Shule ikikushinda unasoma mzumbe na Stanford university?🤣🤣🤣🤣Mtu alishasema ndoto yake ilikuwa awe mhudumu wa kwenye ndege .
Shule ikamshinda kidato cha nne akapiga bashite akaamua aolewe mke wa 4 akiwa na miaka 18
Do you expect anything tangible from her?
kwenye kazi za umma hatuendi kucheza wala kusherhekea, tunakwenda kufanya kazi za kutumikia wanaichi kwa bidii, weledi na umakini mkubwa sana 🐒Acha roho mbaya na uchawi wewe! Utampangiaje mtu namna ya kuishi?
No wonder hii nchi kila siku tunakwenda mwendo wa kinyonga kimaendeleo.
Zingatia mambo ya msingi achana na maisha binafsi ya watu ambayo hayakuathiri chochote wala kukupunguzia chochote
Hatari sana mkuu. Heshima ya ikulu imebagazwa sanaKuna mtu mmoja alikua kana ya ziwa huko anaitwa nyani ngabu na mwingine kanda ya kasikazini
Uyu wa kanda ya ziwa alikwenda wazir mkuu ziarani uko jamaa alivofanya maandaliz na ukalimu pm akamkubali sana na kumwambia anafaa kusaidia kazi nyingine akachukua jina lake akasepa.....
Within days si mkeka ukatoka nyaningabu ndan si yule wa kasikazin akawahi kwenda kula kiapo mzee lkn mlengwa Ali kua uyu wa kwetu 😅😅
Mpaka hapo nikajua protocol ya ikulu Hamna kitu aisee
Kuna Mzee moja enzi za Mkapa alitumiwa ujumbe WA fax enzi hizo kuwa ameteuliwa kwenye Bodi, Yule Mzee alikataa, Mosi hakutaarifiwa, pili aliona ni wakati wa watu wengine kulitumikia Taifa.Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.
Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].
Kateua mtu ambaye keshakufa!
Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.
Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.
Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!
Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.
Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya
Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!
Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo
Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!
Wanateuliwa mpaka waliokufa.
Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.
Bumboclats….
Pia soma:
Nakubaliana na wewe kwenye vigezo vya umri. Dhana ya kustaafu utumishi wa umma kwa lazima wakati bado una akili timamu na a lot of experience ya kufanya kazi sijawahi kuielewa hata kidogo! Wajerumani ukiwa na zaidi ya miaka 60 na bado unataka kupiga kazi kwa hiari wewe ni zaidi ya lulu.Kusema ukweli kuna shida kubwa sana kwenye Ofisi kubwa (Ikulu)
Kuna mambo yanatokea yanakufanya uwaze na kufikiria mengi sana
Vyovyote vile! Turudi kwenye meritocracy! Watu wapate nafasi kwa uwezo wao na uzoefu mkubwa kwenye eneo husika na sio vinginevyo.
Vinginevyo yajayo yatatisha sana!
Ndo mana kwa wenzetu ulaya huyo ukikuta CS ni 55+ au 60+, Same to Majenerali, Majaji na Makatibu Wakuu!
Uzoefu wa muda mrefu na uwezo mkubwa wa kiutendaji kila siku ndo vinatakiwa kuwa vigezo vya mtu kushika nafasi fulani.
Halafu wanakuja kubinafsisha rasilimali za nchi kwa bei ya kutupa kwa justification kuwa hatuwezi kuendesha makampuni ya serikali kumbe failure kubwa ni ofisi kuu ya nchi.Ni kama vile hiyo taasisi haina hata mtu mmoja mwenye common sense!
Sijawahi kabisa kuielewa hii dhana ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha!
Tume compromise kwenye mentorship na carrier growth. Watu hawana patience ya ku grow both in age and wisdom huku aki develop smoothly up the ladder...Wanataka kwenda aharaka haraka huku wakiwa hawajapata experience wala exposure yakutosha.Yeye anachagua ila wasaidizi wana jukumu la kuhakiki na kujiridhisha ili kuepuka fedheha kwa Kiongozi wao.
Moja ya njia za kuhakiki ni hiyo japo kuwapigia simu at least saa moja kabla wahusika wote ili wa confirm kabla ya Tangazo halijarushwa rasmi hewani.
Kuna shida ya umakini kwenye Ofisi Kuu. Kuna watu wengi sana wasio na exposure, experience ya kutosha na competency.
Ndo mana kiongozi mkuu wa nchi anadhalilika hivi
No kustaafu ni muhimu, lakini zile protocol za carrier growth zisirukwe...Watu wa grow slowly Ili anapofika nafasi ya juu awe amebakiza say 5 years za kustaafu. Hiyo itasaidia pia kuleta new thinking na consistency katika utenedaji kwakua watakuwa wamekuja pamoja slowly katika mfumo. Inaondoa fatigue na pia mtu kukaa madarakani sana...Nakubaliana na wewe kwenye vigezo vya umri. Dhana ya kustaafu utumishi wa umma kwa lazima wakati bado una akili timamu na a lot of experience ya kufanya kazi sijawahi kuielewa hata kidogo! Wajerumani ukiwa na zaidi ya miaka 60 na bado unataka kupiga kazi kwa hiari wewe ni zaidi ya lulu.
Hiyo inaitwa kumfanyia mtu "Surprise".Ni kama vile hiyo taasisi haina hata mtu mmoja mwenye common sense!
Sijawahi kabisa kuielewa hii dhana ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha!
Kwani lile zoezi la kumfanyia mtu vetting kabla ya uteuzi halipo tena siku hizi?Tume compromise kwenye mentorship na carrier growth. Watu hawana patience ya ku grow both in age and wisdom huku aki develop smoothly up the ladder...Wanataka kwenda aharaka haraka huku wakiwa hawajapata experience wala exposure yakutosha.
Pia tabia za wale senior kupenda kuonekana wao ndiyo best hupenda kuweka watu ambao siyo experienced wala capable Ili wao ndiyo waonekane kuwa excellent, the problem is hao wasaidizi ndiyo ambao watakufanya ionekane huna backbone
Rushwa imekuwa adui mkubwa, vetting ni deal...mpaka upate mtu mwaminifu. Pia hata wale wenye maamuzi hutengeneza hao wa ku vet in favour ya mtu kama wanamhitaji na against kama ni tishio kwaoKwani lile zoezi la kumfanyia mtu vetting kabla ya uteuzi halipo tena siku hizi?
Dah! What a bogus country we are in. Zamani mtu akiteuliwa anakuwa ameshapitia huo mchakato wa vetting bila ya yy kufahamu kinachoendelea.Rushwa imekuwa adui mkubwa, vetting ni deal...mpaka upate mtu mwaminifu. Pia hata wale wenye maamuzi hutengeneza hao wa ku vet in favour ya mtu kama wanamhitaji na against kama ni tishio kwao
Siku hizi kwa kiasi kikubwa ukiwa muimba pambio bila kuchoka unapewa teuzi kama hongera, ndio maana hata humu paskali mayala hachoki na pambio zakeKwani lile zoezi la kumfanyia mtu vetting kabla ya uteuzi halipo tena siku hizi?
(kwa sauti ya mshangao kimaasai). Oiye yai! Kwa hiyo usipoyajua na usipoweza kuimba vizuri hayo mapambio ujue huna chako?Siku hizi kwa kiasi kikubwa ukiwa muimba pambio bila kuchoka unapewa teuzi kama hongera, ndio maana hata humu paskali mayala hachoki na pambio zake
Labda Rais hajakosea. Inawezekana Rais ameona akiteua wafu watampa kile anachotaka.Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.
Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].
Kateua mtu ambaye keshakufa!
Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.
Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.
Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!
Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.
Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya
Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!
Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo
Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!
Wanateuliwa mpaka waliokufa.
Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.
Bumboclats….
Pia soma:
Duh! Ama kweli wahenga walisema "Mkubwa ni jalala"Labda Rais hajakosea. Inawezekana Rais ameona akiteua wafu watampa kile anachotaka.
Huoni katika utawala huu machawa wamekua wengi kupita kiasi na katika utawala huu ndio mapambio yana imbwa kwa wingi sana(kwa sauti ya mshangao kimaasai). Oiye yai! Kwa hiyo usipoyajua na usipoweza kuimba vizuri hayo mapambio ujue huna chako?
Aisee, tutafika lakini tukiwa tumechaka saana.