogopa mpaka mimi mwenyewe! So kuku-PM is something next to impossible.
 
Back
Top Bottom