Kuteua watu kabla ya kuwajulisha: Wapi kwingine duniani wanafanya hivyo?

Kuteua watu kabla ya kuwajulisha: Wapi kwingine duniani wanafanya hivyo?

Rais wa tz ni sahihi kuteua marehemu Kwa sababu hiyo nafasi haimfai na hajaipata Kwa kuitafuta yeye binafsi.Alilithishwa urithi.alipata mbeleko ya kurithi na kuanza kutumbua keki ya taifa pasipo utaratibu unaotakiwa.Mtu yeyote anayerithi huwa hana uchungu na kitu alichorithishwa nacho.huwa anakichezea tu hovyo hovyo kama anavyo chezesha huyu mama Yao.
Hii kauli sikubaliani nayo kabisa. Kwani Katiba ya Nchi Haikuzingatiwa? Hebu tuambie bro, mathalan ingelitokea kuwa umepewa walau nafasi moja tu ya Upendeleo ukatakiwa kupendekeza Nafasi ya Rais wa Tz apewe nani; ungemchagua nani?
 
Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.

Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].

Kateua mtu ambaye keshakufa!

Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.

Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.

Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!

Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.

Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!

Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.

Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya

Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!

Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo

Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!

Wanateuliwa mpaka waliokufa.

Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.

Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.

Bumboclats….

Pia soma:
Kifupi nchi inaongozwa kihuni na wahuni
 
Hii kauli sikubaliani nayo kabisa. Kwani Katiba ya Nchi Haikuzingatiwa? Hebu tuambie bro, mathalan ingelitokea kuwa umepewa walau nafasi moja tu ya Upendeleo ukatakiwa kupendekeza Nafasi ya Rais wa Tz apewe nani; ungemchagua nani?
Katiba ni batili.walioitunga hiyo Sheria ya kurithisha ni wa chama kimoja Cha ccm.katiba inatakiwa iseme endapo kutatokea changamoto kama iliyotupata 2021 makamu arithi miezi sita au ikizidi kabisa iwe mwaka mmoja.baada ya hapo unafanyika uchaguzi.Nchi zote duniani hakuna katiba inayomrithisha makamu zaidi ya mwaka mmoja ispokuwa ni i Tanzania pekee
 
Katiba ni batili.walioitunga hiyo Sheria ya kurithisha ni wa chama kimoja Cha ccm.katiba inatakiwa iseme endapo kutatokea changamoto kama iliyotupata 2021 makamu arithi miezi sita au ikizidi kabisa iwe mwaka mmoja.baada ya hapo unafanyika uchaguzi.Nchi zote duniani hakuna katiba inayomrithisha makamu zaidi ya mwaka mmoja ispokuwa ni i Tanzania pekee
Safi mkuu, ila hukutoa pendekezo. Nadhani imekuwia vigumu kutokana na Ukweli kwamba hakuna asiyekuwa na mapungufu.
Ni kweli kama Katiba inamapungufu hayo, basi Katiba hiyo ibadilishwe na ipatikane Katiba Mpya itakayokidhi mahitaji ya sasa 2024+ na sio hiyo tunayoendelea nayo (iliyopo) iliyokidhi mahitaji ya wakati ule 1977.
 
Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.

Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].

Kateua mtu ambaye keshakufa!

Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.

Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.

Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!

Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.

Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!

Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.

Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya

Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!

Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo

Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!

Wanateuliwa mpaka waliokufa.

Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.

Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.

Bumboclats….

Pia soma:
Viongozi wa Africa wanafikiri kila mtu anasubiri kuteuliwa kwa hamu, kumbe kuna wengine ukiwateua umewaharibia maisha na ustaarabu wao. Ni aibu kwelikweli kuteua marehemu kwenye serikali yako!
 
Viongozi wa Africa wanafikiri kila mtu anasubiri kuteuliwa kwa hamu, kumbe kuna wengine ukiwateua umewaharibia maisha na ustaarabu wao. Ni aibu kwelikweli kuteua marehemu kwenye serikali yako!
Hilo limetokea kwa bahati mbaya au unaona ni kwa makusudi au ni la kiMkakati?
 
Yani hii mpaka aibu tumeona sisi hii ni kali haijawahi kutokea kwa kweli!
Mkuu; Hiyo Imewahi kutokea.
Nanukuu: "........Tamar Aaron Mbogho (11), alipojitokeza na kupokea Shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD), akimwakilisha mama yake Swai Sophia Faustin ambaye alifariki dunia miezi sita kabla ya kufika siku ya mahafali......"Gazeti la Habari leo Nov.2016
 
Mkuu, Uhamisho unafaida nyingi;
1. Kumwondolea mtumishi Kuchoka kukaa sehemu moja kwa muda mrefu na kule kuzoeleka na wale anaowatumikia ref.Familiarity breeds contempt. Walio chini yake hawaoni tena jipya kutoka kwake-wamemzoea.
2. Kukaa eneo moja kwa muda mrefu e.g. zaidi ya 3-5yrs, katika hali ya kawaida kibinadamu lazima utakuwa kuna watu wasiokukubali (maadui/wapinzani). Hawa maadui wanaweza kuwa wameshajijenga vya kutosha na hivi kuanza kukuharibia kazi na utu wako.
3.Ukiyazoea mazingira kwa muda mrefu kama kiongozi au hata mtumishi wa kawaida unajikuta umeridhika na hali iliyopo huoni tena Fursa za Maendeleo zilizopo i.e. Unakuwa ni Mwenyeji wa hapo hapo. "When in Rome do as the Romans do" Hili liko wazi mno e.g. maeneo yenye mambo ya Ushirikina. Naturally unajikuta na wewe unaanza kuyaogopa au kutishika nayo kumbe hamna kitu.
4. Kwa baadhi uhamisho ni mojawapo ya Motivation.
Hoja ya kutokuwa na malengo endelevu na Upimaji wa Utekelezaji.....Sio kweli.
Watumishi wengi Serikalini wanajua hilo(kwa kusomea e.g. fani ya Maendelo ya Jamii) au wameshiriki mazoezi ya Kijamii O&OD , Participatory Rural Appraisal -PRA au Wameshiriki Mafunzo ya Muda mfupi (Seminars -e.g. LFA Logical Framework Analysis, Popular Partipatory Approach-PPA n.k.)na wana uzoefu mwingi. Kinachokwamisha hapo ni Uwezeshwaji in Time na Commitment ya Uongozi. Kumbuka Kila kijiji hapa Tz (vijiji 12,317) vimefanyiwa/ vimewezeshwa kufanya mchakato wa kuibua Fursa na Vikwazo ktk maendeleo ya kijiji (O&OD) na kujiwekea Vipaumbele(Priority) vyao na. 1 hadi 3.
Point zako 1 mpaka 4 zinakubaliana na hoja yangu ya uhamisho wa wafanyakazi. Nakubaliana na wewe.
Kuhusu kutokuwa na malengo endelevu na upimaji wa mafanikio hapo nina mawazo tofauti kama nilivyoeleza mwanzo nilipochangia hoja ya awali.
 
Point zako 1 mpaka 4 zinakubaliana na hoja yangu ya uhamisho wa wafanyakazi. Nakubaliana na wewe.
Kuhusu kutokuwa na malengo endelevu na upimaji wa mafanikio hapo nina mawazo tofauti kama nilivyoeleza mwanzo nilipochangia hoja ya awali.
Nanukuu: "Kuhusu kutokuwa na malengo endelevu na upimaji wa mafanikio hapo nina mawazo tofauti kama nilivyoeleza mwanzo nilipochangia hoja ya awali." OK Sawa. Hebu tushirikishane uzoefu:-
Ninao uzoefu (12 yrs +) kwa sehemu nilizo-underline na niseme tu kwamba changamoto kubwa hapo ni Upatikanaji wa Fedha za Utekelezaji ndani ya Time frame iliyowekwa na wakati mwingine malengo hayazingatiwi na yanabaki tu kwenye flipcharts ukutani ndani ya Ofisi ya Kijiji. Mengi yamepitwa na wakati au yamechakachuliwa. Ukiuliza Uongozi wa Kijiji imekuwaje wanakujibu kwa furaha kabisa wanakwambia tulifanya Mradi fulani badala ya hiyo iliyopangwa hapo.
Mabadiliko katika uongozi wa Kijiji hilo nalo ni mojawapo ya changamoto.
Huwezi kupima mafanikio ya utekelezaji wa malengo ambayo hayakupangwa kama hujafanya utekelezaji walau hata kidogo i.e. Kilichopangwa ni Tofauti na kilichotekelezwa.
Pia kuna Hoja ya Haphazard Flexibility. Miradi au Malengo yanabadilishwa, kuhamishwa eneo la utekelezaji kiholela kwa interests binafsi za viongozi. Hapo inaweza pia kuwemo agenda ya kisiasa japo kwa kificho.
Ni kwa kutokana na hoja nilizoainisha Mfuatiliaji yeyote binafsi atasema kama ulivyosema wewe hapo kwenye nukuu.
 
Ni kama vile hiyo taasisi haina hata mtu mmoja mwenye common sense!

Sijawahi kabisa kuielewa hii dhana ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha!
Kwsnza ni ukosefu wa utu na heshima dhidi ya kiongozi mwenzako.
Watu wanakuwa na mipango ktk maeneo yao, pengine ukiwapa nafasi itasaidia kujua maono yake zaidi.

Lakin pia ni kupunguza nafasi za uteuzi ili kuwe na ufanisi
 
Back
Top Bottom