Kuteua Waziri mwanamke Wizara ya ulinzi ni sawa?

Kuteua Waziri mwanamke Wizara ya ulinzi ni sawa?

Waziri wa ulinzi anashikilia dhamana ya kisiasa ya wizara hiyo. Si kweli kwamba mtu ataishindwa wizara hiyo au kukosa heshima kwa sababu tu ya jinsi yake.

Mambo ya baadhi ya watu au makabila kuwa na mifumo dume au mifumo jike yanatakiwa kubaki historia kwa muktadha wa uongozi.
Ubaguzi ni kitu kibaya sana.

yaani leo mtoa mada hamtaki waziri wa ulinzi kwa sababu tu ni mwanamke, kesho atateuliwa waziri mwanaume lakini mzaramo, jamaa atapinga tena kwa sababu wakurya na wasukuma wa jeshini "wanawadharau sana wazaramo".

Yaani jamaa anataka waziri hadi awe mwanaume, ana misuli mikubwa na mingi, mwili jumba, alafu mweusi "tiii", na ikibidi awe na macho mekunduuuu, na aitwe Sarakikya, Waitara, Matiko et al.

Tuna safari ndefu sana kama taifa.
kavulata
 
Tumia simu yako muangalie Mwana Mama Florence Parly,ana cheo gani huko France,kisha njoo uedit thd yako kua haijawahi kutokea Duniani Mwanamke kuongoza wizara ya Ulinzi.
 
Commander in chief ni mwanamke..... halafu unauliza kama Wizara ya Ulinzi ni sawa kuongozwa na mwanamke!
 
Kama mtu akitoa hoja kupingana na hoja yako wewe unamuona kichaa uko na shida.

Sisemi kumtetea mtu, huyo mama aliyechaguliwa anafaa. Ameitumikia SADC kwa vipindi vitatu mfululizo.

Amekuwa mwenyekiti kwenye kamati za taasisi nyeti sana ikiwemo TBS, BRELA, Vyuo vikuu mbali mbali, VIPIMO, VETA na taasisi nyingine nzito.

Amefanya kazi ambazo kwa upeo wako huwezi kuzitambua kusaidia taasisi za fedha. Na anauwezo hata wa kuwa waziri wa fedha wa nchi hii.

Sisiemi mengi, wala sipigi debe cv yake na attach ina page zaidi ya kumi zisome.

Kuwa kwa vile ni mwanamke mna majudge kwa uanamke wake bila kujua accomplishment zake mna kosea sana
Binafsi sihoji uwezo wake wa kitaaluma na uzoefu wake kwenye nyanja mbalimbali. Mimi naongelea taasisi ambayo 98% ya wafanyakazi wake ni WA jinsia moja utapelekaje kiongozi wa jinsia ingine? Yaani shule ya wasichana watupu halafu mkuu wake wa shule ni mwanaume hata kama ni professor ni sawa?
 
Kama mtu akitoa hoja kupingana na hoja yako wewe unamuona kichaa uko na shida.

Sisemi kumtetea mtu, huyo mama aliyechaguliwa anafaa. Ameitumikia SADC kwa vipindi vitatu mfululizo.

Amekuwa mwenyekiti kwenye kamati za taasisi nyeti sana ikiwemo TBS, BRELA, Vyuo vikuu mbali mbali, VIPIMO, VETA na taasisi nyingine nzito.

Amefanya kazi ambazo kwa upeo wako huwezi kuzitambua kusaidia taasisi za fedha. Na anauwezo hata wa kuwa waziri wa fedha wa nchi hii.

Sisiemi mengi, wala sipigi debe cv yake na attach ina page zaidi ya kumi zisome.

Kuwa kwa vile ni mwanamke mna majudge kwa uanamke wake bila kujua accomplishment zake mna kosea sana
Binafsi sihoji uwezo wake wa kitaaluma na uzoefu wake kwenye nyanja mbalimbali. Mimi naongelea taasisi ambayo 98% ya wafanyakazi wake ni WA jinsia moja utapelekaje kiongozi wa jinsia ingine? Yaani shule ya wasichana watupu halafu mkuu wake wa shule ni mwanaume ni sawa?
Kwani tatizo lipo wapi wewe mwenye akili fupi kama ya babu yako wa kisukuma. Acha ushamba, mmesomeshwa hadi darasa la saba na form four lakini akili hazikuwi.
Jibu hoja, shule ya wasichana mwalimu mkuu akiwa mwanaume ni sawa?
 
Nyie mnaoona ubaguzi ni kitu kibaya ndio nyie nyie huwa tunaungana hapa kubagua mashoga,kama mnafikiri ubaguzi ni kitu kibaya kabisa na kila mtu ana haki basi hata mashoga tusingewabagua nao tuwachukulie kama sisi tu.
 
Idadi ya wanajeshi wanawake nchini ni ndogo sana. Wizara hii ni kama ni ya kiume zaidi katika muundo wake. Wanaume ni zaidi 90% ya askari wote. Kuwawekea Waziri mwanaume ni sawa na Wizara ya wanawake, jinsia na watoto kumteua mwanaume awe Waziri wao. Hii haifanyiki hata huko Marekani na uingereza na duniani kote walikoendelea.

Kwanini usawa huu wa jinsia usianzie kwanza kwenye kupata elimu, kilimo, uvuvi, uchimbaji, usafirishaji, uhandisi, sheria ya ndoa, na maisha ya kawaida?

Huwezi kuwezi kuweka Waziri mwanamke kwenye wizara ya uvuvi wakati 99% ya wavuvi ni wanaume.
Utakuja mleta hoja una familia
 
Wewe inaonekana umezaliwa kilabuni, tena kwenye pombe za kimpumu kama si wanzuki. Yaani mtu mzima na akili zako unaongea pumba, kweli wewe ni fala kweli.
Hizo ni dalili za mtu mwenye woga na hofu ya alichokifanya.
 
Ubaguzi ni kitu kibaya sana.

yaani leo mtoa mada hamtaki waziri wa ulinzi kwa sababu tu ni mwanamke, kesho atateuliwa waziri mwanaume lakini mzaramo, jamaa atapinga tena kwa sababu wakurya na wasukuma wa jeshini "wanawadharau sana wazaramo".

Yaani jamaa anataka waziri hadi awe mwanaume, ana misuli mikubwa na mingi, mwili jumba, alafu mweusi "tiii", na ikibidi awe na macho mekunduuuu, na aitwe Sarakikya, Waitara, Matiko et al.

Tuna safari ndefu sana kama taifa.
kavulata
Kwani wanaume walishindwa nini kwenye hiyo Wizara hadi tuwajaribu wanawake? Usawa hauwezi kuletwa na attitude ya aina hii. Kufanya hivi ni kulipiza kisasi na kulipa kikombozi kwa wanawake. Usawa uhimizwe kwenye maisha ya kawaida kama vile kufanyakazi, kuhudumia familia. Yaani 50 kwa 50 jeshini, kuendesha bodaboda, matumizi ya familia, kulipa mahari, kukwea minazi kuangua madafu, nk. Lakini huu usawa wa bungeni, MaDC, RC, Mawaziri ni usawa bandia usiokuwa na uhalisia.
 
Naona watu mnaumauma maneno kwa kifupi tu achilia mbali kuwa na Waziri wa ulinzi mwanamke kitendo tu cha kuwa Rais wa nchi mwanamke kwa Tanzania yetu bado sana.
Hata wanawake wenzake wengi hawakubaliani kabisa na hili.
Ngoja tuone 2025
 
Sio kuwa Malkia wa Uingereza anaweza kuamrisha uvamizi wa vita katika nchi nyingine tu bali ni yeye pekee ndio mwenye mamlaka hayo

Soma historia ya Dunia ni wanawake wangapi walipata hayo majukumu ya kuwa kwenye Ulinzi

Akina Bandaranaike (late) Na Indira Gandhi (late) ni baadhi ya waliwahi kuwa na hiyo title

Waziri wakuu huwa Ulinzi pia
Wala haishangazi kabisa labda kama hupendi kuona wao pia wana haki ya kushika madaraka
 
Kuna kale ka msemo kwamba wanwake nao wanwaweza...
 
Sio kuwa Malkia wa Uingereza anaweza kuamrisha uvamizi wa vita katika nchi nyingine tu bali ni yeye pekee ndio mwenye mamlaka hayo

Soma historia ya Dunia ni wanawake wangapi walipata hayo majukumu ya kuwa kwenye Ulinzi

Akina Bandaranaike (late) Na Indira Gandhi (late) ni baadhi ya waliwahi kuwa na hiyo title

Waziri wakuu huwa Ulinzi pia
Wala haishangazi kabisa labda kama hupendi kuona wao pia wana haki ya kushika madaraka
Jamii Yao hao Iko hivyo na ilikuwa hivyo kutokana na historia Yao na mazingira Yao. Historia/background yetu ni tofauti sana na Yao. Huwezi kufanya copy and paste eti kwakuwa fursa imetokea na imepatikana basi ni Chuki Chuki Chuki dhidi ya wanaume. Yaani inawezekana Yuko mwanamke aliyetendwa vibaya na mwanaume wake basi wanachukiwa wanaume wote bila sababu
kuwa wanawake Wana nguvu
 
Kwani wanaume walishindwa nini kwenye hiyo Wizara hadi tuwajaribu wanawake? Usawa hauwezi kuletwa na attitude ya aina hii. Kufanya hivi ni kulipiza kisasi na kulipa kikombozi kwa wanawake. Usawa uhimizwe kwenye maisha ya kawaida kama vile kufanyakazi, kuhudumia familia. Yaani 50 kwa 50 jeshini, kuendesha bodaboda, matumizi ya familia, kulipa mahari, kukwea minazi kuangua madafu, nk. Lakini huu usawa wa bungeni, MaDC, RC, Mawaziri ni usawa bandia usiokuwa na uhalisia.
Kwani wanawake wameshindwa nini kwenye hiyo wizara na hata tusiwaamini ?
 
Jamii Yao hao Iko hivyo na ilikuwa hivyo kutokana na historia Yao na mazingira Yao. Historia/background yetu ni tofauti sana na Yao. Huwezi kufanya copy and paste eti kwakuwa fursa imetokea na imepatikana basi ni Chuki Chuki Chuki dhidi ya wanaume. Yaani inawezekana Yuko mwanamke aliyetendwa vibaya na mwanaume wake basi wanachukiwa wanaume wote bila sababu
kuwa wanawake Wana nguvu

Ila kuna wanawake pia ni wabora kuliko baadhi ya wanaume na wanaweza kufanya kazi kwa ueledi na ufanisi zaidi

Kweli sio kila mmoja au nchi zinakubaliana na hili ndio binadamu tulivyo
Na hata hao wanawake waliofika ngazi za juu walifika kwa bidii zao na Vyama vyao kuwainua na kuwakubali

La kwetu linaweza kuwa ndio mwanzo na mwisho ila limeingia kwenye historia pia
 
Ubaguzi ni kitu kibaya sana.

yaani leo mtoa mada hamtaki waziri wa ulinzi kwa sababu tu ni mwanamke, kesho atateuliwa waziri mwanaume lakini mzaramo, jamaa atapinga tena kwa sababu wakurya na wasukuma wa jeshini "wanawadharau sana wazaramo".

Yaani jamaa anataka waziri hadi awe mwanaume, ana misuli mikubwa na mingi, mwili jumba, alafu mweusi "tiii", na ikibidi awe na macho mekunduuuu, na aitwe Sarakikya, Waitara, Matiko et al.

Tuna safari ndefu sana kama taifa.
kavulata
Hata mama yangu ni mwanamke hivyo sina Chuki na wanawake hata kidogo, ila wasichaguliwe watu kwakuwa ni wanawake na unataka TU kubadikisha historia TU juu ya kwanini miaka yote wawe ni wanaume TU wizara hii, kwani wanaume wamewafanya nini wanawake walivyokuwa mawaziri?
 
Back
Top Bottom