Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Athari yake kwa wengi wao wakiingiza tu kule kunako sekunde moko tu wazungu haooo washakuja jijini Amsterdam tena kwa pupa kwa kuwa watakuwa wameimeimiss sana papuchi na kwa kuwa watakua hamu nayo sana.

Athari nyingine ni wengi wao kurudia tendo itakuwa ni kwa mbinde kwani wakishamwaga tu watahisi hawana hamu tena hali itakayopelekea kugombana mara kwa mara na wenza wao kwani ataona humfikishi na akiwa ndezi anaweza kutafuta mpango kando wa kumsugua GAGA.

Hivyo tu mkulungwa.

Endelea tu kujifanya padri.
 
Athari ni kama ifuatavyo
1. Wanawake watakuwa wapweke
2.biashara ya kumbi za harusi itadoda
3.biashara za dadapoa zitakosa soko
4.biashara ya supu za mikia itashuka
5.mashuka yatakuwa ya madoa kama ya wodi za ajali za bodaboda
6.utakuwa na hasira na ccm kama lissu familia iko ubelgiji hadinyi
7.ukipishana na demu lazima ugeuke unaweza gongwa na magari
8.utatumia muda mwingi kupika
9.unaweza dhalilika kwenye mwendokasi hasa ile ya ferry kimara
10.utakosa heshima mtaani
11.Darwin theory inaweza kuapply ukajuta badae
 
Mwaka wapili mkuu!
Unaogea sabuni gani?
 
Weka hapa number nikutumie hata buku tano ukanunua malaya huko mitaani kwenu uache kufukua vinyeo vyao wanaume wenzio kijana.
Malaya wa buku tano? Ukiamuwa kufanya uzinzi basi chukuwa malaya first class.
 
Kama uchumi wako umekaa vibaya hebu haya mambo potezea kwanza kwa muda jipange.

Badly wadada sasa hivi hawauzi na wala hawatowi bure, akili kichwani kwako.
 
hakuna athari yoyote, unakaribia mwaka wa 5 huu uchi wa KE siujui
ukiwa busy , wanaozini unabaki kuwashangaa

PS:
Nanyetuka
Athari zipo wacha ubishhi mwili una tabia ya kujibadili kwa kufuata aina ya maisha unayo fuata na icho ndiyo kina wakumba hata mashoga hadi hawawezi tena kutamani wanawake au kutumia wanawake...maana hata wao walipo anza ushoga walidhani hakuna tatizo polepole miili yao ikajibadili tabia na kujikuta wamesha tumbukia kwenye kifungo wasicho weza kutoka .....athari zake ni kubwa tena ni za hakika ...nikama punyeto
 
hakuna athari yoyote, unakaribia mwaka wa 5 huu uchi wa KE siujui
ukiwa busy , wanaozini unabaki kuwashangaa

PS:
Nanyetuka
Athari zipo wacha ubishhi mwili una tabia ya kujibadili kwa kufuata aina ya maisha unayo fuata na icho ndiyo kina wakumba hata mashoga hadi hawawezi tena kutamani wanawake au kutumia wanawake...maana hata wao walipo anza ushoga walidhani hakuna tatizo polepole miili yao ikajibadili tabia na kujikuta wamesha tumbukia kwenye kifungo wasicho weza kutoka .....athari zake ni kubwa tena ni za hakika ...nikama punyeto
 
Huu uzi jamaa mna stamina, mara miaka hamjatia mara miezi, wakati mm zikipita siku 2 tu sijanusa kale kaharufu natural au sijaona zigo limepinda doggy style basi hapakaliki
 
Sijakaza toka mwaka jana sikumbuki siku ila ni mwanzo wa mwaka na ni maamuzi nlifanya baada ya kusoma no fap challenge kuna mtu aliweka hapa, nataka nitoboe atleast mwaka mmoja na nusu, na sio kwamba siwaoni nawaona ila i dont give a fvck. Na level nliofikia sitaki mwanamke yan mwanamke wakuni convince lazima awe genuine sanaaa ili na mimi nimfanye awe peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…