Kuteua Waziri mwanamke Wizara ya ulinzi ni sawa?

Kuteua Waziri mwanamke Wizara ya ulinzi ni sawa?

Gender kwa afrika zinaanza kupewa mkazo kuanzia chini kabisa. Wasichana wenye akili wakimaliza shule na kufaulu badala ya kuendelea mbele wanalazimishwa kuolewa, haya ni madhara ya masuala ya gender.

Wasichana wanakutana na unyanyapaa wa kila aina maofisini, haya ni madhara ya masuala ya gender kijamii.

Huyu Mama alipokabidhiwa cheo ikulu rais aliongea ni kwanini kampa yeye cheo kwa uzoefu alioupata huko SADC, tumuache apige kazi.
Yes hilo ni tatizo la culture. Culture ndizo zinaaminisha mwanamke ni mtu wa kufanya domestic roles kama kulea watoto na kusubiri mikate kutoka kwa bread winner ambaye ni mume.

Kwa Ulaya na nchi zilizoendelea culture kama hizi zinafutika drastically...ndiyo maana unaona mtu kama Angela Merkel kagonga miaka 16 ya Ukansela.

Watu wamechukulia advantage ya kibailojia wakaigeuza katika mambo ya utamaduni katika gender. Kwamba mwanaume anaweka mimba na mwanamke analea...basi wakadhani ni sheria ya Mungu. Tuache wanawake wenye uwezo wafanye kazi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Idadi ya wanajeshi wanawake nchini ni ndogo sana. Wizara hii ni kama ni ya kiume zaidi katika muundo wake. Wanaume ni zaidi 90% ya askari wote. Kuwawekea Waziri mwanaume ni sawa na Wizara ya wanawake, jinsia na watoto kumteua mwanaume awe Waziri wao. Hii haifanyiki hata huko Marekani na uingereza na duniani kote walikoendelea.

Kwanini usawa huu wa jinsia usianzie kwanza kwenye kupata elimu, kilimo, uvuvi, uchimbaji, usafirishaji, uhandisi, sheria ya ndoa, na maisha ya kawaida?

Huwezi kuwezi kuweka Waziri mwanamke kwenye wizara ya uvuvi wakati 99% ya wavuvi ni wanaume.
1. Kazi ya waziri ni kusimamia sera, haendi kule kufyatua mizinga wala kwenda Congo kwenye Troops za UN
2. Gender inequality ina-apply direct kwenye kazi ambazo ni direct proposal na kazi husika, mfano; (high light to see) Kutungisha Mimba etc
3. Kazi nyingine zozote yyt anaweza kufanya ndo maana hata wapo Madaktari wazuri tu wanatahiri mijidume mizima na wapo wanaume wanatengeneza nywele za wadada Saloon. wapo kina Mr. Kucha etc!!
 
Yes hilo ni tatizo la culture. Culture ndizo zinaaminisha mwanamke ni mtu wa kufanya domestic roles kama kulea watoto na kusubiri mikate kutoka kwa bread winner ambaye ni mume.

Kwa Ulaya na nchi zilizoendelea culture kama hizi zinafutika drastically...ndiyo maana unaona mtu kama Angela Merkel kagonga miaka 16 ya Ukansela.

Watu wamechukulia advantage ya kibailojia wakaigeuza katika mambo ya utamaduni katika gender. Kwamba mwanaume anaweka mimba na mwanamke analea...basi wakadhani ni sheria ya Mungu. Tuache wanawake wenye uwezo wafanye kazi.
Nchi zilizopeleka wanaume wengi vitani wala hazioni tofauti ya mwanaume na mwanamke, kwao yote ni sawa tu. Wakati vita vikiwa vimepamba moto wanaume wao wengi walifia vitani mfano Ukraine na Poland hivyo wanawake wakachukua kazi ngumu zilizoachwa na wanaume.

Madereva wengi wa treni za umeme za mijini ni wanawake, na wafanya kazi ngumu wengi ni wanawake, na wanaume hawaoni kosa lolote la maisha ya aina hii kuendelea.

Nchi zetu za kiafrika hazikuwa karibu sana na vita za dunia japo zilitoa askari ingawa ni kwa uchache. Hivyo mfume dume una nguvu sana afrika.

Mwanaume wa kiafrika anaweza kufanya mambo ya kipuuzi madarakani na hakuna atakayekosoa, ngoja upuuzi huo ufanywe na mwanamke!. Matusi yatakuwa ni mara mbili, kwanza kwa makosa yenyewe aliyoyafanya na pili kwa ile hali yake ya kuwa ni mwanamke.

Kazi aliyonayo Mama Samia ni kuua kabisa akili hizi zenye upeo mdogo ndani yake kwa kuwa mbunifu kadri awezavyo na kutokubali uongo na ushawishi mkubwa alionao mwanaume.
 
Nchi zilizopeleka wanaume wengi vitani wala hazioni tofauti ya mwanaume na mwanamke, kwao yote ni sawa tu. Wakati vita vikiwa vimepamba moto wanaume wao wengi walifia vitani mfano Ukraine na Poland hivyo wanawake wakachukua kazi ngumu zilizoachwa na wanaume.

Madereva wengi wa treni za umeme za mijini ni wanawake, na wafanya kazi ngumu wengi ni wanawake, na wanaume hawaoni kosa lolote la maisha ya aina hii kuendelea.

Nchi zetu za kiafrika hazikuwa karibu sana na vita za dunia japo zilitoa askari ingawa ni kwa uchache. Hivyo mfume dume una nguvu sana afrika.

Mwanaume wa kiafrika anaweza kufanya mambo ya kipuuzi madarakani na hakuna atakayekosoa, ngoja upuuzi huo ufanywe na mwanamke!. Matusi yatakuwa ni mara mbili, kwanza kwa makosa yenyewe aliyoyafanya na pili kwa ile hali yake ya kuwa ni mwanamke.

Kazi aliyonayo Mama Samia ni kuua kabisa akili hizi zenye upeo mdogo ndani yake kwa kuwa mbunifu kadri awezavyo na kutokubali uongo na ushawishi mkubwa alionao mwanaume.
Mkuu siongezi kitu.Ningekuwa karibu na wewe ningekualika kwa chakula ili tubadilishane mawazo.
 
Kwenye vita siku zote watoto na wanawake ndio makundi ambayo hayana hatia.
 
Binafsi sihoji uwezo wake wa kitaaluma na uzoefu wake kwenye nyanja mbalimbali. Mimi naongelea taasisi ambayo 98% ya wafanyakazi wake ni WA jinsia moja utapelekaje kiongozi wa jinsia ingine? Yaani shule ya wasichana watupu halafu mkuu wake wa shule ni mwanaume hata kama ni professor ni sawa?
Kwanza sheria ya ulinzi inazuia mwanamke kuwa Kamanda. Halafu tujiulize Ni nchi gani duniani iliwahi mteua waziri wa ulinzi mwanamama?
 
Nchi zilizopeleka wanaume wengi vitani wala hazioni tofauti ya mwanaume na mwanamke, kwao yote ni sawa tu. Wakati vita vikiwa vimepamba moto wanaume wao wengi walifia vitani mfano Ukraine na Poland hivyo wanawake wakachukua kazi ngumu zilizoachwa na wanaume.

Madereva wengi wa treni za umeme za mijini ni wanawake, na wafanya kazi ngumu wengi ni wanawake, na wanaume hawaoni kosa lolote la maisha ya aina hii kuendelea.

Nchi zetu za kiafrika hazikuwa karibu sana na vita za dunia japo zilitoa askari ingawa ni kwa uchache. Hivyo mfume dume una nguvu sana afrika.

Mwanaume wa kiafrika anaweza kufanya mambo ya kipuuzi madarakani na hakuna atakayekosoa, ngoja upuuzi huo ufanywe na mwanamke!. Matusi yatakuwa ni mara mbili, kwanza kwa makosa yenyewe aliyoyafanya na pili kwa ile hali yake ya kuwa ni mwanamke.

Kazi aliyonayo Mama Samia ni kuua kabisa akili hizi zenye upeo mdogo ndani yake kwa kuwa mbunifu kadri awezavyo na kutokubali uongo na ushawishi mkubwa alionao mwanaume.
Kaka Mila na desturi za Africa, maendeleo ya elimu na uchumi wa Afrika havijafika level ya 50 kwa 50. Bado tuko stage ambayo mtoto wa kike anaambiwa na mzazi wake usifaulu mtihani ili uolewe, wako wanaosema usiitumie choo kimoja na mwanamke, Kuna wanaoamini mwanamke akiwa kwenye hedhi ni mkosi, najisi, laana, nk. Jamii yenye watu wanaoamini hivyo wako tayari kuona kiongozi mwanamke? Tuna kazi ya kuielimisha jamii yetu kwanza kabla ya kuwapelekea kiongozi mwanamke
 
Yametimia, nilijuwa tu ni lazima atamtoa hapo.



 
Hakuna kitu kibaya kama kuishi zama za ujima kifikra huku kimwili upo 2021.Kenya,South Africa,Macedonia, Spain,Netherlands na France ni mojawapo ya Nchi duniani zenye mawaziri wa ulinzi wanawake.Hao wenye fikira hizo fikiria wamelelewa na mama zao na bado wana mawazo kama wanaishi miaka 100 iliyopita.Kinachoangaliwa ni uwezo wa mtu sio jinsia yake.Kuna wanaume wengi wameaminiwa kwenye nafasi kubwa kubwa na wamekuwa failure kiutendaji na kiuongozi. Karibu wauaji viongozi na madikteta wote ni wanaume lakini hakuna anayenasibisha uwezo wao mdogo na ukatili wao na jinsia yao.
Acha umagharibi wewe... hakuna cha 2021 au ujima. Mwanaume atabaki kuwa mwanaume, na mwanamke atabaki kuwa mwanamke. Hata mwaka 4021 itakuwa hivyohivyo.

Kwani dada zako nyumbani au mke wako hawapigi kelele wakiona mdudu kama tandu, mende, buibui mkubwa, nyoka au panya ndani ya nyumba?

Sasa hao ndo uwape jukumu la kulinda nyumba?

Hata hao wa magharibi umeshawahi kuona wakipeleka wanawake mstari wa mbele vitani?

Tafiti kama utakuta vita yoyote ambayo wanawake wako mstari wa mbele porini.
 
Yes hilo ni tatizo la culture. Culture ndizo zinaaminisha mwanamke ni mtu wa kufanya domestic roles kama kulea watoto na kusubiri mikate kutoka kwa bread winner ambaye ni mume.

Kwa Ulaya na nchi zilizoendelea culture kama hizi zinafutika drastically...ndiyo maana unaona mtu kama Angela Merkel kagonga miaka 16 ya Ukansela.

Watu wamechukulia advantage ya kibailojia wakaigeuza katika mambo ya utamaduni katika gender. Kwamba mwanaume anaweka mimba na mwanamke analea...basi wakadhani ni sheria ya Mungu. Tuache wanawake wenye uwezo wafanye kazi.
ulaya ipi? chukulia Marekani ambayo iko siti za mbele lakini hakuna mwanamke aliyewahi kushika uwaziri wa ulinzi wala urais. mpaka leo wabunge na mawaziri sio 50/50, ufaransa hivyohivyo, uingereza ni mama magreth Cather tu, May na yule mwingine walipita pale kama upepo tu.
 
Back
Top Bottom