Hii kauli sikubaliani nayo kabisa. Kwani Katiba ya Nchi Haikuzingatiwa? Hebu tuambie bro, mathalan ingelitokea kuwa umepewa walau nafasi moja tu ya Upendeleo ukatakiwa kupendekeza Nafasi ya Rais wa Tz apewe nani; ungemchagua nani?Rais wa tz ni sahihi kuteua marehemu Kwa sababu hiyo nafasi haimfai na hajaipata Kwa kuitafuta yeye binafsi.Alilithishwa urithi.alipata mbeleko ya kurithi na kuanza kutumbua keki ya taifa pasipo utaratibu unaotakiwa.Mtu yeyote anayerithi huwa hana uchungu na kitu alichorithishwa nacho.huwa anakichezea tu hovyo hovyo kama anavyo chezesha huyu mama Yao.
Kifupi nchi inaongozwa kihuni na wahuniLeo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.
Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].
Kateua mtu ambaye keshakufa!
Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.
Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.
Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!
Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.
Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya
Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!
Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo
Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!
Wanateuliwa mpaka waliokufa.
Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.
Bumboclats….
Pia soma:
Katiba ni batili.walioitunga hiyo Sheria ya kurithisha ni wa chama kimoja Cha ccm.katiba inatakiwa iseme endapo kutatokea changamoto kama iliyotupata 2021 makamu arithi miezi sita au ikizidi kabisa iwe mwaka mmoja.baada ya hapo unafanyika uchaguzi.Nchi zote duniani hakuna katiba inayomrithisha makamu zaidi ya mwaka mmoja ispokuwa ni i Tanzania pekeeHii kauli sikubaliani nayo kabisa. Kwani Katiba ya Nchi Haikuzingatiwa? Hebu tuambie bro, mathalan ingelitokea kuwa umepewa walau nafasi moja tu ya Upendeleo ukatakiwa kupendekeza Nafasi ya Rais wa Tz apewe nani; ungemchagua nani?
Safi mkuu, ila hukutoa pendekezo. Nadhani imekuwia vigumu kutokana na Ukweli kwamba hakuna asiyekuwa na mapungufu.Katiba ni batili.walioitunga hiyo Sheria ya kurithisha ni wa chama kimoja Cha ccm.katiba inatakiwa iseme endapo kutatokea changamoto kama iliyotupata 2021 makamu arithi miezi sita au ikizidi kabisa iwe mwaka mmoja.baada ya hapo unafanyika uchaguzi.Nchi zote duniani hakuna katiba inayomrithisha makamu zaidi ya mwaka mmoja ispokuwa ni i Tanzania pekee
Unaweza kuleta bandiko lolote la kitaaluma alilowahi kuandika Samia akiwa IDM??Mwandosya kusoma dit hakuna mashaka ,Samia kusoma mzumbe kuna mashaka ,kwa akili hiyo hongera sana.
Viongozi wa Africa wanafikiri kila mtu anasubiri kuteuliwa kwa hamu, kumbe kuna wengine ukiwateua umewaharibia maisha na ustaarabu wao. Ni aibu kwelikweli kuteua marehemu kwenye serikali yako!Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.
Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].
Kateua mtu ambaye keshakufa!
Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.
Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.
Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!
Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.
Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya
Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!
Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo
Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!
Wanateuliwa mpaka waliokufa.
Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.
Bumboclats….
Pia soma:
Hilo limetokea kwa bahati mbaya au unaona ni kwa makusudi au ni la kiMkakati?Viongozi wa Africa wanafikiri kila mtu anasubiri kuteuliwa kwa hamu, kumbe kuna wengine ukiwateua umewaharibia maisha na ustaarabu wao. Ni aibu kwelikweli kuteua marehemu kwenye serikali yako!
Kwa Chama Cha Marehemu (CCM) hapo hakuna bahati mbaya ndio za kwao hizo.Hilo limetokea kwa bahati mbaya au unaona ni kwa makusudi au ni la kiMkakati?
Mkuu; Hiyo Imewahi kutokea.Yani hii mpaka aibu tumeona sisi hii ni kali haijawahi kutokea kwa kweli!
Point zako 1 mpaka 4 zinakubaliana na hoja yangu ya uhamisho wa wafanyakazi. Nakubaliana na wewe.Mkuu, Uhamisho unafaida nyingi;
1. Kumwondolea mtumishi Kuchoka kukaa sehemu moja kwa muda mrefu na kule kuzoeleka na wale anaowatumikia ref.Familiarity breeds contempt. Walio chini yake hawaoni tena jipya kutoka kwake-wamemzoea.
2. Kukaa eneo moja kwa muda mrefu e.g. zaidi ya 3-5yrs, katika hali ya kawaida kibinadamu lazima utakuwa kuna watu wasiokukubali (maadui/wapinzani). Hawa maadui wanaweza kuwa wameshajijenga vya kutosha na hivi kuanza kukuharibia kazi na utu wako.
3.Ukiyazoea mazingira kwa muda mrefu kama kiongozi au hata mtumishi wa kawaida unajikuta umeridhika na hali iliyopo huoni tena Fursa za Maendeleo zilizopo i.e. Unakuwa ni Mwenyeji wa hapo hapo. "When in Rome do as the Romans do" Hili liko wazi mno e.g. maeneo yenye mambo ya Ushirikina. Naturally unajikuta na wewe unaanza kuyaogopa au kutishika nayo kumbe hamna kitu.
4. Kwa baadhi uhamisho ni mojawapo ya Motivation.
Hoja ya kutokuwa na malengo endelevu na Upimaji wa Utekelezaji.....Sio kweli.
Watumishi wengi Serikalini wanajua hilo(kwa kusomea e.g. fani ya Maendelo ya Jamii) au wameshiriki mazoezi ya Kijamii O&OD , Participatory Rural Appraisal -PRA au Wameshiriki Mafunzo ya Muda mfupi (Seminars -e.g. LFA Logical Framework Analysis, Popular Partipatory Approach-PPA n.k.)na wana uzoefu mwingi. Kinachokwamisha hapo ni Uwezeshwaji in Time na Commitment ya Uongozi. Kumbuka Kila kijiji hapa Tz (vijiji 12,317) vimefanyiwa/ vimewezeshwa kufanya mchakato wa kuibua Fursa na Vikwazo ktk maendeleo ya kijiji (O&OD) na kujiwekea Vipaumbele(Priority) vyao na. 1 hadi 3.
Nanukuu: "Kuhusu kutokuwa na malengo endelevu na upimaji wa mafanikio hapo nina mawazo tofauti kama nilivyoeleza mwanzo nilipochangia hoja ya awali." OK Sawa. Hebu tushirikishane uzoefu:-Point zako 1 mpaka 4 zinakubaliana na hoja yangu ya uhamisho wa wafanyakazi. Nakubaliana na wewe.
Kuhusu kutokuwa na malengo endelevu na upimaji wa mafanikio hapo nina mawazo tofauti kama nilivyoeleza mwanzo nilipochangia hoja ya awali.
Kweli kabisaMbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Kwsnza ni ukosefu wa utu na heshima dhidi ya kiongozi mwenzako.Ni kama vile hiyo taasisi haina hata mtu mmoja mwenye common sense!
Sijawahi kabisa kuielewa hii dhana ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha!
Mkuu, ina maana kweli waTz tutadiriki au kughafilika kiasi cha hata kumchagua kichaa atuongoze? Wallah tutamkataa.Hii nchi hata kichaaa anaongoza
Duh!!Mkuu nyani ngabu, hivi ukiwa huko nchi za wenzetu zilizoendelea nasikia ukisema unatoka Tanzania watu wanaanza kucheka wanakuona kama BAMBO?
bora niseme natoka darfur